Exactly!na hicho ndicho ninachokizungumzia hapa.... sio wasibebe mabegi Bali wabebe hivyo vya lether watapendeza kulingana na outfits walizovaaJoannah tatizo ni kwa hawa walioiga tuu bila kujua biaowang, marcello na ponasoo ni kwa ajili ya kubeba tools na equipments kwa ajili ya shughuli za hapa na pale ila hawa wa ofisini sikuizi kuna vi bag vya leather one hand vinawafaa sana muhimu ni kuchagua bag kulingana na kazi,mazingira pamoja na shuhuli husika NB:Mi nnazo zote Biaowang na hivi vi bag vya leather
Mabebi hayo bado mimi kuyaonaJamani najua mko poa!
Hivi siku hizi kila Kaka huku mjini naona kabeba begi mgongoni,hayo mabebi Ni makubwaa Sana,na yamekaa kishamba shamba hivi,mengi Yao yameandikwa Biowang mengine Marcello,yaani unakuta mkaka mzuri,msafii kapendeza halafu kabeba li Biowang mgongoni,hivi mnawekaga nini humo jamaniiiiiiii?
Itoshe kusema tu hayawapendezi,mnaharibu Sana muonekano wenu na hayo ma Biowang mnakuwa Kama mmetoka Mbwinde bwana....hata Kama Ni laptops tafuteni mabegi mazuri,kwanza wengine hamna hata laptops Kuna makaratasi tu humo,Basi tu Tanzania likizuka Jambo basi Ni nongwa Kama wadada na vijora....
Acheni kumtajirisha Biowang na Marcello.
Asante kwa kuelewa
Mkuu naomba uchek PM YAKOJamani mbona ni mazuri tu.
tafadhal ukiwaona tena jarib kuwakaguw alafu uje na sisi utwambie ulikuta wamebeba nini either makarats au PC.Jamani najua mko poa!
Hivi siku hizi kila Kaka huku mjini naona kabeba begi mgongoni,hayo mabebi Ni makubwaa Sana,na yamekaa kishamba shamba hivi,mengi Yao yameandikwa Biowang mengine Marcello,yaani unakuta mkaka mzuri,msafii kapendeza halafu kabeba li Biowang mgongoni,hivi mnawekaga nini humo jamani?
Itoshe kusema tu hayawapendezi,mnaharibu Sana muonekano wenu na hayo ma Biowang mnakuwa Kama mmetoka Mbwinde bwana.
Hata Kama Ni laptops tafuteni mabegi mazuri,kwanza wengine hamna hata laptops Kuna makaratasi tu humo,Basi tu Tanzania likizuka Jambo basi Ni nongwa Kama wadada na vijora.
Acheni kumtajirisha Biowang na Marcello.
Asante kwa kuelewa
Kuelewa nini mwanamke anataka ni kazi sana.Jamani najua mko poa!
Hivi siku hizi kila kaka huku mjini naona kabeba begi mgongoni, hayo mabebi ni makubwaa sana, na yamekaa kishamba shamba hivi. Mengi Yao yameandikwa Biowang mengine Marcello, yaani unakuta mkaka mzuri, msafii kapendeza halafu kabeba li Biowang mgongoni, hivi mnawekaga nini humo jamani?
Itoshe kusema tu hayawapendezi, mnaharibu Sana muonekano wenu na hayo ma Biowang mnakuwa kama mmetoka Mbwinde bwana.
Hata kama ni laptops tafuteni mabegi mazuri, kwanza wengine hamna hata laptops kuna makaratasi tu humo, basi tu Tanzania likizuka Jambo basi ni nongwa kama wadada na vijora.
Acheni kumtajirisha Biowang na Marcello.
Asante kwa kuelewa
Jamani najua mko poa!
Hivi siku hizi kila kaka huku mjini naona kabeba begi mgongoni,
Nakazia ......na michupi yao ya jero jero mikubwaaa kama bukta ya mkude........na bado zile tight zao ni shida.....utadhani anataka kujiumba upyaKama nanyi mnavyokuwa na mabegi makuubwa hayana nauri yamejaa tissue tu.