Hata kama katangulia mbele za haki tutaendelea kuyakumbuka yote alofanya whether -ve/+veShida sio JPM,yeye alishatangulia mbele za haki. Yote yanayoendelea kwa sasa hajui chochote.
Ni busara zaidi kwa tulio hai tungejenga umoja na kuondoa hizo dosari. Ila cha ajabu tulio hai ndio tunaendeleza yale tunayoona JPM alikosea
Huyu jamaa mpambafu sana, ni mnafiki nafuu ya kinyongaSitaandika sana,
Huwezi amini maneno haya yalitoka kwenye kinywa cha mwanadamu, tena mbele ya camera!
Leo hii nimemwona jamaa huyo huyo analia mbele ya camera baada ya mwili wa mpendwa kuwasili. Najua somo amelipata siku nyingine atajifunza cha kuongea.
Dunia mapito jama.
Vifua vya wajinga ndio watafurahi vifo vya watu wema. Lakini jitu katili likifa watu wenye Akili hatusikitiki kamwe awe wa upinzani au ccm bali tunamshukuru Mungu kwa wema wake kwetu.Vifua vya watanzania waliowengi vimebeba maumivu makubwa mno baada ya madhila yale ya 17-3-2021. Wanasubiri siku watangaziwe kifo cha Kikwete ili vifua vyao vifunguke na wao washerehekee, we must tell the truth!. Bahari bdo haijatulia hii mpaka itulie.
Mtu mwema ndio nani?Vifua vya wajinga ndio watafurahi vifo vya watu wema. Lakini jitu katili likifa watu wenye Akili hatusikitiki kamwe awe wa upinzani au ccm bali tunamshukuru Mungu kwa wema wake kwetu.
Apandacho mtu ndicho atakacho vuna.
Walamba asali, majizi yamali zauma namavyeti feki mavivu yakusoma ndio yalieneza hizi chuki.Daah JPM alifanikiwa kukoroga sumu kali sana ya ubaguzi!
Si ndani ya chama chake wale nje!
Ngoja tuinywe!
Wema hawafi!Vifua vya wajinga ndio watafurahi vifo vya watu wema. Lakini jitu katili likifa watu wenye Akili hatusikitiki kamwe awe wa upinzani au ccm bali tunamshukuru Mungu kwa wema wake kwetu.
Apandacho mtu ndicho atakacho vuna.
Huyo mzoga Membe alikuwa na wema upi amewaibia sana Watz kupitia Hoteli yake ya Mtwara pia pesa za Libya ambapo serikali ilibidi izilipe wakati Membe na kundi lake walipoteza!!Vifua vya wajinga ndio watafurahi vifo vya watu wema. Lakini jitu katili likifa watu wenye Akili hatusikitiki kamwe awe wa upinzani au ccm bali tunamshukuru Mungu kwa wema wake kwetu.
Apandacho mtu ndicho atakacho vuna.
Hoja sio kumbukuka aidha +ve au -ve bali kuweka ushabiki usio na tija hali inayosababisha kuanza kugawanyika mdogo mdogo kama Taifa.H
Hata kama katangulia mbele za haki tutaendelea kuyakumbuka yote alofanya whether -ve/+ve
Kama alivyofurahia yeye!Hoja sio kumbukuka aidha +ve au -ve bali kuweka ushabiki usio na tija hali inayosababisha kuanza kugawanyika mdogo mdogo kama Taifa.
Leo hii kifo cha mtu kinakua ni ajenda ya kuanza kufurahia na kudhihaki
Sijawahi kuona mtu mjinga kama huyu halafu anataka uwaziri kwa nguvu hadi wanampa. Ni domo kaya tena mnafiki sana.Nape Mnauye
Kwani kikwete ni mungu? Acheni ujinga bhana mlitaka mungu afanyeje yule si alikuwa kiumbe wake? Kumchukua imekuwa nongwa? Wamekufa mitume itakuwa jitu chizi?Vifua vya watanzania waliowengi vimebeba maumivu makubwa mno baada ya madhila yale ya 17-3-2021. Wanasubiri siku watangaziwe kifo cha Kikwete ili vifua vyao vifunguke na wao washerehekee, we must tell the truth!. Bahari bdo haijatulia hii mpaka itulie.
Ila mwenye makosa makubwa kabisa ni Rais Dkt. Samia. Yaani, yeye nafikiri alidhani Dkt. Magufuli alichukiwa na kuja kwake yeye Dkt. Samia alihisi kama mkombozi. Hivyo, aliruhusu kila aina ya kebehi na dhihaka kwa Dkt. Magufuli akidhani anakidhi kiu ya Watanzania ya kutoa ya moyoni. Kitu ambacho hajakijua mpaka leo ni kuwa kiongozi awaye yeyote, awe yupo madarakani au kastaafu, inapaswa iwe marufuku kumsema ovyo pahala popote.Vifua vya watanzania waliowengi vimebeba maumivu makubwa mno baada ya madhila yale ya 17-3-2021. Wanasubiri siku watangaziwe kifo cha Kikwete ili vifua vyao vifunguke na wao washerehekee, we must tell the truth!. Bahari bdo haijatulia hii mpaka itulie.
Mimi ni mmoja wa wanao isubiria hiyo sikuVifua vya watanzania waliowengi vimebeba maumivu makubwa mno baada ya madhila yale ya 17-3-2021. Wanasubiri siku watangaziwe kifo cha Kikwete ili vifua vyao vifunguke na wao washerehekee, we must tell the truth!. Bahari bdo haijatulia hii mpaka itulie.
Nakubaliana na wewe kupinga migawanyiko ktk taifa kwa chuki za misiba ya viongozi lakini sikubaliani kabisa na hoja yako kusema eti unamlaumu Rais Dk. Samia, "kuruhusu...! Ni wapi na lini Mhe. Rais aliruhusu ulichoandika? Tukemee hili lakini tusimhusishe Mhe. Rais ktk mambo yasiyojenga taifa. #SISI NI TAIFA. πππIla mwenye makosa makubwa kabisa ni Rais Dkt Samia. Yaani yeye nafikiri alidhani Dkt Magufuli alichukiwa na kuja kwake yeye Dkt Samia alihisi kama mkombozi. Hivyo aliruhusu kila aina ya kebehi na dhihaka kwa Dkt Magufuli akidhani anakidhi kiu ya watanzania ya kutoa ya moyoni. Kitu ambacho hajakijua mpaka leo ni kuwa kiongozi awaye yeyote awe yupo madarakani au kastaafu inapaswa iwe marufuku kumsema ovyo pahala popote. Sasa Rais Dkt Samia akaachia, tulionya mara nyingi sana, tulishauri na kumlilia sana kuwa piga marufuku Dkt Magufuli asidhihakiwe, ila matokeo yake mpaka kikafadhiliwa kitabu cha kumsema vibaya Dkt Magufuli. Sasa hii taharuki hata ikitokea kweli hawa wazee wazuri/wema akitangulia mbele za haki hakika watanzania watashangilia tena, na kibaya kabisa upande wa Dkt Magufuli hakuna mtu maarufu tena wa kusema akifa watu wafurahie hayupo! Ila upande wa watu wa Dkt Kikwete wapo wengi hasa waliotoa kauli zenye dhihaka. Mimi binafsi namhurumia sana Dkt Kikwete, yaani ukarimu wake, upole wake na hekima zake zimemtia hatiani kwa sababu ya ukaribu na watu wasiokuwa na adabu za kutunza mambo moyoni. Chukulia mfano tu Mh. Membe alikuwa na haja gani kuanza kugombana na Dkt Magufuli??? Mbona Dkt Kikwete watu wake wengi waliminywa na alikuwa kimya. Anyway Mungu anajua ya kesho
Rais Dkt Samia ni mhusika kwa 100% kwa sababu kuu kadhaa. Kwanza wakati wa msiba wa Dkt Magufuli watu walionekana kufanya sherehe yeye baada ya kuapishwa na alifahamu kabisa hilo hakukemea. Pili kauli tata nyingi ziliendelea kutolewa na hao alio wateua ila hakuwahi kuwakaripia. Tatu yeye mwenyewe amekuwa akitoa kauli tata za kuashiria kufurahia kifo cha Dkt Magufuli. Hitimisho, mtu aliyetamka kuwa mungu kaamua ugomvi bahari imetulia akamkabidhi wizara nyeti ya habari kuonesha kuwa hata yeye rais Dkt Samia anaunga mkono kauli na anahusika moja kwa moja na kifo cha Dkt Magufuli. Hivyo ni ngumu sana kumtenganisha rais Dkt Samia na hizi chereko.Nakubaliana na wewe kupinga migawanyiko ktk taifa kwa chuki za misiba ya viongozi lakini sikubaliani kabisa na hoja yako kusema eti unamlaumu Rais Dk. Samia, "kuruhusu...! Ni wapi na lini Mhe. Rais aliruhusu ulichoandika? Tukemee hili lakini tusimhusishe Mhe. Rais ktk mambo yasiyojenga taifa. #SISI NI TAIFA. πππ
Asitusemee wote ajisemeeWewe na yeye ni watu wawili tu, sasa hao wengine mnaowashirikisha wametoka wapi?