Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana mwamba alikua anataka kupiga chini toka muda tu. Swala la mtoto likampa sababuUwezi amini jamani, nina mdogo wa mwisho anamika 27 miaka mitano iliyopita alipata mtoto wa kiume. Ila aliyempa ujauzito baadae alioa mwanamke mwingine.
Mwaka jana mwezi wa 8 alimpata kaka mmoja hivi ni mzuri sana na anamaisha yake. Mimi nilimpenda sana yule kaka, mdogo wangu aliniambie huyu ndo mume anayemtaka japo hakumwambia mapema kuwa anamtoto tayari.
Ila mwezi uliopita yule kaka alimwambia kuwa anahitaji kumjua zaidi kuusu familia yake na mahusiano yake ya mwanzo kabla hawajafika deep relationship.
Mdogo wangu akasema sawa, mimi nilimwambia kuwa mwambie mapema kuwa unamtoto tayari, pia usimfiche kuhusu uliyezaa nae mwambie tuu mahusiano yashakufa na tayari yeye anamke tayari. Mwembie mtoto wako hataaribu mahusiano yenu. Pia amwambie tuu kuwa haukupanga kuwa na mtoto ilitokea tuu.
Sasa wiki iliyopita alimwambie kuwa yeye tayari anamtoto, na aliyezaa nae yani Baba mtoto hana mahusiano nae wamebaki kuhudumia tuu mtoto na kuwasiliana kuhusu mtoto tu.
Baada ya kumwambia hivyo yule kaka jamani, jioni yake hakuwa anajibu hata sms , hata akimpigia anamwambia yuko busy. Alimfanyi hivyo kama siku 4 hivi.
Sasa juzi wamekutana yule kaka jamani akamwambia kuwa wewe tayari unamtoto nje. Mimi nataka kuwa na mwanamke ambaye tutakuwa na watoto wetu tuu wa ndoa peke yake.
Nilishangaa sana alimwambie kuwa kama unamtoto tayari tutawafundisha nini watoto wetu kuwa usizae kabla ya ndoa angali wewe tayari unamtoto kabla ya ndoa.
Huo ujasiri utautoa wapi. Lakini pia hata kuwaambia watoto usizini angalie wewe mama ushazini tayari.
Mawasiliano na baba mtoto yakizidi je mimi nitafanya nini. Mdogo wangu ameniambie hivyo.
Nimeshangaa sana jamani,
Hivi nyie wanaume mtoto anatatizo gani jamani. Kwani atazuia ndoa yenu isiwe na furaha jamani.
Kwa nini inakuwa ngumu kwenu kuoa mwanamke ambaye anamtoto tayari.
ACHENI UCHOYO NA ROHO MBAYA.
Legezeni masharti mtatuua.....iwe tu hakuna mawasiliano basi walauLiwe sharti gani ? Pendekeza
Mtego huo sidhan Kama hilo litapata hata kura moja ya kupitishwa.Legezeni masharti mtatuua.....iwe tu hakuna mawasiliano basi walau
Leo asubuhi kwenye mwendokasi ya Kimara-kivukoni kuna mzee alikuwa anaongea kwenye simu kwa sauti kubwa nafikiri intention yake ni watu wamsikie namnukuu "Huyo dogo ni fala anaoaje mwanamke mwenye mtoto huko ni sawa na kununua gari bovu wakati kuna wanawake wengi hawana watoto ona sasa kauza mpaka simu kuhudumia watoto wa mwenzie mi nilimwambia afukuze hao watoto waende kwa baba zao" Mwisho wa kunukuu..Kaburi ndio tiketi ya ndoa kikao kirudiwe hili sharti gumu
Hivi hili swala singo faza huwa haliwahusu eehLeo asubuhi kwenye mwendokasi ya Kimara-kivukoni kuna mzee alikuwa anaongea kwenye simu kwa sauti kubwa nafikiri intention yake ni watu wamsikie namnukuu "Huyo dogo ni fala anaoaje mwanamke mwenye mtoto huko ni sawa na kununua gari bovu wakati kuna wanawake wengi hawana watoto ona sasa kauza mpaka simu kuhudumia watoto wa mwenzie mi nilimwambia afukuze hao watoto waende kwa baba zao" Mwisho wa kunukuu..
Wanaoponda single maza wana hoja wasikilizwe.
Single father wapo really sana hawana konakona hawapigi simu kuomba hela za matumiziHivi hili swala singo faza huwa haliwahusu eeh
Mdogo wako alichumbiwa na mvulana na ametoswa kisa kazaa.Kwa nini inakuwa ngumu kwenu kuoa mwanamke ambaye anamtoto tayari.
Mmmh kumbe shida ni u-realSingle father wapo really sana hawana konakona hawapigi simu kuomba hela za matumizi
[emoji23][emoji23][emoji23]Mwanaume mwenzetu kakoswakoswa na ajali bahati nzuri ametoka salama.
Huyo mdogo wako mwambie atafute hela alee mtoto wake... Akitaka mume aoe yeye! Tena ajipange sana
Na huyo ni mzee anatetea vijana [emoji1373]Leo asubuhi kwenye mwendokasi ya Kimara-kivukoni kuna mzee alikuwa anaongea kwenye simu kwa sauti kubwa nafikiri intention yake ni watu wamsikie namnukuu "Huyo dogo ni fala anaoaje mwanamke mwenye mtoto huko ni sawa na kununua gari bovu wakati kuna wanawake wengi hawana watoto ona sasa kauza mpaka simu kuhudumia watoto wa mwenzie mi nilimwambia afukuze hao watoto waende kwa baba zao" Mwisho wa kunukuu..
Wanaoponda single maza wana hoja wasikilizwe.
fact!Mdogo wako aluchumbiwa na mvulana na ametoswa kisa kazaa.
Mwambie tu mdogo wako aache kufukuzia wavulana maana hawana moyo wa kuishi na mwanamke aliyezaa.
Mwambie afukuzie wanaume watu wazima wenye akili hao huwa hawamkatai mwanamke eti kisa ana mtoto.
Kabisa, mke wangu alinikuta na mtoto mmoja. Sina mazoea ya kuwasiliana na mzazi mwenzangu, wakati mwingine hadi mwaka unaisha hatujawasiliana. Mtoto yupo kwangu sasa mke wangu atapata wasiwasi gani? Wanawake hawawezi tena walivyo na tamaa hawa watu.Single father wapo really sana hawana konakona hawapigi simu kuomba hela za matumizi
UshauriUwezi amini jamani, nina mdogo wa mwisho anamika 27 miaka mitano iliyopita alipata mtoto wa kiume. Ila aliyempa ujauzito baadae alioa mwanamke mwingine.
Mwaka jana mwezi wa 8 alimpata kaka mmoja hivi ni mzuri sana na anamaisha yake. Mimi nilimpenda sana yule kaka, mdogo wangu aliniambie huyu ndo mume anayemtaka japo hakumwambia mapema kuwa anamtoto tayari.
Ila mwezi uliopita yule kaka alimwambia kuwa anahitaji kumjua zaidi kuusu familia yake na mahusiano yake ya mwanzo kabla hawajafika deep relationship.
Mdogo wangu akasema sawa, mimi nilimwambia kuwa mwambie mapema kuwa unamtoto tayari, pia usimfiche kuhusu uliyezaa nae mwambie tuu mahusiano yashakufa na tayari yeye anamke tayari. Mwembie mtoto wako hataaribu mahusiano yenu. Pia amwambie tuu kuwa haukupanga kuwa na mtoto ilitokea tuu.
Sasa wiki iliyopita alimwambie kuwa yeye tayari anamtoto, na aliyezaa nae yani Baba mtoto hana mahusiano nae wamebaki kuhudumia tuu mtoto na kuwasiliana kuhusu mtoto tu.
Baada ya kumwambia hivyo yule kaka jamani, jioni yake hakuwa anajibu hata sms , hata akimpigia anamwambia yuko busy. Alimfanyi hivyo kama siku 4 hivi.
Sasa juzi wamekutana yule kaka jamani akamwambia kuwa wewe tayari unamtoto nje. Mimi nataka kuwa na mwanamke ambaye tutakuwa na watoto wetu tuu wa ndoa peke yake.
Nilishangaa sana alimwambie kuwa kama unamtoto tayari tutawafundisha nini watoto wetu kuwa usizae kabla ya ndoa angali wewe tayari unamtoto kabla ya ndoa.
Huo ujasiri utautoa wapi. Lakini pia hata kuwaambia watoto usizini angalie wewe mama ushazini tayari.
Mawasiliano na baba mtoto yakizidi je mimi nitafanya nini. Mdogo wangu ameniambie hivyo.
Nimeshangaa sana jamani,
Hivi nyie wanaume mtoto anatatizo gani jamani. Kwani atazuia ndoa yenu isiwe na furaha jamani.
Kwa nini inakuwa ngumu kwenu kuoa mwanamke ambaye anamtoto tayari.
ACHENI UCHOYO NA ROHO MBAYA.
Mi hata kaburi silihitaji, ukishakuwa na mtoto tu hapo uwe mtoa utelezi tuNgoja waje hapa utasikia mpk waone kaburi la baba mtoto ndo ataolewa