H
Hata kama katangulia mbele za haki tutaendelea kuyakumbuka yote alofanya whether -ve/+veShida sio JPM,yeye alishatangulia mbele za haki. Yote yanayoendelea kwa sasa hajui chochote.
Ni busara zaidi kwa tulio hai tungejenga umoja na kuondoa hizo dosari. Ila cha ajabu tulio hai ndio tunaendeleza yale tunayoona JPM alikosea