Kakosa Mume wa ndoto yake: Mdogo wangu wa mwisho kakosa mume kisa ana mtoto

Kakosa Mume wa ndoto yake: Mdogo wangu wa mwisho kakosa mume kisa ana mtoto

sawa, lakini usionyeshe dalili kuwa bado unampenda hata kama unampenda kweli.
Nafikilo ndicho wanaume wanaamini kuwa kuoa single mother shida.
Unaonyesha kuwa umpendi,
Wakati kweli umemuweka moyoni duu
 
You are right kwa wenzetu it’s not even a deal breaker….mwenye mtoto/watoto anaolewa na maisha yanaendelea na Kama kuna mawasiliano na baba mtoto yanakua ya heshima life goes on.
Swali langu bado linabaki kwa wanaume ni utajuaje asie na mtoto ametoa mimba ngapi?? Kipi bora Mwenye mtoto au huyu mama mwenye watoto alio waflash ???? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bora aliye flash
 
Kuna jamaa alinichekesha alisema "ukimuoa mwanamke nliezaa nae nakua nakuja kwako asubuhi, mchana na jioni kumuona mtoto"🤣🤣🤣🤣
Mmmh sina uhakika kama atakuwa na ujasiri huo, labda alikuwa anatania tuu.
Na kama mtoto huyo kaka akakataa kukaa nae je. Mimi nimeona mtoto anachwa kwa bibi na babu.
 
Mimi kila week lazima nije nimchukue. Lazima utatema bungo tu na kuniachia mtoto. Kwanza sitamchukua, nakuachia ukae naye ili niwe nakujakuja
Sina uhakika kama utakuwa na uwezk huo wa kwenda ,
Labda umuombe mama akaletee labda hio
 
Mtoa mada kasema kuwa, yule mwamba amehoji.

Huyu mwanamke aliyezaa nje ya ndoa(ingawa anasema ilikuwa bahati mbaya) atawahusiaje wanawe na wao wasizae nje ya ndoa? kuwa aje awahusie pindi wakiwa wanazini kabla ya ndoa wawe makini wasipate mimba?.

Hizi hoja za yule mwamba ni nzito zinahitaji majibu.

Tupatieni majibu ya hizi hoja kwanza.
Aaaaaa
 
Kabla sijawa na akili pevu niliona kulea mtoto ni jambo jepesi tu, si nikawa najisemea i nikununua chakula nguo na kumkatia bima basi.. Kumbe nilikuwa najidanganya. Basi hivi juzi juzi mzee wangu aliomba nimsaidie kuwalea wadogo zangu wa mwisho kabisa qmbao ni wadogo kweli wako Primary na mnajua siku hizi watoto wanaingia shule wakiwa bado wadogo. Baada ya hapo nlianza kukaa nao, mmh niseme tu ukweli kulea sio jambo dogo wazee na ukute mtoto anamalezi mengine tayari kasheshe hilo. Kwa jinsi ninavyoona kulea watoto ambao hujazaa wewe mwenyewe ilivyo kazi sasa inakuaje kulea mtoto wa mwanaume mwenzako. Akina dada wa siku hizi lwzima wajue kuwa ikitokea mtu amekupenda wewe kama single mother na akakubali mlee pamoja na yeye umzalie wa kwake mshukuru sana huyo jamaa kwani atakuwa amekutoa jalalani. Single mothers wengi hujilinganisha na wale ambao hawajazalishwa, kusema ukweli hawawezi kuwa sawa, hata akiwa na miaka 30 kilometa zimesogea ila kama hajapata mtoto chance za kuolewa zipo juu kuliko huyu single mother mwenye miaka 25.
Nirejee kwenye maada, kwanza jamaa anamipango yake na mtu kushika dini sana na pia jamaa alikuwa hajampenda sana huyo dada. Mapenzi upofu asee, angekua amempenda kikweli kikweli mtoto isingekuwa shida changamoto ingelikuja baadae mwanamke akishamzoea mwnaume anaanza kumuona wa kawida na kuanza kuweka mahusiano na yule Baba mtoto. Hilo ndio linqkatisha tamaa na huwezi zuia hawa wawili kuwasiliana kwa namna yoyote vinginevyo utakuwa unamnyima mtoto haki yake na kutunzwa na Baba yake mzazi. Mwisho nasema tu, kulea jamani sio jambo dogo ndio aje kuwa mtoto wa mwanaume mwingine mmmh kasheshe hilo.

sometimes shida ni baba watoto pia[emoji23][emoji23] wanaume huwa hawapendi kuona wanawake waliozaa nao wanaolewa utasikia sitaki mtoto wangu alelewe na mwanaume mwingine sasa kama hutaki kwann hujanioa[emoji1787][emoji1787] afu ndo anaanza kujifanya alikosea anatamani mrudi mlee mtoto wenu.. wanawake wana roho ndogo sana jamani yani ukishamjaza upepo basi[emoji113][emoji113][emoji113] ko ukishamwacha mwanamke kubali matokeo mana lazima ataolewa tu au atakua na mahusiano mengine hawezi kukusubiri wewe milele[emoji28]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] "...mwanangu mimi nakupenda sana, mama yako hakutaka niwe karibu na wewe. Chukua hizi laki mbili zitakusogeza[emoji23], na chukua hii iPhone 14 Pro bado ni mpya tu nimeitumia kama mwezi hivi[emoji23], na mwezi ujao utaniambia ni aina ipi ya laptop unataka, kama ni apple au lenovo... usisite kunikumbusha mwisho wa mwezi huu, na usisahau kunikumbusha suala la shoppong pia[emoji23], baba yako mdogo anataka sana kuonana na wewe..."[emoji28][emoji28][emoji28]
Hapo Bibi amepigiwa video call "Jamani Bibi yangu". Baba anasema save namba ya bibi, ya auntie hiyo na Baba mkubwa na ndugu zako hawa hapa.

Weekend nakuja kukuchukua tuna tafrija kidogo pale nyumbani ya kukupokea Baraka ya ukoo wetu. Umeandaliwa zawadi na ndugu watakusubiria kukuona kwa shauku.

Hapo mtoto utamwambia nini sasa kwa baba yake? Akienda huko anapokelewa kwa shangwe kama mkuu wa wilaya kaja kufungua Zahanati mpya.
 
Na mwanaume mwingine ambaya ataki kukaa na mtoto na anakuambia tuu mpeleke mtoto wa Baba yake.
Au muache mtoto kwa wazazi wako

Na hakuna kuja nyumbani,
Nimewahi ona dada mmoja alizalia home jamaa alimkataa mtoto.
Dada akaolewa mtoto kamuacha kwa wazazi na hajawahi kwenda kwa mama yake. Ni mama tuu anakuja kumtembelea mara chache sana.
Hii inakaaje
Ndio inabidi iwe hivyo lazima m'moja wenu aumie kwa kusacrifice ili uhusiano uende.

Maana ni aidha mwanaume akubali kuishi na mtoto asie wake aanze kudeal na drama za malezi ya mtoto asie wake. Au mwanamke akubali kuishi mbali na mtoto wake ajenge familia mpya.
 
Hahahah single maza bile hela ni mtihani. Uwoya ana 90% success rate ya kupata ndoa kuliko mwanamke singo maza wa mtaani ambaye ni kula kulala kwa mama yake.
Mtu uchumi wake upo tenge, hana kipato, kwao hawana hali, halafu ndio anahizo baggage kutoka kwa mwanaume asiyejulikana then aje kunipangia maisha, hivi inawezekana?
 
Asante sana Wala nn nikaribie km Kuna mambo yngu
Msosi wa leo ni heavy hadi nimechanganyikiwa hapa draft lake. Kushoto Wali, kando kidogo nyama ya mchuzi, bakuli ya rojo ya mpiko wa ndizi mzuzu za kuiva, viazi vitamu, viazi mviringo, na boga vimesagwa pamoja, magarage, Chinese, matunda. Acha kabisa. Fanya haraka uje tule.
 
Msosi wa leo ni heavy hadi nimechanganyikiwa hapa draft lake. Kushoto Wali, kando kidogo nyama ya mchuzi, bakuli ya rojo ya mpiko wa ndizi mzuzu za kuiva, viazi vitamu, viazi mviringo, na boga vimesagwa pamoja, magarage, Chinese, matunda. Acha kabisa. Fanya haraka uje tule.
Doh aisee ngoja nisogee nyama ndo mamboyangu hayo 😍
 
Back
Top Bottom