Kaka yangu kamtia mimba mama yetu mdogo. Hili lipoje kwa Wanyakyusa?

Kaka yangu kamtia mimba mama yetu mdogo. Hili lipoje kwa Wanyakyusa?

Kwa nilivyomuelewa huyo anayemuita mama mdogo (aliyejazwa) ni shemeji wa baba ake mdogo yaani mdogo wa mke wa baba ake mdogo aishie huko mjini mbeya.
Huyo mamdogo sio wa kumzaa ametoka koo ingine huko. Sema tu itakuwa siyo heshima kwa baba mdogo na familia yake.
Basi hakuna uduguuu wowote hapo, nilijua ni mdogo wa damu wa mama yake, Lol
 
Utakuw hujaisoma vizuri sinario
huyo mama mdogo ni wa mbali sana,yaani ni shemeji wa baba yao mdogo kiukoo
wazaramo,na walugulu n.k wanaoana ndg mtu na binamu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie nili comment tyuuh, ila habari sikusoma kabisaa.
 
Yani mdogo wa mke wa bamdogo wa babu mdogo? Kuna undugu gani hapo,
Tatizo ni huko kijijini tu lazima wasemwe na wanyakyusa wanavyojua kuteta watatukanwa umjini na kujiona wana hela, ila kubwa zaidi huyo shemeji yao wa kijijini atawasumbua sana kutoka kwenye hiyo nyumba na tena azae wa kiume, mtoa mada jiandaeni kisaikolojia kuna mgogoro mkubwa utatokea huko mbeleni ni ama mchague kumpa kaka yenu na nyie mjenge za kwenu
Tatizo mie habari sikuisoma, ila nilicomment tyuuh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo hakuna undugu wowotee.
 
Kazingua sana
Lwangwa
Itete
Manow
Mbambo
Lufilyo
Mzalendo

Lazima wawashangae. Mmepiga shemejiake na baba yenu kabisa. Wale wanyakyusa kule wataona ajabu sana na hivi kiswahili hawaongei.
Japo undugu upo kwa mbali sana ila kiheshima kaka yenu kazingua.
Mjisalimishe mapema kwa baba mdogo na mashangazi muone mnaliwekaje
Kazingua sana hata sielewi tutawaelezaje wazee kule kijijini,watatuona vijana wa hovyo sana
 
Mshapata mtu makini wa kutunza mji wenu. Nyie malizieni nyumba vizuri December ikifika mnaenda mnamkuta mwenyeji wenu
Hayo mengine yanamuhusu kakako, si yako wewe wala nduguzako wengine.
Halafu huyo mama sio ndugu yenu
Kwa hiyo tutakuwa tunamwita shemeji au mama mdogo
 
Ipo hivi miaka kama kumi nyuma, baada ya baba yangu kufariki, tuliitwa na shangazi zetu tukapelekwa huko Tukuyu Busokelo tukapewa mji na kuambiwa sisi ndio tutakaoutunza mji, sababu ni baba yetu alikuwa ni mtoto pekee wa kiume katika familia Yao ya watoto watu, na mbaya zaidi shangazi zetu hawapo hapa Tanzania. Mmoja kaolewa Zambia na mwingine yupo zake Uingereza kwa miaka mingi sasa

Baada ya kupewa mji Tukuyu ilibidi tukae vikao na ndugu zetu na tukajaribu kuwaeleza kuwa, kwa hali ilivyo itakuwa ngumu sisi kurudi Tukuyu kwa sababu sie pia tumetawanyika na nyumbani Njombe hapana mtu zaidi ya mama na mimi, so management ya Tukuyu itakuwa technically tuff

Kwenye mazungumzo tukamuomba baba yetu mdogo kwenye ukoo (baba yake alikuwa ni babu yetu mdogo walifuatana na babu yetu mzaa baba) baba yetu alijaribu kukata kwa sababu na yeye anaishi Mbeya mjini na kajipata sana
Baada ya kumsihi sana akatupa option kuwa Mbeya kwake yupo na shemeji yake wa kike (mdogo wa mke wake kabisa) akatueleza huyo shemeji yake ndoa yake ilivunjika akiwa na watoto wawili, yupo tu mjini). Tukamuomba basi yeye ndiye akae pale, kweli akakubali

Akahamia pale nilichokifanya nikapeleka mifugo na kumpatia mtaji kidogo wa kuendesha maisha kule kijijini (lengo la kupeleka mifugo ni kufanya mji uwe active pasionakane pametupwa kabisa)

Shida ilianzia hapa mwaka 2022, kaka yetu mkubwa akatushauri December lazima twende kule kijijini, kweli tulienda tukaa tukaona mazingira sio rafiki sana so tukazimia tujenge nyumba inayoendana na miaka ya sasa. Tukachangishana then tukaanza ujenzi wa msingi, baada ya kuondoka tukawa tumeazimia nyumba iishe kabla ya December 2023

Tukawa tumechangishana na kaka yangu tuliyefuatana akajitolea ataifanyia nyumba finishing na atamaliza Kila kitu, basi ilipofika December akashuka kule Tukuyu na mafundi wake Toka dar, kweli alijenga nyumba na kuanza kufanya finishings. Kumbe akiwa kule akawa anajipigia yule mama yetu pale

What happen there ni mimba na yule mwanamke ana mimba, aliyekuja kusema ni mke wa kaka yangu baada ya kugundua simu za bros hazipo sawa, shemeji kaniambia ukweli, nimewashirikisha kaka zangu wengine wamefedheheka sana na tukio lilivyo na tunaona aibu sana japo mhusika haonni shida na atamfanya yule mwanamke mke mdogo

Atamuacha pale na anadai anataka amfungulie duka kule kule kwenye kamji kadogo kanaitwa lwangwa, hapa tupo njia panda tunafanyaje, vipi Ile jamii kule wakijua itakuwaje? Wale ndugu zetu kule Kijijini watakuwa wanatuonaje wakija kujua. Je, baba mdogo atakuwa ametuweka kwenye kundi gani na kwa mila za Kinyakyusa hilo lipoje au tujiandae tu kurogwa?
Utitiri wa ndugu
 
Mimba aweke mwingine, kiungulia upate wewe...eboh!!!
 
Ipo hivi miaka kama kumi nyuma, baada ya baba yangu kufariki, tuliitwa na shangazi zetu tukapelekwa huko Tukuyu Busokelo tukapewa mji na kuambiwa sisi ndio tutakaoutunza mji, sababu ni baba yetu alikuwa ni mtoto pekee wa kiume katika familia Yao ya watoto watu, na mbaya zaidi shangazi zetu hawapo hapa Tanzania. Mmoja kaolewa Zambia na mwingine yupo zake Uingereza kwa miaka mingi sasa

Baada ya kupewa mji Tukuyu ilibidi tukae vikao na ndugu zetu na tukajaribu kuwaeleza kuwa, kwa hali ilivyo itakuwa ngumu sisi kurudi Tukuyu kwa sababu sie pia tumetawanyika na nyumbani Njombe hapana mtu zaidi ya mama na mimi, so management ya Tukuyu itakuwa technically tuff

Kwenye mazungumzo tukamuomba baba yetu mdogo kwenye ukoo (baba yake alikuwa ni babu yetu mdogo walifuatana na babu yetu mzaa baba) baba yetu alijaribu kukata kwa sababu na yeye anaishi Mbeya mjini na kajipata sana
Baada ya kumsihi sana akatupa option kuwa Mbeya kwake yupo na shemeji yake wa kike (mdogo wa mke wake kabisa) akatueleza huyo shemeji yake ndoa yake ilivunjika akiwa na watoto wawili, yupo tu mjini). Tukamuomba basi yeye ndiye akae pale, kweli akakubali

Akahamia pale nilichokifanya nikapeleka mifugo na kumpatia mtaji kidogo wa kuendesha maisha kule kijijini (lengo la kupeleka mifugo ni kufanya mji uwe active pasionakane pametupwa kabisa)

Shida ilianzia hapa mwaka 2022, kaka yetu mkubwa akatushauri December lazima twende kule kijijini, kweli tulienda tukaa tukaona mazingira sio rafiki sana so tukazimia tujenge nyumba inayoendana na miaka ya sasa. Tukachangishana then tukaanza ujenzi wa msingi, baada ya kuondoka tukawa tumeazimia nyumba iishe kabla ya December 2023

Tukawa tumechangishana na kaka yangu tuliyefuatana akajitolea ataifanyia nyumba finishing na atamaliza Kila kitu, basi ilipofika December akashuka kule Tukuyu na mafundi wake Toka dar, kweli alijenga nyumba na kuanza kufanya finishings. Kumbe akiwa kule akawa anajipigia yule mama yetu pale

What happen there ni mimba na yule mwanamke ana mimba, aliyekuja kusema ni mke wa kaka yangu baada ya kugundua simu za bros hazipo sawa, shemeji kaniambia ukweli, nimewashirikisha kaka zangu wengine wamefedheheka sana na tukio lilivyo na tunaona aibu sana japo mhusika haonni shida na atamfanya yule mwanamke mke mdogo

Atamuacha pale na anadai anataka amfungulie duka kule kule kwenye kamji kadogo kanaitwa lwangwa, hapa tupo njia panda tunafanyaje, vipi Ile jamii kule wakijua itakuwaje? Wale ndugu zetu kule Kijijini watakuwa wanatuonaje wakija kujua. Je, baba mdogo atakuwa ametuweka kwenye kundi gani na kwa mila za Kinyakyusa hilo lipoje au tujiandae tu kurogwa?
Mbona kawaida sana jmn
 
Kwenye mazungumzo tukamuomba baba yetu mdogo kwenye ukoo (baba yake alikuwa ni babu yetu mdogo walifuatana na babu yetu mzaa baba) baba yetu alijaribu kukata kwa sababu na yeye anaishi Mbeya mjini na kajipata sana
Baada ya kumsihi sana akatupa option kuwa Mbeya kwake yupo na shemeji yake wa kike (mdogo wa mke wake kabisa) akatueleza huyo shemeji yake ndoa yake ilivunjika akiwa na watoto wawili, yupo tu mjini). Tukamuomba basi yeye ndiye akae pale, kweli akakubali
Jomba unalazimisha sana undugu. Huyo mwanamke sio ndugu yenu. Hapo mke wa kaka yako ndo ingetakiwa aandike huu uzi kuhusu mumewe. Huyo kaka yako ni mtu mwema sana kumsitiri huyo mwanamke. Kama anamudu kumhudumia aendelee tu. Nampongeza sana kaka yako kwa wema wake.
Kidumu CCM! Zidumu fikra za mwenyekiti.
 
Kuna laana zakifamilia ni ngumu kuziondoa mpaka ufanye kafara ya kuchinja .
Ikiwa ninyo ni wakristo kafara ya Yesu msalabani inatosha. Hapo kilichokatazwa kuoana watu wa ukoo mmoja wa karibu ni kuepuka magonjwa ya kurithi. Vinginevyo tujitwisha mizigo mizito na kumsingizia Mungu wakati mambo sio magumu kihivyo.

Laana mtu anachagua mwenyewe. Nje ya maagizo na amri za Mungu hakuna laana
 
Kwa nilivyomuelewa huyo anayemuita mama mdogo (aliyejazwa) ni shemeji wa baba ake mdogo yaani mdogo wa mke wa baba ake mdogo aishie huko mjini mbeya.
Huyo mamdogo sio wa kumzaa ametoka koo ingine huko. Sema tu itakuwa siyo heshima kwa baba mdogo na familia yake.
.....na hata huyo baba mdogo sio wa ndani (ni baba mdogo kiukoo kwa sababu baba yake na huyo baba mdogo walishare babu),

kimsingi, huyu kijana angeweza hata kuoa mtoto wa huyo 'baba mdogo' wake na kusingekua na shida.......... (inaonekana undugu wao ni kule kushare jina la ukoo tu)
 
Kwa hiyo tutakuwa tunamwita shemeji au mama mdogo
usilazimishe undugu kihivyo bro, huyo sio mama yenu mdogo!

mke wa baba mdogo (mdogo wa damy wa baba yangu) ndio ninamwita mama mdogo, wadogo zake wa mama mdogo huwa tunashindwa kuwaita mama mdogo (wakikaa vibaya huwa wanapigwa na inaruhusiwa kuwaoa kwa baadhi ya makabila japo utatoa mbuzi kufunika aibu),

sasa huyo sio baba yenu mdogo (kwa maana ya kifamilia, sio mdogo wa baba yako), then uje kwa shemeji yake mnamwitaje mama mdogo? mbali sana hiyo!

huyo mwiteni shemeji, na usikute huyo ndugu yenu (unamwita baba mdogo)) alijua hilo litatokea.........

acheni kucomplicate maisha
 
Back
Top Bottom