Kakosa Mume wa ndoto yake: Mdogo wangu wa mwisho kakosa mume kisa ana mtoto

Mwenye matatizo ni wewe, umeshindwa kumshauri, atafute mwanaume mwenye mtoto mechi ianze me 1- 1 ke, kama baba wa mtoto anamke wake tayari kwa nini hakumuoa mdogo wako? Au ndo ile unaenda sokoni unabonyeza maparachichi alafu huchukui unaenda kununua maembe.
 
Hivi hili swala singo faza huwa haliwahusu eeh

mtoto sikuzote ni wa mama yan hata awe mkubwa vip[emoji16][emoji16] yani anaeteseka from dusk till dawn ni mama.... baba labda ayakubali majukumu hapo ndo utaona mahangaiko ya baba ila akiamua kukimbia mzigo ni wa mwanamke mpaka atakapokufa[emoji2356][emoji2356]
 
Hizo body counts hamnaga mwanaume hataki kujua iko wazi atadanganya kwa kusema watatu au wawili ila akili kumkichwa watu ni FIAT za Magereza
 

asikimbize wanaume kabisa kama bahati yake ipo ipo tuu hana haja ya kuhangaika yani.. Wote tunamwomba MUNGU mmoja sio kila mtuu hawapendi singo maza kikubwa ajipende na kujikubali tuu afu awe bize na maisha yake[emoji4][emoji4] ampende mwanae basi


NB: dear ladies wanaume hawatafutwi wao ndo wanatafuta tujipe furaha tu afu tutafute hela[emoji4][emoji4]
 
Na wew utalea mtoto asie wako ndani ya ndoa Kuna fala atamjaza mimba mkeo na utalea vilevile Nyie mmeumbiwa hivo pia
Kuna mabint wawili are so good, wanalea watoto wadogo sasa hivi, mmoja analea wa kwangu, mwingine analea wa jamaa. Kama una kaka yako unaweza ukani PM nimuunganishe na mmoja wao ili aoe, ni wasichana fulani amazing na ni wife materials.

Hizo za kugongewa endelea ku wish hivyohivyo, wengine sisi tunaishi kwa makusudi.
 
Kwenye maisha haya hakuna mkamilifu huenda ndio kubwa kulifanya msipende kuhukumu watu Kwa mapito Yao kheri wao wamepata watoto hawakupata ukimwi
 
Kwenye maisha haya hakuna mkamilifu huenda ndio kubwa kulifanya msipende kuhukumu watu Kwa mapito Yao kheri wao wamepata watoto hawakupata ukimwi
Standards ni muhimu sana zizingatiwe. Kufeli shule siyo kufeli maisha.
Ila si sahihi, na ni kituko kwa aliyefeli shule kulazimisha kazi zinazohitaji wenye shule/elimu. Akubaliane na hali yake, mbona tunawaheshimu sana waliokubaliana na matokeo?
 
Huwa nawafikiria single father's kwakweli na mm natak nione makaburi ya wanawake mlozaa nao [emoji3]
Upo sahihi kabisa. Hili tatizo si la upnde mmoja tu. Hivi vijogoo vinavyozalisha ovyo ovyo hivi tabu sana. Unamkuta binti ana 20 yrs ila tayari ni single mother. Aisee inaumiza sana.

Na wanawake anzeni kukataa kuolewa na single fathers.

Mm ni Me
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aiseeee kuna watu wana mitazamo ya kiwaki kinoma[emoji1787][emoji174][emoji174] aloooh make sure ukizaa mtoto wa kike asiwe fala ambae ameumbwa kuja kuwaletea watu watoto wakati hao watu wanaishi[emoji6][emoji6]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…