TANZIA Kaka wa Freeman Mbowe, Charles Mbowe afariki Dunia

Hata kwenu mnakufa/ mtakufa na Wewe utakufa. Huzuni kutangulia. Kifo ni hakika

Sasa kejeli huwa za nini kwa Marehemu wengine kisa tu mnatofautiana ki mtazamo? Maana hapa watu walikuwa wanaropokwa kwa msiba wa JPM utadhani wao hawatakufa.
 
Ndio huyo huyo mwenye, pony tail.
 
Watanzania hatukua hivi, kuna kitu kilekebishwe mahali,

Nafikili tatizo ni malezi.

Inasikitisha sana,kipindi cha Msiba wa Taifa ilikuwa inashangaza sana,unakuta mtu anatokwa na maneno machafu utadhani yeye hatokufa,majuzi hapa kwa Mfugale (RIP) napo kejeli kama zote.Leo hii kafa ndugu wa kipenzi chao,ndiyo akili zimewarudi na kujua kumbe kifo hakijui CCM wala CDM,wanaishia tu kucomment “Pumzika kwa amani”.
 
Inasikitisha sana ila hatupaswi kufanana nao.
 
Rais wa JMT mh Samia amemtumia salamu za pole mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe kufuatia kifo cha kaka yake Charles Mbowe.

Rais Samia amezielekeza salamu zake pia kwa ndugu na wanafamilia wote wa marehemu Charles Mbowe.

Nawasalimu kwa jina la JMT!
 
R.I.P
Umenikumbusha mshikaki mayai
Rest in Peace Brother.
 
Hapa tunaongelea “liendazake kutoka kwa familia ya kina Mbowe linasubiri kuzikwa likaliwe na funza huko”.Vipi hapo sawa? Mnajitoaga ufahamu hata mbele ya kifo.
Ni furaha iliyoje liuwaji na litesaji linapokata roho. Mungu kaiponya nchi
 
Vipo vifo vya aibu, mtu kama kafia kifuani huko gesti kwa kuzidiwa na utamu utakuja kutangaza na kusema kifo si kitu cha aibu?

Sasa kama mtu akifia kifuani kwa aibu hapo ni nini!?


Rest well kaka Chale
 
Hizi chanjo za mabeberu na barakoa zina msaada gani?
 
Wazee wa chanjo tukutane hapa.
ASTRAZENKA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…