bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,794
- 7,551
wacheni uzushi jamani na extrapolations zisizokuwa na tija yo yoteInaovyoonekana ni kweli maana walikuwa na viburi 100%, na kujiamini kupitiliza wakiamini rais Dkt Samia hawezi wafanya kitu kwa sababu wanajua godfather wao ndiye master mind wa mauaji ya yule wanaye mdhihaki, hivyo lazima aliyewateua aogope kabisa kufa na kuamua funika kombe mwanaharamu apite. Ila sasa sijui itakuwaje
Magu aliiharibu sana Nchi...na haya ndio matokeo yake....Aliua upendo miongoni mwa wa Tanzania..Shida sio JPM,yeye alishatangulia mbele za haki. Yote yanayoendelea kwa sasa hajui chochote.
Ni busara zaidi kwa tulio hai tungejenga umoja na kuondoa hizo dosari. Ila cha ajabu tulio hai ndio tunaendeleza yale tunayoona JPM alikosea
Kabisa naona vijamaa vinatumia fake id humu kuonesha kuna chuki na kukuza mambo. Ila saa ni nyuzi za kuponda na chuki bila sababu yoyote. Tusikuze mambo bila sababu ya msingi.Jisemee wewe watanzania walio wengi hatu kubaliani na maneno yako
Aisee nimemkumbuka R.I.P Elias Kwandikwa, hakika dodo kilikuwa kisu kikali sana.Sitaandika sana,
Huwezi amini maneno haya yalitoka kwenye kinywa cha mwanadamu, tena mbele ya camera!
Leo hii nimemwona jamaa huyo huyo analia mbele ya camera baada ya mwili wa mpendwa kuwasili. Najua somo amelipata siku nyingine atajifunza cha kuongea.
Dunia mapito jama.
Ndiyo mumue na kuendelea kumdhihaki?????Magu aliiharibu sana Nchi...na haya ndio matokeo yake....Aliua upendo miongoni mwa wa Tanzania..
Mbele Kuna kiza kizito....haya matukio na yatuamshe Akili...
Kabisa mkuu. Jamaa wana roho flani ya ya hovyo saana na ubaya hata kwa mambo wasiyo yajua wao hawafikirii wanaropoka tu. Eti watanzania hiyo kanda yao inaweza kufutwa tu afu kanda zilizo bakia zikaishi vzr na uchumi ukakua tu tena zaidiKabisa naona vijamaa vinatumia fake id humu kuonesha kuna chuki na kukuza mambo. Ila saa ni nyuzi za kuponda na chuki bila sababu yoyote. Tusikuze mambo bila sababu ya msingi.
Nasikia Kuna operesheni Moja nzito inayoasisiwa na mungu baba mwenyezi mwaka huu. This year! Blessing!Vifua vya watanzania waliowengi vimebeba maumivu makubwa mno baada ya madhila yale ya 17-3-2021. Wanasubiri siku watangaziwe kifo cha Kikwete ili vifua vyao vifunguke na wao washerehekee, we must tell the truth!. Bahari bdo haijatulia hii mpaka itulie.
Akili nayo kisodaSijawahi kuona mtu mjinga kama huyu halafu anataka uwaziri kwa nguvu hadi wanampa. Ni domo kaya tena mnafiki sana.
Asili yake ni mtaani,isingekuwa rahisi kwake kujifunza manners.Muulize maisha yake hasa ya utotoni uone atakavyojikanyaga.Hana intelligence ya kujifunza kutokana na matukio kama hayo.
Kwani katiba ya sasa inaruhusu ufisadi na uhujumu uchumi?Ishu siyo mwingine...
Tafuteni tiba kwenye Katiba, kanuni, sera, taratibu, sheria na miongozo! Bila hivyo mtaonana wabaya na mtabaguana buree!
Watu hupita!!
Stronger institutions! Not stronger people!
You really believe that? Kwamba โwalimuuaโ? ๐คNdiyo mumue na kuendelea kumdhihaki?????
Kipi sahihi tuendelee kumfuata Magu jinis alivyokosea au tujisahihishe kwa kujifunza kupitia pale alipokosea ?Magu aliiharibu sana Nchi...na haya ndio matokeo yake....Aliua upendo miongoni mwa wa Tanzania..
Mbele Kuna kiza kizito....haya matukio na yatuamshe Akili...
[emoji23][emoji23]Labda uulize wewe Mkuu.....komwe lisizidi akili
Wewe unamtaka mwenzio ajisemee yeye mweyewe, kisha hapohapo wewe unaamua kuwasemea "watanzania walio wengi" ?Jisemee wewe watanzania walio wengi hatu kubaliani na maneno yako
Tujisahihishe tuishi vyema....wote tumekosea na tunakoseaKipi sahihi tuendelee kumfuata Magu jinis alivyokosea au tujisahihishe kwa kujifunza kupitia pale alipokosea ?
Kumbuka yeye hayupo tena Duniani,ila tulio hai tunapaswa kuishi vema
Sasa kwani kuna shida gani kuhusu alivyosema nape,kwani si ndivyo ilivyokuwa baada ya magufuli kufariki ndipo marehemu akarudishiwa uwanachama wake.H
Hata kama katangulia mbele za haki tutaendelea kuyakumbuka yote alofanya whether -ve/+ve
Mm nimejisemea mm mwenyeweWewe unamtaka mwenzio ajisemee yeye mweyewe, kisha hapohapo wewe unaamua kuwasemea "watanzania walio wengi" ?
Una kichaa wewe.