Smart Gang
JF-Expert Member
- Nov 16, 2022
- 2,013
- 3,406
Life tortureAdhabu gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Life tortureAdhabu gani?
Majuto ya kukiuka alafu matokeo yawe hasiLife torture
ExactlyMajuto ya kukiuka alafu matokeo yawe hasi
Kweli u single mother sio kitu cha kuji proud nacho. Ila ukiwakuta wenyewe huwa wanajifariji sana as if hawana maumivu.Unikome mie kigoli chuchu saa 6
Case closed [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]Uwezi amini jamani, nina mdogo wa mwisho anamika 27 miaka mitano iliyopita alipata mtoto wa kiume. Ila aliyempa ujauzito baadae alioa mwanamke mwingine.
Mwaka jana mwezi wa 8 alimpata kaka mmoja hivi ni mzuri sana na anamaisha yake. Mimi nilimpenda sana yule kaka, mdogo wangu aliniambie huyu ndo mume anayemtaka japo hakumwambia mapema kuwa anamtoto tayari.
Ila mwezi uliopita yule kaka alimwambia kuwa anahitaji kumjua zaidi kuusu familia yake na mahusiano yake ya mwanzo kabla hawajafika deep relationship.
Mdogo wangu akasema sawa, mimi nilimwambia kuwa mwambie mapema kuwa unamtoto tayari, pia usimfiche kuhusu uliyezaa nae mwambie tuu mahusiano yashakufa na tayari yeye anamke tayari. Mwembie mtoto wako hataaribu mahusiano yenu. Pia amwambie tuu kuwa haukupanga kuwa na mtoto ilitokea tuu.
Sasa wiki iliyopita alimwambie kuwa yeye tayari anamtoto, na aliyezaa nae yani Baba mtoto hana mahusiano nae wamebaki kuhudumia tuu mtoto na kuwasiliana kuhusu mtoto tu.
Baada ya kumwambia hivyo yule kaka jamani, jioni yake hakuwa anajibu hata sms , hata akimpigia anamwambia yuko busy. Alimfanyi hivyo kama siku 4 hivi.
Sasa juzi wamekutana yule kaka jamani akamwambia kuwa wewe tayari unamtoto nje. Mimi nataka kuwa na mwanamke ambaye tutakuwa na watoto wetu tuu wa ndoa peke yake.
Nilishangaa sana alimwambie kuwa kama unamtoto tayari tutawafundisha nini watoto wetu kuwa usizae kabla ya ndoa angali wewe tayari unamtoto kabla ya ndoa.
Huo ujasiri utautoa wapi. Lakini pia hata kuwaambia watoto usizini angalie wewe mama ushazini tayari.
Mawasiliano na baba mtoto yakizidi je mimi nitafanya nini. Mdogo wangu ameniambie hivyo.
Nimeshangaa sana jamani,
Hivi nyie wanaume mtoto anatatizo gani jamani. Kwani atazuia ndoa yenu isiwe na furaha jamani.
Kwa nini inakuwa ngumu kwenu kuoa mwanamke ambaye anamtoto tayari.
ACHENI UCHOYO NA ROHO MBAYA.
Kama weww ndiye mshauri wa mdogo wako, basi picha lote limejichora kuwa wote ni vikapu.Uwezi amini jamani, nina mdogo wa mwisho anamika 27 miaka mitano iliyopita alipata mtoto wa kiume. Ila aliyempa ujauzito baadae alioa mwanamke mwingine.
Mwaka jana mwezi wa 8 alimpata kaka mmoja hivi ni mzuri sana na anamaisha yake. Mimi nilimpenda sana yule kaka, mdogo wangu aliniambie huyu ndo mume anayemtaka japo hakumwambia mapema kuwa anamtoto tayari.
Ila mwezi uliopita yule kaka alimwambia kuwa anahitaji kumjua zaidi kuusu familia yake na mahusiano yake ya mwanzo kabla hawajafika deep relationship.
Mdogo wangu akasema sawa, mimi nilimwambia kuwa mwambie mapema kuwa unamtoto tayari, pia usimfiche kuhusu uliyezaa nae mwambie tuu mahusiano yashakufa na tayari yeye anamke tayari. Mwembie mtoto wako hataaribu mahusiano yenu. Pia amwambie tuu kuwa haukupanga kuwa na mtoto ilitokea tuu.
Sasa wiki iliyopita alimwambie kuwa yeye tayari anamtoto, na aliyezaa nae yani Baba mtoto hana mahusiano nae wamebaki kuhudumia tuu mtoto na kuwasiliana kuhusu mtoto tu.
Baada ya kumwambia hivyo yule kaka jamani, jioni yake hakuwa anajibu hata sms , hata akimpigia anamwambia yuko busy. Alimfanyi hivyo kama siku 4 hivi.
Sasa juzi wamekutana yule kaka jamani akamwambia kuwa wewe tayari unamtoto nje. Mimi nataka kuwa na mwanamke ambaye tutakuwa na watoto wetu tuu wa ndoa peke yake.
Nilishangaa sana alimwambie kuwa kama unamtoto tayari tutawafundisha nini watoto wetu kuwa usizae kabla ya ndoa angali wewe tayari unamtoto kabla ya ndoa.
Huo ujasiri utautoa wapi. Lakini pia hata kuwaambia watoto usizini angalie wewe mama ushazini tayari.
Mawasiliano na baba mtoto yakizidi je mimi nitafanya nini. Mdogo wangu ameniambie hivyo.
Nimeshangaa sana jamani,
Hivi nyie wanaume mtoto anatatizo gani jamani. Kwani atazuia ndoa yenu isiwe na furaha jamani.
Kwa nini inakuwa ngumu kwenu kuoa mwanamke ambaye anamtoto tayari.
ACHENI UCHOYO NA ROHO MBAYA.
Msipowasiliana mtoto atajenga chuki kali dhidi ya familia na huenda akawaharibu watoto wa baba wa kamboLegezeni masharti mtatuua.....iwe tu hakuna mawasiliano basi walau
Hata mimi ni hivyohivyoMi hata kaburi silihitaji, ukishakuwa na mtoto tu hapo uwe mtoa utelezi tu
Nyie mbona mnawatoto na wanawake wanakubali mnatuonea tuHUYO NDIO MWANAUME RIJALI SASA, MASINGO MAZA WOTE MKAOLEWE NA MLIOZAA NAO... MWANAUME NA AKILI ZAKO TIMAMU HUWEZ KUISHI NA SINGO MAZA... Labda kumzalisha na kumuacha kama alivyo achwa...
Mwanaume usijekurogwa ukaoa singo maza, utakuwa unafuga chatu atakayekuja kukumeza...
All in all KATAA NDOA UISHI KWA AMANI UIMARIKE KIUCHUMI
Mpwa Hadi wew😂Case closed [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
View attachment 2644053
Kwa wanaume hali ni tofauti, ila kama mnataka na hili mjiringanishe karibuni. Kwani sisi tuna noma basi? Sisi hatutaacha kuzalisha.Huwa nawafikiria single father's kwakweli na mm natak nione makaburi ya wanawake mlozaa nao 😀
Acha gubu[emoji23][emoji23][emoji23], kuleni chuma chenu hicho[emoji23][emoji23]Huwa nawafikiria single father's kwakweli na mm natak nione makaburi ya wanawake mlozaa nao [emoji3]
Hurraaaaaay 🙌🙌🙌Nipe namba ya huyo jamaa nimtumie hela ya kvant kwa maamuzi yake,, huwez nunua shamba lina makaburi ya ukoo
Kumbe eeh mtu amekuzalia mtoto umuite fala Sasa fala si wanakutanaga na fala mwenzie wanazaa,acheni hizo Hao watoto nyie ndo babazao na msipowaoa kunawenzenu watawaoa na watoto wenu wataelelewa vizuri tuKwa wanaume hali ni tofauti, ila kama mnataka na hili mjiringanishe karubuni. Kwani sisi tuna noma basi? Sisi hatutaacha kuzalisha.
Sisi mkikaa sawa tunawapiga mimba tunateleza, kyna mafala ndiyo wameumbwa kwa ajili ya kutulelea watoto wakati sisi tunaishi.
HUYO NDIO MWANAUME RIJALI SASA, MASINGO MAZA WOTE MKAOLEWE NA MLIOZAA NAO... MWANAUME NA AKILI ZAKO TIMAMU HUWEZ KUISHI NA SINGO MAZA... Labda kumzalisha na kumuacha kama alivyo achwa...
Mwanaume usijekurogwa ukaoa singo maza, utakuwa unafuga chatu atakayekuja kukumeza...
All in all KATAA NDOA UISHI KWA AMANI UIMARIKE KIUCHUMI
Sio gubuAcha gubu[emoji23][emoji23][emoji23], kuleni chuma chenu hicho[emoji23][emoji23]