Optimist_Tz
JF-Expert Member
- Jan 11, 2024
- 1,543
- 1,860
Mleta mada ameandika kwamba aliacha kutumia dawa za vidonda vya tumbo au mleta mada na yeye amekurupuka kuandika tu ili kuwahi comment na like?Elewa neno dawa😂
Ndio yaleyale ya Babu Tale kuongelea suala la Diamond na Diddy mwisho akaharibu zaidi kuliko kuweka mambo sawa.Kaka yake marehemu Dida Shaibu aliyekuwa mtangazaji wa Wasafi fm, amesema mdogo wake alikuwa na vidonda vya tumbo akaacha matumizi ya dawa ikampelekea fangasi kupanda kichwani.
CHANZO PTVTZ
Pia soma TANZIA - Dida Shaibu, mtangazaji wa Wasafi FM afariki Dunia
Yatasemwa mengi lo
Kuna nchi hupati antibiotics unaambiwa zinaharibu kingaUgonjwa wowote hata wa bacteria infection ukiacha kutumia dawa kwa usahihi unaenda na maji. Hata antibiotics zinajenga usugu na kupelekea dawa kushindwa kufanya kazi.
Huyu mbona kama kalewa?
Siyo dishi kama limeyumba?Huyu mbona kama kalewa?
PossiblySiyo dishi kama limeyumba?
Kwamba kaka kafanya assumption?A lot of assumption
Nadhani Kama walivyosema wadau kifo hakikosi sababu.
Huyo ni shangaziUlitaka report uletewe mezani kwako dingi?
NdioSawa. Kumbe upo JF?
Ndio, maana zinaua bacteria wazuri tumbona na kushusha kinga ya mwiliKuna nchi hupati antibiotics unaambiwa zinaharibu kinga