Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
,,,[emoji3][emoji3][emoji3] kmmkWadada wa Wakinyakyusa Wana style Moja inaitwa "kwepa bomu" yaani anainama alafu kichwa chake anakifunika na shuka anakuachia kiwiliwili uhangaike nacho[emoji39].
All in all kitakacho watenganisha mamdogo wko na kaka yko ni kifo.
Haya maneno umeyasema wew Mtakatifu Coca au umeibiwa simu ? Wewe si ndo ulisema kweny uzi wa fantasy unatamani Uno la ...... Au basiMama mdogo ni nduguu, maana unaweza nyonya ziwa lake, pindi mama mzazi akiwa hayupoo!! Kosa kubwa hili.
Mie sieleqagi hii katazo la ndugu kulana...shida iko wapi wakidinyanaIla Wanyaki hawajuagi kuchagua, hata ndugu unakuta wanakulana🙌
Tafuteni dawa muwaogeshe hao ndugu zenu, vinginevyo msishangae miaka ya mbele kujirudia Kwa watoto wenu kuendelea kupigana miti
mi mwenyew sielewagi ngoja wakina mungu waje na majibu hapa tuyasubiriMie sieleqagi hii katazo la ndugu kulana...shida iko wapi wakidinyana
Jambo hili lina makatazo ya Kisayansi na Kimila pia.Mie sieleqagi hii katazo la ndugu kulana...shida iko wapi wakidinyana
Sasa huoni kuwa ni majanga kusambanza hizo poor genetics kwa wengine...sii bora iwe kwenye familia moja hivyo ata tukiamua kuwaua tunaua familia moja na sio nyingi?Jambo hili lina makatazo ya Kisayansi na Kimila pia.
Kisayansi kama mna weak genes ndani ya Ukoo wenu ni rahisi kurithishwa kutoka Kizazi chenu kimoja hadi kingine maana mtakuwa mnapigana miti ndugu wa damu.
Kama mmoja wenu ana maradhi ya Kisasa(HIV) ni rahisi kuambukizana.
Sisi kwenye Kabila letu, ilikuwa mfano nikafa basi Mke wangu angeendelea kupigwa miti na Brother angu ama mdogo wangu kama mrithi ili waendelee kukuza Ukoo.
Baada ya miaka mingi ya Giza hii Mila tumeiacha na sasa haipo kabisa miongoni mwa jamii yetu tena
Kawaida hizo poor traits huwa zinapungua nguvu na kwenda kuisha kabisa iwapo watakutana na kizazi imara.Sasa huoni kuwa ni majanga kusambanza hizo poor genetics kwa wengine...sii bora iwe kwenye familia moja hivyo ata tukiamua kuwaua tunaua familia moja na sio nyingi?
Acha uongo wewe, hao ni wanyakyusa wa wapi ambao walikuwa wanarithi mama zao? Au ndiyo historia za vilabuni baada ya pombe kukaa vichwani?Wala haina shida, ungejua mila za kinyakyusa miaka 50 tu nyuma ungezimia.
Ilikuwa hivi, kama baba yako akifariki basi unarithi mali zake zote pamoja na wake zake wadogo (wazee walikuwa na wake wengi).
Hao wake wadogo unazaa nao kabisa, lakini watoto wanahesabiwa kuwa wa baba yako, yaani wanakuwa wadogo zako kimila japo ni wa kwako kabisa.
Hii ilikuwa pia kwa wake za kaka zako. Japo mwanamke alikuwa na uhuru wa kukataa ila wengi walikuwa wanakubali.
Sasa huyo unayemwita mama mdogo wala hamna undugu naye wa damu, acha bro ale mema ya nchi.
Hata la jirani laweza kunyonywa, ni dhana tu.Mama mdogo ni nduguu, maana unaweza nyonya ziwa lake, pindi mama mzazi akiwa hayupoo!! Kosa kubwa hili.
Ok, ok,... Lkn sasa ifike mahal tukubaliane kuwa HIV si ugonjwa wa kisasa, 40yrs + sasa. Kama ni binadamu huyu atakuwa na wajukuu kabisa.Jambo hili lina makatazo ya Kisayansi na Kimila pia.
Kisayansi kama mna weak genes ndani ya Ukoo wenu ni rahisi kurithishwa kutoka Kizazi chenu kimoja hadi kingine maana mtakuwa mnapigana miti ndugu wa damu.
Kama mmoja wenu ana maradhi ya Kisasa(HIV) ni rahisi kuambukizana.
Sisi kwenye Kabila letu, ilikuwa mfano nikafa basi Mke wangu angeendelea kupigwa miti na Brother angu ama mdogo wangu kama mrithi ili waendelee kukuza Ukoo.
Baada ya miaka mingi ya Giza hii Mila tumeiacha na sasa haipo kabisa miongoni mwa jamii yetu tena