Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hater😀😀😀Mnaniudhi Sana,umevaa shati Kali mkanda mkali pure lether kiatu kikali mgongoni Marcello aaaah unaharibuu
Vichenchi chenchi hahaaaajamani!😂tunatoaga mwekundu kwenye pochi zetu
Apeche alolo ni kufulia, asa begi la laptop unalosuggest ni 50k na ushee ama nikigalaliza kwa mm mtaalamu wa kupata best price ni 40k... What do u expect!?... Lakini sisi waganga njaa hyo tunachukua kwa 15k kariakoo tena huku kichwani tunawaza kuficha umasikini.😂😂😂😂😂Sasa mkuu uapeche alolo na begi la Biowang vina uhusiano gani?
[emoji2][emoji2][emoji2]Mwanaume popote kambi
Bag zina shuka, nguo za kubadilisha, viatu, mswaki, mafuta, pasi incase tukienda kwa mchepuka tubadili hatutaki kuacha nguo kwa mchepuko wanaroga
Nkikodolea macho pochi yako halafu nna sweat na nko kwenye daladala si utaniona kibaka!?.. mbaya zaidi kwenye dala za kwenda sinza kupitia tandale na nkashukia tandale pale mtaaani kwetu uzuri😒😒😒😒hujaangalia vizuri
Sawa nimeelewa... kumbe issues ni price yake!sasa nimeelewa. Nilikuwa nafikiri yanauzwa 35 au 40,kumbe 15 unapata,ndio maana yamebebwa sana!Apeche alolo ni kufulia, asa begi la laptop unalosuggest ni 50k na ushee ama nikigalaliza kwa mm mtaalamu wa kupata best price ni 40k... What do u expect!?... Lakini sisi waganga njaa hyo tunachukua kwa 15k kariakoo tena huku kichwani tunawaza kuficha umasikini.
Wakishua hawawezi relate, otherwise you are one tu
Mhm hapo lazima nikumbatie pochi!Uzuri tenaNkikodolea macho pochi yako halafu nna sweat na nko kwenye daladala si utaniona kibaka!?.. mbaya zaidi kwenye dala za kwenda sinza kupitia tandale na nkashukia tandale pale mtaaani kwetu uzuri
Mimi ninalo la ponasoo!Jamani najua mko poa!
Hivi siku hizi kila Kaka huku mjini naona kabeba begi mgongoni,hayo mabebi Ni makubwaa Sana,na yamekaa kishamba shamba hivi,mengi Yao yameandikwa Biowang mengine Marcello,yaani unakuta mkaka mzuri,msafii kapendeza halafu kabeba li Biowang mgongoni,hivi mnawekaga nini humo jamaniiiiiiii?
Itoshe kusema tu hayawapendezi,mnaharibu Sana muonekano wenu na hayo ma Biowang mnakuwa Kama mmetoka Mbwinde bwana....hata Kama Ni laptops tafuteni mabegi mazuri,kwanza wengine hamna hata laptops Kuna makaratasi tu humo,Basi tu Tanzania likizuka Jambo basi Ni nongwa Kama wadada na vijora....
Acheni kumtajirisha Biowang na Marcello.
Asante kwa kuelewa
Akifungua pochi na kukupatia chochote wala hutaona ushamba wa bag lakeJamani najua mko poa!
Hivi siku hizi kila Kaka huku mjini naona kabeba begi mgongoni,hayo mabebi Ni makubwaa Sana,na yamekaa kishamba shamba hivi,mengi Yao yameandikwa Biowang mengine Marcello,yaani unakuta mkaka mzuri,msafii kapendeza halafu kabeba li Biowang mgongoni,hivi mnawekaga nini humo jamaniiiiiiii?
Itoshe kusema tu hayawapendezi,mnaharibu Sana muonekano wenu na hayo ma Biowang mnakuwa Kama mmetoka Mbwinde bwana....hata Kama Ni laptops tafuteni mabegi mazuri,kwanza wengine hamna hata laptops Kuna makaratasi tu humo,Basi tu Tanzania likizuka Jambo basi Ni nongwa Kama wadada na vijora....
Acheni kumtajirisha Biowang na Marcello.
Asante kwa kuelewa
Kama nanyi mnavyokuwa na mabegi makuubwa hayana nauri yamejaa tissue tu.
Mwanaume popote kambi
Bag zina shuka, nguo za kubadilisha, viatu, mswaki, mafuta, pasi incase tukienda kwa mchepuka tubadili hatutaki kuacha nguo kwa mchepuko wanaroga
Eti mkaka mzuri?!!.. yaan we muda wote unaendekeza mapenz.. tuko kwenye harakat na mabag wew unaleta mamno ya muonekano.. mtu hana hata 100 muonekano utatoka wap..
Yale mabag yamebeba ving.. unakuta kuna kiporo cha wali humo.. maji.. miswaki. Dawa za meno.. boksa.. kwamba popote kambi.. sasa mim nisibebe bag kisa muonekano
Hahahha.. povu utafkir nabebaga bas hayo mabag.. teehtehteh
We usije ukawa unaweka mabeto humo ya show show!