Kakonko: Makusanyo kwa mwaka ni Tsh. Milioni 539, lakini Ujenzi wa nyumba ya Mkuu wa Wilaya umetengewa Tsh. milioni 700

Kakonko: Makusanyo kwa mwaka ni Tsh. Milioni 539, lakini Ujenzi wa nyumba ya Mkuu wa Wilaya umetengewa Tsh. milioni 700

Unataka tuamini kuwa Jiwe alikuwa anapiga vita rushwa?Pengine kwa asiyefahamu maana ya rushwa/ufisadi.Wanasiasa walinunuliwa,Uchaguzi zilihujumiwa,manunuzi yalifanyika bila kufuata sheria,mikataba imeendelea kufanywa siri hata kwa Bunge,upendeleo kwenye miradi,ajira,teuzi nk.
Je,kwa jinsi hiyo unamtenganishaje na hayo madudu?Yakiwa vizuri/sirini(kabla ya kufichuliwa) sifa zimwendee Jiwe ila vikibainika walaumiwe watendaji?
Haya amini unachoamini. Mimi si mwanachadema wala si mwanaccm hivyo I don't care habari za wanasiasa kununuliwa, bla bla. Kipindi cha akina Juliana Shonza, Zitto Kabwe na Mtela Mwampamba wanahama hicho chama chenu, walihama kwa sababu ya kununuliwa na Magufuli? Narudia ufisadi, uozo na takataka zote zipo kote kote. JPM alijitahidi kwa kiasi chake lakini kazi bado haijaisha.
 
Acheni kushadadia upuuzi

Japo Jpm alikuwa na mapungufu yake lakini moja ya uimara wake mkuu ilikuwa ni kupiga Vita matumizi mabaya ya fedha zetu ndio maana tumbua tumbua zilikuwa haziishi

Upuuzi kama huu hakuna RC, DC au DED angekubali ufanyike ktk eneo lake maana ingekuwa ndio anapalilia kutumbuliwa kwake

Alipokuwa akitumbua mafisadi nyinyi Wapuuzi ndio mlikuwa mnakuja kutetea watumbuliwaji na kumdhihaki Jpm, sasa leo hao mafisadi wanapiga dili nyinyi tena mnakuja kulialia

Acheni unafiki
Naona hauna taarifa in details ofisi za Wakuu wa Wilaya (Kakonko, Uvinza,Nyasa, Momba, Same) ujenzi wake umeanza wakati wa JPM, na upo chini ya TBA kwahiyo hapa JPM alikuwa anajua 💯.

Lakini unadhani kuna upigaji? Unaongelea Nyumba anayoweza Rais when need be
 
Wakati makusanyo ya mapato katika wilaya ya Kakonko kwa mwaka 2020/21 yalikua ni Milioni 539, ujenzi wa nyumba ya mkuu wa wilaya umetengewa milioni 700. Fedha hizi ni mara tatu ya fedha zinazogharamia elimu kwa shule za msingi Kakonko

Ukarabati wa nyumba Katibu Tawala Kisarawe umetengewa milioni 130.

Fedha zinakaribia kulingana na bajeti ya sekta ya afya Kisarawe Kwa mwaka 2020/2021, milioni 150.

Ukarabati wa nyumba ya Katibu Tawala Mkuranga milioni 140 na

Ukarabati wa nyumba ya Katibu Tawala Bagamoyo milioni 120.

Fedha hizi ni zinakaribia bajeti ya sekta ya afya katika wilaya hiyo kwa mwaka 2020/2021 ambapo milioni 300 zilipelekwa kwa ajili ya ujenzi wa zahanati.
....tuendelee na nyimbo waombolezaji .....hayupoo hayupooooo ...... hayupoooo

1.Kapanga nyumba? ni sh ngapi kwa mwezi??

2.akijenga mwaka huu si hatajenga tena?


angalia scenario ya kwanza....usikute huko nyuma wanapanga 10m kwa mwezi,
 
Afu ndio umshawishi mfanyabiashara alipe kodi?
Atafanya kila awezalo kukwepa kulipa kodi kwa sababu anajua kodi yake inaenda kuliwa na wajanja. Kwa matumizi ya mfumo huo ni wapi serikali itapata hela ya kuajiri watumishi kama polisi, daktari, mwalimu nk ili wamhudumie huyo mfanyabiashara anapo kuwa na uhitaji?
 
Wakati makusanyo ya mapato katika wilaya ya Kakonko kwa mwaka 2020/21 yalikua ni Milioni 539, ujenzi wa nyumba ya mkuu wa wilaya umetengewa milioni 700. Fedha hizi ni mara tatu ya fedha zinazogharamia elimu kwa shule za msingi Kakonko

Ukarabati wa nyumba Katibu Tawala Kisarawe umetengewa milioni 130.

Fedha zinakaribia kulingana na bajeti ya sekta ya afya Kisarawe Kwa mwaka 2020/2021, milioni 150.

Ukarabati wa nyumba ya Katibu Tawala Mkuranga milioni 140 na

Ukarabati wa nyumba ya Katibu Tawala Bagamoyo milioni 120.

Fedha hizi ni zinakaribia bajeti ya sekta ya afya katika wilaya hiyo kwa mwaka 2020/2021 ambapo milioni 300 zilipelekwa kwa ajili ya ujenzi wa zahanati.

....tuendelee na nyimbo waombolezaji .....hayupoo hayupooooo ...... hayupoooo
CCM ni wafujaji kabisa
 
JPM asingeweza kuapprove upuuzi huo. Suala ni kwamba hii nchi ina matakataka kibao manyonyaji serikalini. Pamoja na kwamba alijitahidi kuyakemea na kuyaminya lakini bado ni mengi mno kuyamaliza si kitu rahisi. Mama asipokuwa mkali kuyashughulikia haya manyonyaji tutamshughulikia yeye. Hatuwezi kulipa kodi halafu itafunwe na majitu yasiyoweza kujilisha nje ya serikali.
Ameahidi kuendeleza. Matokeo ya kuendelea kuliwa kwa hela za serikali enzi za Magufuli ni mfumo wake wa utawala kutaka kila jambo afanye yeye. Wateule wakabaki na kazi kubwa ya kupanga madili ya ufisadi.
 
Taahira mkubwa wewe tumeishi na JPM tumemuona, tumeuona utendaji wake hatujahadithiwa, JPM asingeweza kuapprove upuuzi huo, misho.ga ka nyie lazima mumchukie kwa kuzuia accounts za viNGO vyenu na mafuta ya KY.
Kwani ukimjibu kistaarabu jicho lako moja litatoka?
 
..na mabulungutu ya manoti aliyokuwa akigawa wakati wa ziara zake yalikuwa milioni au bilioni ngapi? CAG alikuwa anakagua fedha zile?

Cc Erythrocyte
Kazi kubwa ya CAG ni kuandika ngonjera. Kuna upigaji wa kutosha wa wakaguzi wa ofisi yake wanapo enda kufanya ukaguzi kwenye mashirika, taasisi na idara za serikali.
 
Taahira mkubwa wewe tumeishi na JPM tumemuona, tumeuona utendaji wake hatujahadithiwa, JPM asingeweza kuapprove upuuzi huo, misho.ga ka nyie lazima mumchukie kwa kuzuia accounts za viNGO vyenu na mafuta ya KY.
Unapayuka bure tu. Hao wakuu wa wilaya na makatibu tawala si ndoo Magufuli aliwahonga vyeo kwa kuiba, kupora, kuua na kuteka wakati wa siasa zake chafu. Jpm was an extremly evil man. Hasameheki hata mbele za Mungu.
 
Budget Kama hizi zinapita bungeni kwa [emoji817], na watz bado tunacheka na hao wabunge? Kupitisha hz budget iwe points za kuwahoji na kupiga chini uchaguzi ujao.
 
Wakati makusanyo ya mapato katika wilaya ya Kakonko kwa mwaka 2020/21 yalikua ni Milioni 539, ujenzi wa nyumba ya mkuu wa wilaya umetengewa milioni 700. Fedha hizi ni mara tatu ya fedha zinazogharamia elimu kwa shule za msingi Kakonko

Ukarabati wa nyumba Katibu Tawala Kisarawe umetengewa milioni 130.

Fedha zinakaribia kulingana na bajeti ya sekta ya afya Kisarawe Kwa mwaka 2020/2021, milioni 150.

Ukarabati wa nyumba ya Katibu Tawala Mkuranga milioni 140 na

Ukarabati wa nyumba ya Katibu Tawala Bagamoyo milioni 120.

Fedha hizi ni zinakaribia bajeti ya sekta ya afya katika wilaya hiyo kwa mwaka 2020/2021 ambapo milioni 300 zilipelekwa kwa ajili ya ujenzi wa zahanati.

....tuendelee na nyimbo waombolezaji .....hayupoo hayupooooo ...... hayupoooo
Picha ya hiyo nyumba ipo wapi?
 
Anahusikaje kwani hizo nyumba zinajengwa kwake, au anajengewa yeye? Nchi kubwa wapigaji ni wengi hasa kwenye halmashauri. JPM kwa nafasi yake aliupa kipaumbele ufisadi papa wa kupiga mabilioni huko mawizarani na kwenye taasisi. Sasa mama adili na ufisadi sugu ulioko kwenye halmashauri. Ufisadi inabidi iwe vita endelevu na ya kupokezana vijiti.

Kwa maelezo yako haya ni kuwa JPM aliishindwa vita ya ufisadi si ndio?, sasa lakini mbona tunamuita shujaa?
 
Back
Top Bottom