Kaka yangu kamtia mimba mama yetu mdogo. Hili lipoje kwa Wanyakyusa?

Mwanaume kama huna break maanake hujiheshimu ni sawa na inzi na inzi hajawahi kuwamsafi
Kuna nyege lakini sasa sio unakuwa kama inzi
 
Ok, ok,... Lkn sasa ifike mahal tukubaliane kuwa HIV si ugonjwa wa kisasa, 40yrs + sasa. Kama ni binadamu huyu atakuwa na wajukuu kabisa.
Ni kweli, maana tangu Mwaka 1987 uingie ni kipindi kirefu sasa
 
Huna ulijualo, pia inawezekana uwezo wako wa kusoma na kuandika ukawa na kikomo. Hakuna mtu alimrithi mama yake mzazi bali wake wadogo wa baba zao.

Mila za kinyakyusa zilikuwa hivyo, actually sio wanyakyusa pekee bali ni makabila mengi ya Afrika.

Inawezekana wewe ni mtoto wa juzi hauyajui mengi.
 
Heeeee hili zito aisee, ngoja nikae pembeni
 
uzinzi ukikomaa kwa mtu, mtu huyo anakuwa haoni aibu tena na anaona ni sawa hakuna shida..akili yake inakuwa haiko sawa kabisa. Pole sana, "ubhakolele abhakongwe"abhazee"" abha pabhusokelo ubhabhule bhantughashwe pasi"
 
Hakuna tabu
Kaka yako kaamua mwenyewe sisi hatuna usemi
 
Mkuu wala usiumize kichwa.Huyo mama mmempa mji na Sasa Mmempa Mtoto.Nafikiri Wazee wenu wa Kinyakyusa ndio wametaka iwe hivyo maana nyie mliukataa mji wenu.So Kiufupi wala usiumize kichwa.Kaka katimiza wajibu wake wa kuhakikisha mji haupotei.Uzuri hapo hakuna cha DNA MIX na wala huyo SIO mama yenu mdogo parse.Sioni Shida Hasa Ukizingatia sasa yule mama amepata mahali pa kutulia.Au mlita alete mume hapo kwenye mji wenu?
 
Mbona kama hakuna changamoto yoyote hapo? Nyie msaidie bro ili mke mkubwa akubali matokeo
 
Nani aliyeandika habari za mama mzazi? Mimi ninawaongelea haohao wake za baba, Wanyakyusa hawana huo utamaduni. Kama ulisimuliea hivyo basi uliingizwa chaka na wewe ukakurupuka na kama kwenye ukoo wenu iliwahi kukuyokeeni basi ni vilasna vyenu, inapotokea mna hiyo lasna halafu ni wanyakyusa usikimbilie kujumuisha kwamba eti ni tabia au utamaduni wa wanyakyusa. Nimezaliwa na kukulia Unyakyusani huna cha kunidanganya na ulichokiongea ndiyo kwanza nimekusikia kwako.
 
Umezaliwa lini? Waulize babu zako watakwambia! Unaonekana mtoto wa juzi.
 
kutifiki
acha wivu mkuu.
 
Kwani ni shido?
Mbona hamna undugu kabsa hapo? Hebu tulia kaka ale mema na nchi.
Muache awajibike na mke wake namna ya kumueleza kinachoendelea. So far we kula buyu.
 
Baba mdogo mwenyewe ni babu mdogo. Na mama mdogo ni mdogo wake mke wa baba mdogo wa babu mdogo. Hakuna shida hapo hata ndoa ya kanisani inaweza kufngwa kabisa.
 
Nilisikia hii hata kwa masai inatumika
 
Hii ya wapi hii? Yaani mtoto unarithi wake wa baba yako? Au me ndio sijaelewa? Ninachojua baba mkubwa au baba mdogo ndio anaweza kurithi wake wa ndugu yake na akaendeleza uzazi! Ila sio mtoto,na hii ilikuwepo kwenye makabila mengi ila mambo ya HIV yalivyoingia ndio watu waka slow down na somehow wakazi abandon kabisa hizi mila! Kama ulisimuliwa kaulize vizuri mkuu
 
Afadhali wewe unazijua mila za kiafrika na unatambua kuwa tulizipa vita kutokana na janga la ukimwi.

Ninachokwambia hapo ni ukweli, wake wadogo wa baba walikuwa wanarithiwa vizuri kabisa na mtoto wa kwanza wa kiume.

Wazee walikuwa wanaongeza wake mabinti wadogo kuliko hata umri wa watoto wao.
 
Eeeh
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…