Magufuli 05
JF-Expert Member
- May 7, 2023
- 1,433
- 2,791
Sitaandika Sana,
Huwezi amini maneno haya yalitoka kwenye kinywa cha mwanadamu Tena mbele ya camera,
Leo hii nimemwona Jamaa huyo huyo analia mbele ya camera baada ya mwili wa mpendwa kuwasili...
Najua somo amelipata siku nyingine atajifunza cha kuongea,
Dunia mapito Jama
Halafu ni waziriSitaandika Sana,
Huwezi amini maneno haya yalitoka kwenye kinywa cha mwanadamu Tena mbele ya camera,
Leo hii nimemwona Jamaa huyo huyo analia mbele ya camera baada ya mwili wa mpendwa kuwasili...
Najua somo amelipata siku nyingine atajifunza cha kuongea,
Dunia mapito Jama
Kijana wa marehemu mzee MosesHii mipasho mnampasha nani??
Hana intelligence ya kujifunza kutokana na matukio kama hayo.Sitaandika Sana,
Huwezi amini maneno haya yalitoka kwenye kinywa cha mwanadamu Tena mbele ya camera,
Leo hii nimemwona Jamaa huyo huyo analia mbele ya camera baada ya mwili wa mpendwa kuwasili...
Najua somo amelipata siku nyingine atajifunza cha kuongea,
Dunia mapito Jama
Nape MnauyeHii mipasho mnampasha nani??
Dunia mapito jama...Sitaandika Sana,
Huwezi amini maneno haya yalitoka kwenye kinywa cha mwanadamu Tena mbele ya camera,
Leo hii nimemwona Jamaa huyo huyo analia mbele ya camera baada ya mwili wa mpendwa kuwasili...
Najua somo amelipata siku nyingine atajifunza cha kuongea,
Dunia mapito Jama
Labda uulize wewe Mkuu.....komwe lisizidi akiliHii mipasho mnampasha nani??
Ndiyo umeongea nini?Sitaandika sana,
Huwezi amini maneno haya yalitoka kwenye kinywa cha mwanadamu, tena mbele ya camera!
Leo hii nimemwona jamaa huyo huyo analia mbele ya camera baada ya mwili wa mpendwa kuwasili. Najua somo amelipata siku nyingine atajifunza cha kuongea.
Dunia mapito jama.
Shida sio JPM,yeye alishatangulia mbele za haki. Yote yanayoendelea kwa sasa hajui chochote.Daah JPM alifanikiwa kukoroga sumu kali sana ya ubaguzi!
Si ndani ya chama chake wale nje!
Ngoja tuinywe!
Jisemee wewe watanzania walio wengi hatu kubaliani na maneno yakoVifua vya watanzania waliowengi vimebeba maumivu makubwa mno baada ya madhila yale ya 17-3-2021. Wanasubiri siku watangaziwe kifo cha Kikwete ili vifua vyao vifunguke na wao washerehekee, we must tell the truth!. Bahari bdo haijatulia hii mpaka itulie.
Kijana wa marehemu mzee Moses
Zimeharibiwa na wanaojifanya wanatumiliki na wao wataishi milele.Siasa za Bongo zinaingia ukurasa mpya
Fikra ya kimapinduzi kuamsha watu waliolalaDaah JPM alifanikiwa kukoroga sumu kali sana ya ubaguzi!
Si ndani ya chama chake wale nje!
Ngoja tuinywe!
Wewe na yeye ni watu wawili tu, sasa hao wengine mnaowashirikisha wametoka wapi?Jisemee wewe watanzania walio wengi hatu kubaliani na maneno yako