Kaka unasafilisha mali ya asili - Julius Nyerere International Airport -Yamenikuta ya ajabu na kweli

Kaka unasafilisha mali ya asili - Julius Nyerere International Airport -Yamenikuta ya ajabu na kweli

Nasafiri kupitia uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere International Airport.
baada ya mabegi kupita kwenye scanner, begi moja likaonekana lina tatizo. Likaekwa pembeni, nikaitwa, mpekuzi akalifungua na kupekuwa akatoa pakiti ambayo ilikuwa na ubuyu, ule ubuyu wa rangi nyekundu ambao kwa sasa ni maarufu hapa Tanzania.

Mdada mpekuzi akautoa na kuniambia ,je hukuliwona bango pale nikasema sikuangalia kwani kila kitu ni kawaida nina vipakiti vya chipsi za muhogo, kipo kipakiti cha kolosho na vingine mastafeli mawili,yaani vijizawadi na vingine vyangu mwenyewe.

Dada akaluka na kudai hujui kuwa unasafilisha hazina ya Taifa ,nikamuuliza kwani dada shida ipo wapi ,mbona sikuelewi ?

Tumekamata hazina ya Taifa, unasafiisha mbegu za ubuyu kinyume cha sheliya ulitakiwa uwe na kibali toka mali ya asili.

Kwanza nilifurahi sana na kucheka na kumwambia kama unautaka nikuwachie ,na hivi hizo mbegu zitachukuwa miaka mingapi hadi kuleta mazao ? Na niambia kama kuna Mtanzania aliepanda mbegu za ubuyu tokea tupate uhuru ?
Na hii mibuyu mbona ipo kila sehemu na siku hizi tu ndio tumenza kusikia mtu akisema huu M'buyu wangu ,nikafoka na kubadilika rangi ,mweusi lakini niligeuka rangi na kuwa mwekundu.
baada ya watu kuanza kuuliza kuna nini dada akalifunga begi na kuniambia sawa safari njema ila usijaribu tena kupita na mali ya asili bila ya kibali.
Wengi waliosikia walisema ni dalili ya njaa hapa Tanzania.
Kama asali ni maliasili kwanini ubuyu na huyo mdada wasiwe maliasili.
 
Kwa kiasi fulani wapo sahihi kuzuia usafirishaji wa mbegu za mimea bila kibali hususani kwa safari za kimataifa. Kwa safari za ndani ya nchi sioni Kama Kuna tatizo.
Aidha, sababu ya kwamba wanazuia usafirishaji wa mbegu hizo eti kwa kuwa ni 'mali ya asili' Wala haina mashiko hata kidogo. Nchi zingine wanazuia usafirishaji wa mbegu za mazao kutokana na sababu za kiusalama, yaani ni katika kudhibiti usalama wa vyakula (Food Security and Quality Control)
Ilikuwa mbegu ya ubuyu au ubuyu wa kula(chakula),kama ndio sitayari ulikuwa umeshaizinishwa uko mtaani
 
Mbona kuna watu wanakwambia uwazi tu kaka tuachie chochote kilichobakia ,wallai huwa nawapaga tena kwa furaha tu.
ila kuzuia kuchukua vipakiti viwili vitatu vya kolosho,ubuyu,zipo hata embe za sukari zinafanywa kama ubuyu ambavyo vimejaa mitaani vinauzwa,pagumu sana hapo mtu anaponizuia naona tupo nyuma sana tena ni ushamba wa hali ya juu.
Ukiondoka mtihani ukirudi majanga.
eti nimenunua shati jipya na suruali ya jeans ,kutua tu kwenye upekuzi wakaziona ,
...Unaenda kufanya biashala ni lazima ulipie ushulu... ,nikawauliza kivipi ,..usitufanye wajinga... ,nikaona sasa kuna nisilolifahamu,niuliza niambieni ...si unaona hizo nguo zina lebo ni za kibiashala hizo... lazima ulipie ushuru... ,jamani nguo mbili tu na nimenunua wakati naondoka sikuwa na muda wa kuondoa na sikuona kuwa lebo ni tatizo kwenu ...sasa unatuzalau... kwa ufupi sikulipia kitu na nikapita nazo na wangezidi kidogo ningevua nguo nilizo vaa nikazivaa zile mpya hapo hapo ,unawezaje kuoga na chupi bahari beach ,ila kuna mkubwa mmoja akaingilia akasema mwacheni huyo sie.
 
Ilikuwa mbegu ya ubuyu au ubuyu wa kula(chakula),kama ndio sitayari ulikuwa umeshaizinishwa uko mtaani
Mbegu. Mbegu
Na ubuyu n ubuyu

Hakunanwa kukuzuia unless ulikuwa na mwingi wakahisi unafanya biashara simple

Hata maji wana kiasi unaruhusiwa....
 
NA KAMA.KYNA AMBAO WANA UDOUBT WUNAENDA OFISI ZAO WANA KITABU KIKUBWA TU WANAKUONYESHA UNAJIRIDHISHA KAMA N SAWA AMA.LAH

UKIONA WALE WA NJIAN KELELE NENDA OFISIN MWAO..WANAKUZINGUA KAMA.UMECHELEWA....

HATA DHAHABU UKIWA NA SHIDA NAYO UNAENDA WANAKUELEKEZA UNAPEWA TARATIBU FOLLOWING DAY ILEEE....
 
Nasafiri kupitia uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere International Airport.
baada ya mabegi kupita kwenye scanner, begi moja likaonekana lina tatizo. Likaekwa pembeni, nikaitwa, mpekuzi akalifungua na kupekuwa akatoa pakiti ambayo ilikuwa na ubuyu, ule ubuyu wa rangi nyekundu ambao kwa sasa ni maarufu hapa Tanzania.

Mdada mpekuzi akautoa na kuniambia ,je hukuliwona bango pale nikasema sikuangalia kwani kila kitu ni kawaida nina vipakiti vya chipsi za muhogo, kipo kipakiti cha kolosho na vingine mastafeli mawili,yaani vijizawadi na vingine vyangu mwenyewe.

Dada akaluka na kudai hujui kuwa unasafilisha hazina ya Taifa ,nikamuuliza kwani dada shida ipo wapi ,mbona sikuelewi ?

Tumekamata hazina ya Taifa, unasafiisha mbegu za ubuyu kinyume cha sheliya ulitakiwa uwe na kibali toka mali ya asili.

Kwanza nilifurahi sana na kucheka na kumwambia kama unautaka nikuwachie ,na hivi hizo mbegu zitachukuwa miaka mingapi hadi kuleta mazao ? Na niambia kama kuna Mtanzania aliepanda mbegu za ubuyu tokea tupate uhuru ?
Na hii mibuyu mbona ipo kila sehemu na siku hizi tu ndio tumenza kusikia mtu akisema huu M'buyu wangu ,nikafoka na kubadilika rangi ,mweusi lakini niligeuka rangi na kuwa mwekundu.
baada ya watu kuanza kuuliza kuna nini dada akalifunga begi na kuniambia sawa safari njema ila usijaribu tena kupita na mali ya asili bila ya kibali.
Wengi waliosikia walisema ni dalili ya njaa hapa Tanzania.
Unaruhusiwa kupeleka twiga Dubai lakini sio mbegu za ubuyu, tunalinda hazina za taifa!
 
Kwanza jifunze matumizi ya herufi R.
 
Muwe mnasoma kwa kuelewa basi, sio kwa kukomoa,

Ameambiwa hana kibali ila twiga walikuwa na vibali
Tatizo nini?
Tatizo ni kutoa kibali cha twiga kirahisi na kukomalia ubuyu uliokuwa processed na kuwa packed, ambayo inakuwa ni item ya kula.
Lazima mtu mwenye akili atajua huyo dada wa airport security hana akili
 
Nasafiri kupitia uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere International Airport.
baada ya mabegi kupita kwenye scanner, begi moja likaonekana lina tatizo. Likaekwa pembeni, nikaitwa, mpekuzi akalifungua na kupekuwa akatoa pakiti ambayo ilikuwa na ubuyu, ule ubuyu wa rangi nyekundu ambao kwa sasa ni maarufu hapa Tanzania.

Mdada mpekuzi akautoa na kuniambia ,je hukuliwona bango pale nikasema sikuangalia kwani kila kitu ni kawaida nina vipakiti vya chipsi za muhogo, kipo kipakiti cha kolosho na vingine mastafeli mawili,yaani vijizawadi na vingine vyangu mwenyewe.

Dada akaluka na kudai hujui kuwa unasafilisha hazina ya Taifa ,nikamuuliza kwani dada shida ipo wapi ,mbona sikuelewi ?

Tumekamata hazina ya Taifa, unasafiisha mbegu za ubuyu kinyume cha sheliya ulitakiwa uwe na kibali toka mali ya asili.

Kwanza nilifurahi sana na kucheka na kumwambia kama unautaka nikuwachie ,na hivi hizo mbegu zitachukuwa miaka mingapi hadi kuleta mazao ? Na niambia kama kuna Mtanzania aliepanda mbegu za ubuyu tokea tupate uhuru ?
Na hii mibuyu mbona ipo kila sehemu na siku hizi tu ndio tumenza kusikia mtu akisema huu M'buyu wangu ,nikafoka na kubadilika rangi ,mweusi lakini niligeuka rangi na kuwa mwekundu.
baada ya watu kuanza kuuliza kuna nini dada akalifunga begi na kuniambia sawa safari njema ila usijaribu tena kupita na mali ya asili bila ya kibali.
Wengi waliosikia walisema ni dalili ya njaa hapa Tanzania.
Kuna mibuyu mingi Tanzania.
Nilikuwa nassafiri na basi,sikumbuki wapi,naitazama nje,mibuyu everywhere,mile after mile.
 
Tatizo ni kutoa kibali cha twiga kirahisi na kukomalia ubuyu uliokuwa processed na kuwa packed, ambayo inakuwa ni item ya kula.
Lazima mtu mwenye akili atajua huyo dada wa airport security hana akili
Kama hana akili asingeuliza kibali, kama ni mimi hapiti huyo bila kibali au hela tukalipie kibali 😇😇😇🤣🤣
 
Hapana, hauko sahihi Sana.

Kuna aina kama mbili hivi za makatazo ya kubeba bidhaa au vitu kwa abiria kwenye suala la usafiri wa anga. Madaraja ya Makatazo hayo ni:-

1. Prohibited items or objects.
Vitu ambavyo vinakatazwa kuvibeba, lakini abiria mbebaji hawezi kuwa arrested moja kwa moja na kuwekwa chini ya Ulinzi/kizuizi kwa kukutwa na vitu hivyo. Badala yake abiria mbebaji anaweza akapewa adhabu nyingine mbadala na akaruhusiwa kuendelea na safari yake. Adhabu mbadala ni kama vile kumnyang'anya vitu hivyo visivyoruhusiwa (Confiscating ).

2. Strictly Prohibited Items.
Hivi ni vitu ambavyo vimekatazwa kabisa tena moja kwa moja, abiria mbebaji akikutwa navyo ni LAZIMA AWE ARRESTED na kuwekwa chini ya kizuizi. Mfano wa vitu hivi ni Madawa ya kulevya au mihadarati (Narcotics).

Hivyo, huyo Afisa Uhamiaji kwa kiasi fulani alikuwa yupo sahihi kumwachia huru huyo abiria aliyekutwa na mbegu za ubuyu.
Kuingiza ya kutoa mbegu nchini bila kibali ni kosa kisheria. Rejea Sheria ya mbegu ya mwaka 2003. Ni sio Tanzania tu nchi nyingi Dunia zinakataza kuingiza au kutoa mbegu bila kibali kulinda mimea yake dhidi ya magonjwa na issue nyingine. Usichukulie kirahisi hivyo.
 
Kuwa mwangalifu kuna baadhi ya nchi huwa wanakataza kuingiza baadhi ya food stuffs ila mara nyingi huwa wanaconfiscate tu
 
Back
Top Bottom