Kaka zetu, hayo mabegi ni vipi kwani?

Kaka zetu, hayo mabegi ni vipi kwani?

mizigo yangu.
Na kisu kipo kea ajili ya matunda.
Nalipenda begi langu maana uwa linawachanganya watu hawwjui nabeba nini.
Bibi uwa ananiambia "wewe isije hicho kibegi uwa unauza bangi.lete nifungue nione umebeba Nini'
Yaani kila siku anatamani ajue kwenye begi nabeba nini
Ha haaa unaona sasa Hadi Bibi anatamani kujua kuna nini ndani ya begi!tuko wengi mnao tuchanganya na hayo mabegi yenu jamani
 
Sikuiz sio wanaume tu hadi vimdada vyenye tuviatu vya manyoa vinavaa mabegi
ha haaaa vimdada vya tuviatu twa manyoya vibegi vyao ni vidogo vinamauamaua vinashonwa na Mangi kiwanda kikuu kipi Tandika.... Mangi nae kabisa pesa sana
 
Mambo yao waachie wenyewe, yasikuumize kichwa...
 
Jamani najua mko poa!

Hivi siku hizi kila Kaka huku mjini naona kabeba begi mgongoni,hayo mabebi Ni makubwaa Sana,na yamekaa kishamba shamba hivi,mengi Yao yameandikwa Biowang mengine Marcello,yaani unakuta mkaka mzuri,msafii kapendeza halafu kabeba li Biowang mgongoni,hivi mnawekaga nini humo jamaniiiiiiii?

Itoshe kusema tu hayawapendezi,mnaharibu Sana muonekano wenu na hayo ma Biowang mnakuwa Kama mmetoka Mbwinde bwana....hata Kama Ni laptops tafuteni mabegi mazuri,kwanza wengine hamna hata laptops Kuna makaratasi tu humo,Basi tu Tanzania likizuka Jambo basi Ni nongwa Kama wadada na vijora....
Acheni kumtajirisha Biowang na Marcello.
Asante kwa kuelewa
Wewe unakula nyumbani huwezi kuelewa mishe mishe za wanaume,mwanzoni Mimi nilikuwa nabebea laptop,set ya screwdriver,multimeter,vifaa vya engineer vya kufanyia kazi za umeme.
Laptop ilipoibiwa,lazima nitmbee na set ya screwdrivers,multimeter,fluke type,nk,
Mie ni engineer technician wa umeme,Nina kazi site zaidi ya 100 zenye majenereta,bara na pwani,wakati wowote mteja akipiga cm,mi naingia mzigoni,popote naenda na begi langu,niwe msikitini,niwe nimevaa suti,lazima niwe na begi,ndani yake pia naweka nguo za gym,mambo ya kiume ya kuhustle huwezi kuyaelewa mdogo wangu.tuulize sie tuliojiajili,wakati wowote unavuka boda,unakwea pia,begi lazima liwe na hata mswaki na dawa,maana ukiamka hujuhi utalala wapi,guest au polini
 
Wewe unakula nyumbani huwezi kuelewa mishe mishe za wanaume,mwanzoni Mimi nilikuwa nabebea laptop,set ya screwdriver,multimeter,vifaa vya engineer vya kufanyia kazi za umeme.
Laptop ilipoibiwa,lazima nitmbee na set ya screwdrivers,multimeter,fluke type,nk,
Mie ni engineer technician wa umeme,Nina kazi site zaidi ya 100 zenye majenereta,bara na pwani,wakati wowote mteja akipiga cm,mi naingia mzigoni,popote naenda na begi langu,niwe msikitini,niwe nimevaa suti,lazima niwe na begi,ndani yake pia naweka nguo za gym,mambo ya kiume ya kuhustle huwezi kuyaelewa mdogo wangu.tuulize sie tuliojiajili,wakati wowote unavuka boda,unakwea pia,begi lazima liwe na hata mswaki na dawa,maana ukiamka hujuhi utalala wapi,guest au polini
wewe nakuelewa!na muajiriwa wa Benki anabebaga nini?
 
Back
Top Bottom