FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Ndio lengo la kutojichukulia sheria mkononi, ili kuepuka mtu asiye na hatia kama huyu kuuwawa kwa mateso namna hiyoHivi mkuu umemkamata mwizi wako kabeba kitu chako, nyumban kwako usiku wa manane na humjui.
Hicho kipimo Cha akili unakipata wapi MDA huo?
Umeambiwa huyu alikuwa na matatizo ya akili, huelewi nini, wewe ni taahira?Mkuu,
Unawajua wezi au unawasikia?
Hivi mkuu ulishawahi bananishwa na wezi wakiwa katika kazi zao?
Wametumwa Kuja kuichukua chao?
Mwizi akiwa KAZIni suala la kukutoa uhai achukue anachotaka Ni dkk sifuri.
Binafsi siwezi kua na huruma na mwizi, WAUWAWE TU[emoji3525]
Wewe jamaa ni mpumbavu wa mwisho.Ifike mahala tujichukulie TU sheria mkononi
Vyombo vya sheria vishakuwa sehemu salama sana kwa wahalifu.
Wanapelekwa leo,ndugu mnaenda kuwatoa kesho kwa hongo.
Na wizi unaendelea kama kawaida.
Honestly Mwaka Jana nmeibiwa, ila kilichoandikwa polisi Ni upuuzi wkt ushahidi uko wazi na baadhi ya Mali wamekamtwa nazo.
Wewe Kama wewe unafanyaje hapo?
Binafsi,
Kwasasa hao Wezi wangu nadili nao mtaa kwa mtaaa na baadhi Yao tayar washaanza kuonja joto la karma yangu artificial nnavyowanyoosha kimya kimya mmoja baada ya mwingine[emoji3525].
Solution ni kumuua?Hivi mkuu umemkamata mwizi wako kabeba kitu chako, nyumban kwako usiku wa manane na humjui.
Hicho kipimo Cha akili unakipata wapi MDA huo?
Jinga hilo, na hajui tofauti ya mwizi na jambazi.Umeambiwa huyu alikuwa na matatizo ya akili, huelewi nini, wewe ni taahira?
Kaka,Liongo tu wewe
Mwaka 2000 kulikua na bodaboda au unataka uonekane una hasira na wezi
Liongo tu
Mkuu,Nimesema boda boda zimeanza mwishoni mwa mwaka 2000! Maana yake ni kati ya mwaka 2008/2009/2010!!!
Hii msg nakulenga wewe. Yaani mpaka ndugu yako au wewe upigwe kwa kudhaniwa mwizi ndio utawaelewa walalamikaji kama MswedenSahii kabisa,
Hizi janja janja za kujifanya Ni mgonjwa wa akili zinatumika Sana skuhizi.
Maana mateja na waathirika wa bangi nao Skuhzi wanaitwa wagonjwa wa akili[emoji3525]
kama vipi atafute sniper awe anawadungua tu.Tafuta mmoja mmoja malizana nao
Kuwa na roho ngumu zaidi yao
kama vipi atafute sniper awe anawadungua tu.
Hakika... Likitokea baya basi ni kuonewa...Humu jf Imeibuka tabia ya ndugu wa wezi Kuja humu kulia huruma pale ndugu zao wanaposhughulikiwa kwa torati ya mtaa.
Ifike wakati Huu upumbavu ukataliwe kwa nguvu zote,
Haiwezekani sungusungu wamsingizie ni mwizi wkt hao hao Sungu Sungu Ni raia wa eneo Hilo Hilo.
Haiwezekani mtaa uwe na mlemavu wa akili na wananchi na viongozi wote wasimjue.
KESI za kuchomwa Moto hivyo Mara nyingi Ni zile ready handled.
Mtoa mada kajipange[emoji3525]
Hakika, tena siku hizi wameenda mbali zaidi na kuweka vizuizi vya magari mitaani, ukipita wa manane, unasimamishwa wanakuhoji kama ni wa kitaa hapo hapo wanakuachia upite...Mtoa mada usitake kutuhamisha goli.
Binafsi natembea Sana usiku, na Mara kibao nishakamtwa na hao hao sungusungu usiku wa manane.
Ila sijawai dhurika kwa namna moja ama nyingine.
Nnachokifahamu ktk operation zao usiku hutembea na viongozi kadhaa wa mtaa.
Wakishakukamata,
Hawa viongozi wa mtaa wanakuhoji wewe Ni Nani, unaishi wapi, unafanya shughuli gan, unaelekea wapi, unatoka wapi.
(Ukiwa ni mtu mwema kwny jamii na huna historia ya uhalifu, hakuna anayehangaika na wewe)
Ayo unayosema Kwamba wamemvamia tu na ghafla kuanza kumchoma TU kibiriti hayawezekani kabisa.
Vinginevyo uyo ndugu yenu ana historia ya uhalifu hapo kabla.
Na Kama Ni suala la uhalifu,
Hapo ninyi Kama ndugu Kuna namna mmefeli kwny suala Zima la malezi[emoji4]
Nchi haiwezi kuendelea kwa kukumbatia wezi na vibaka wanaoishi kwa kutegemea utelezi wa jasho la watu.
Wezi na Vibaka wanaorudisha maendeleo ya watu nyuma, na wanapaswa kushughulikiwa kwa nguvu zote.
Sahii kabisa[emoji4]Hakika, tena siku hizi wameenda mbali zaidi na kuweka vizuizi vya magari mitaani, ukipita wa manane, unasimamishwa wanakuhoji kama ni wa kitaa hapo hapo wanakuachia upite...
Kama hueleweki wanakungangania kweli...
kuna kitu kinapikwa time will tellHumu jf Imeibuka tabia ya ndugu wa wezi Kuja humu kulia huruma pale ndugu zao wanaposhughulikiwa kwa torati ya mtaa.
Ifike wakati Huu upumbavu ukataliwe kwa nguvu zote,
Haiwezekani sungusungu wamsingizie ni mwizi wkt hao hao Sungu Sungu Ni raia wa eneo Hilo Hilo.
Haiwezekani mtaa uwe na mlemavu wa akili na wananchi na viongozi wote wasimjue.
KESI za kuchomwa Moto hivyo Mara nyingi Ni zile ready handled.
Mtoa mada kajipange[emoji3525]
shida ni kwamba hata hao nyungu wakizidiwa wanaiba,binafsi kuna kakundi ka nyungu walihongwa kunifanyia fujo nikawatoa ndukHakika, tena siku hizi wameenda mbali zaidi na kuweka vizuizi vya magari mitaani, ukipita wa manane, unasimamishwa wanakuhoji kama ni wa kitaa hapo hapo wanakuachia upite...
Kama hueleweki wanakungangania kweli...
Nishitue mkuu, I'll do the maths for you (distance, wind speed and direction)Anipe dili ni refresh wala sitaki hela
Nishitue mkuu, I'll do the maths for you (distance, wind speed and direction)
Tafuta mmoja mmoja malizana nao
Kuwa na roho ngumu zaidi yao