2000,
Nmefatwa nyumbani na majambazi wakanikosa na kuijeruhi familia yangu wakiilazimisha iseme nilipo.
Alhamdullillah nilishapata tip kwa bodaboda mmoja nikaenda kulala gesti badala ya nyumban usiku ule.
Wamewasaidia na nn sasa....Unataka kusema wamewasaidia?
Wao wenyewe wanataka mkikamata mwizi au kibaka mmalize mpige simu tu waje kuchukua mzoga wakazike...Anayedhaniwa[emoji2959][emoji2959][emoji2959][emoji2959][emoji2959] yaani utapiga tu sababu amedhaniwa bila kuthibitisha? Hapo umeibiwa laptop[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
WE PIGA ILA USIOMBE TU UKUTANE NA JAMHURI UINGIZWE KULE KWENYE KACHUMBA CHA WATU WAUAJI. TUKORADANI TUKAGONGWA GONGWA UTAJE WENZAKO
Hao ni wale wa kawaida uliowazoea. Kuna wale wengine wale.Wao wenyewe wanataka mkikamata mwizi au kibaka mmalize mpige simu tu waje kuchukua mzoga wakazike...
Mtu yoyote mwenye Down's Syndrome wanajulikana hata kwa kumwangalia kwa macho. Huhitaji kipimo chochote kugundua hilo. Na wote wana features zinazofanana.Hivi mkuu umemkamata mwizi wako kabeba kitu chako, nyumban kwako usiku wa manane na humjui.
Hicho kipimo Cha akili unakipata wapi MDA huo?
Hapo ningemshaur mtoa mada achukulie TU kifo Cha ndugu yake Ni ajali, haina haha ya kesi pale.
We mzee hebu acha kuniokota basi...huu mwaka hakukuwa na bodaboda
Inaonekana huyu hafahamu hata Down's syndrome ni nini na mtu mwenye hilo tatizo yukojeKaka (marehemu) anaitwa isack mwageni anaishi mbande magengeni,ameenda kuuliwa kitongoji cha mbande rufu mwenyekiti wa huko anaitwa sadiki.
Nikuwekee picha ya marehemu ufananinishe na wagonjwa wengine wa downs syndrome wanavyokuwa wanafanana?
Hata sisi kuna mgonjwa wa akili mtaani kwetu na yeye ni hivyo hivyo anawatishia binti zetu kuwabaka...unawatolea boro lake anawakimbiza..tushawaambia ndugu zake hawaskii sasa naona na yeye moto unamuita.Inasikitisha sana Kaka yangu ni mlemavu wa akili (ana downs syndrome) hata kumuangalia kwa macho unajua kabisa huyu mtu kichwani hakuna kitu.
Majuzi alitoroka nyumbani tulimtafuta bila mafanikio ghafla tukapewa taarifa kuwa ameitiwa mwizi amechomwa moto, amekamatwa mzima mzima wala hawajampiga wamemfunga mikono wamemvisha tairi wamemchoma moto πππππ .
Waliofanya tukio ilo wanajulikana ni sungusungu na wananchi wengine, baadhi wamekamatwa wamepelekwa police lakini jioni wameachiwa huru wanadunda.
πππππππ
2000 hakukua na bodaboda....Enzi hizo bado usafiri ulikuwa ni wa baiskeli (baiskeli za kukodi saa shilingi 100)! Hizo ndiyo zilikuwa boda boda zetu.
Na kuhusu pikipiki za honda CG 125, hizi zilianza kutamba kuanzia miaka ya 2004 na kuendelea!
Na kwa upande wa boda boda, hizi zilianza mwishoni mwa mwaka 2000! Sasa anaposema mwaka 2000 wezi walienda kwake kwa bodaboda! [emoji848] Wahenga tunabakia tu kushangaa!
This is also possible na hivi hana utashi wala akili za kufikiri anafanya tu.Na inawezekana watu walimtumia kufanya uhalifu( hao waliokuwa nae tangu apotee) all in all sababu hayuko sawa, walitakiwa wasimpige kabisa,.
2000 hakukua na bodaboda....
Nipo sumbawanga nipe dili ntulipize kisasi, mmoja mmoja anapoteaInasikitisha sana Kaka yangu ni mlemavu wa akili (ana downs syndrome) hata kumuangalia kwa macho unajua kabisa huyu mtu kichwani hakuna kitu.
Majuzi alitoroka nyumbani tulimtafuta bila mafanikio ghafla tukapewa taarifa kuwa ameitiwa mwizi amechomwa moto, amekamatwa mzima mzima wala hawajampiga wamemfunga mikono wamemvisha tairi wamemchoma moto πππππ .
Waliofanya tukio ilo wanajulikana ni sungusungu na wananchi wengine, baadhi wamekamatwa wamepelekwa police lakini jioni wameachiwa huru wanadunda.
πππππππ
labda ipatikane story ya upande wa pili mkuu maana hata mahakamani ikiwa proven kuwa mtu hakuwa katika right mind wakati akifanya lolote. kumfunga ni ngumuKaka,
Hicho kipimo Cha kumpima mtu huo utimamu wake wa akili usiku wa manane na nmeshamkamata ready handled na mali yangu kaniibia nakipata wapi?
Hebu vingine jiongeze mwnyw, ungelikua wee unafanyaje?
Liongo tu weweMwaka Jana TU nmepigwa matukio 2 ya uhalifu (moja dukani na jingine goddown), la dukani mlinzi wangu kapigwa Shaba kauwawa palepale.
Mwaka 2008,
Kijana wangu mmoja akipeleka pesa nbc alitekwa na majambazi wakamnyanganya pesa na kwenda kumtelekeza Chamazi
Mwaka 2005,
nmewai fatwa hotel na majambazi, nikajeruhiwa mguu wa kushoto na jambazi na wakachukua pesa wakaondoka .
2000,
Nmefatwa nyumbani na majambazi wakanikosa na kuijeruhi familia yangu wakiilazimisha iseme nilipo.
Alhamdullillah nilishapata tip kwa bodaboda mmoja nikaenda kulala gesti badala ya nyumban usiku ule.
Naanzaje kwamfano kuwaonea huruma wezi[emoji3525]
Zilikuepo sana chief,We mzee hebu acha kuniokota basi...huu mwaka hakukuwa na bodaboda
Soma vizur nilichoandika kwny comment,Enzi hizo bado usafiri ulikuwa ni wa baiskeli (baiskeli za kukodi saa shilingi 100)! Hizo ndiyo zilikuwa boda boda zetu.
Na kuhusu pikipiki za honda CG 125, hizi zilianza kutamba kuanzia miaka ya 2004 na kuendelea!
Na kwa upande wa boda boda, hizi zilianza mwishoni mwa mwaka 2000! Sasa anaposema mwaka 2000 wezi walienda kwake kwa bodaboda! [emoji848] Wahenga tunabakia tu kushangaa!