Kakosa Mume wa ndoto yake: Mdogo wangu wa mwisho kakosa mume kisa ana mtoto

Kakosa Mume wa ndoto yake: Mdogo wangu wa mwisho kakosa mume kisa ana mtoto

Hapo Bibi amepigiwa video call "Jamani Bibi yangu". Baba anasema save namba ya bibi, ya auntie hiyo na Baba mkubwa na ndugu zako hawa hapa.

Weekend nakuja kukuchukua tuna tafrija kidogo pale nyumbani ya kukupokea Baraka ya ukoo wetu. Umeandaliwa zawadi na ndugu watakusubiria kukuona kwa shauku.

Hapo mtoto utamwambia nini sasa kwa baba yake? Akienda huko anapokelewa kwa shangwe kama mkuu wa wilaya kaja kufungua Zahanati mpya.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu acha zako, anapokelewa kama mkuu wa wilaya kaja kufanya nini?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti save namba ya bibi na ya aunt[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu ukioneshwa kaburi la kanyaboya utahakiki vipi sasa?

Utafukua ulinganishe DNA na watoto?
Dah hapa sasa pia mtihani mkuu...
Bado sijaenda na hili sijamwambia muhusika yaani nawaza na kuwazua aisee kweli naweza pigwa changa hapa. Wacha niinamishe kichwa tenaa
 
Tulikubaliana kikao cha mwisho single mother tunaoa endapo utaonyeshwa kaburi la mzazi mwenza.

Lakini kuna mjumbe mmoja akaongezea ni lazima uonyeshwe CD au flash yenye video ya mazishi ikiwa imeambatana na maelezo ya historia fupi ya marehem yenye kuthibitisha kua ni kweli ameacha single mother (ikiwa linatajwa kabisa jina la huyo mama) pamoja na mtoto. Tena wawe wameonekana wakiwa wanahudhuria hayo mazishi kupitia hiyo video.

Kinyume na hapo USIOE.
🙏🙏🙏katika kikao hiki sikuwepo nadhani ndio kipindi nilipata homa.
Mkuu shukrani kwa kunidokeza madomezo muhimu saana kwa zaidi ya 100%
Wacha nichukue hizi
Ila jf atakae iua na sisi tutamfagia maana duh kuna raia vichwa viko sawa🤣🤣🤣🤣
Mkuu nimeongeza muda zaidi wa uhakiki kwa huyu raia
 
Wanawake mnakosea padogo sana (naongea na singo maza) ninachojua mwanamke unatongozwa

wala hujipeleki,hivi kinachokufanya usimkazie huyo mwanaume ni nini? Mkazie haswaa akikuuliza sababu

za kumkazia ndipo unamwambia "nina mtoto" najua huwezi nipenda na mtoto wangu na hata ukinipenda sasa

baadae utanibadilikia "mjibu hivyo muache hapo" Kama kweli ana nia na wewe ataropoka Tu,MTOTO kitu ganiiii

Fresh tuuu,usimkubalie Tengeneza Bond kati yake na mtoto...ukishajiridhisha kamuelewa mwanao Basi nawewe fungua

Moyo mfunulie gauni hilo,Shida yenu singo maza ni 1... Unatongozwa huko unajisahaulisha una mtoto,unajikubalisha

baadae ushageuzwa kama samaki mikao yote ndio unakuja sema "deviii nikwambie kituuu" Hata kama mimi ndio Devi ukinletea hizo story nishakukula Nakuacha.

Niandae akili yangu tangu mwanzo nijue mwenyewe niingie au niache iende,shida yenu mnajitia maslay kwini halafu mwishoni mnasingizia mtoto.

Shida sio mtto shida ni hamjui wakati upi wa kutufikishia taarifa una mtoto au ushawahi zaaa nk,Endeleeni tu vaa maviatu yenu ya manyoya na sku izi mna mayebo yebo yenu mchina kayaleta mkivaaa kama mpo gorofani.]

kingo maza MMOJA wewe kazi kujitia kidada cha Pre form 1,na mtaachwa sana mkiendelea waweka watoto zenu namba mbili baada ya mapenzi.

Singo maza fahamu kuwa mahusiano baaada ya wewe kuwa na mtoto ni Nafasi ya 2,Nafasi ya 1 n Mwanao no.2 ndio mapenzi...Hata mimi kma nakupenda ukniambia tangu ile mwanzo nakutongoza naweza jikaza nikakuvaaa hvyo hvyo maisha yakaenda,ila Ukinfcha uje unletee story zako baada yakuniona niko serious natafuta Washenga kuja kwenu NAKUACHAAAAAAA....
Alafu single mom huwa hawataki kujifunza kwa single Dad, single Dad kitu Cha kwanza atamwambia Mwanamke yoyote atakae taka kua nae Kama kweli atampenda Mtoto wake aliye zaa na Mwanamke mwingine!? Single Dad huwa hawafichi Watoto wao eti kisa mapenzi!! Wanawake jifunzeni hilo!!
 
Kuna wengine wana bahati wameolewa aisee na watt...nawajua wawili
Ukiwa muwazi toka mwanzo hakuna linaloshindikana, tatizo taarifa zako za awali kuja kupingana na taarifa zako mpya baada kuingia kwenye mahusiano!!
 
Sasa mkuu hii falsafa ndogo lakini murua sana kwa nini dada zetu na mama zetu wengine wanashindwa kuielewa na wanajitia unyonge mkubwa wa kulazimisha mapenzi wasipopendwa?

Ujue wanaume wengi tukishamuona mwanamke anakuwa desperate hata kama kulikuwa na mapenzi yananyauka?

A desperate woman is so unsexy.


Mwanamke anatakiwa ajiamini kwamba atapata mwanamme wa aina yake, hata yule ombaomba mwenye ukoma naye anaweza kumpata wake.

Ya nini unilazimishe niwe na mwanamke nisiyemtaka kisa tunawekeana misingi ya "political correctness" ya kuogopa stigma tu?

Hatuoni hapa tunatengeneza tatizo wanaume waoe wanawake kwa kuwahurumia na kuogopa stigma, si kwa mapenzi, halafu ndoa hizi zije kuwa na matatizo makubwa hapo baadaye, kwa sababu mwanamme atajiona kaoa kwa pressure za jamii, si kwa mapenzi ya kweli?
Wakati mwingine kuogopa umri,kutojiamini kama atapata mwanaume atayemkubali na mtoto wake,pia uchochezi wa nafsi kutoka Kwa marafiki au familia huchangia sana hili.
 
Wanawake mnakosea padogo sana (naongea na singo maza) ninachojua mwanamke unatongozwa

wala hujipeleki,hivi kinachokufanya usimkazie huyo mwanaume ni nini? Mkazie haswaa akikuuliza sababu

za kumkazia ndipo unamwambia "nina mtoto" najua huwezi nipenda na mtoto wangu na hata ukinipenda sasa

baadae utanibadilikia "mjibu hivyo muache hapo" Kama kweli ana nia na wewe ataropoka Tu,MTOTO kitu ganiiii

Fresh tuuu,usimkubalie Tengeneza Bond kati yake na mtoto...ukishajiridhisha kamuelewa mwanao Basi nawewe fungua

Moyo mfunulie gauni hilo,Shida yenu singo maza ni 1... Unatongozwa huko unajisahaulisha una mtoto,unajikubalisha

baadae ushageuzwa kama samaki mikao yote ndio unakuja sema "deviii nikwambie kituuu" Hata kama mimi ndio Devi ukinletea hizo story nishakukula Nakuacha.

Niandae akili yangu tangu mwanzo nijue mwenyewe niingie au niache iende,shida yenu mnajitia maslay kwini halafu mwishoni mnasingizia mtoto.

Shida sio mtto shida ni hamjui wakati upi wa kutufikishia taarifa una mtoto au ushawahi zaaa nk,Endeleeni tu vaa maviatu yenu ya manyoya na sku izi mna mayebo yebo yenu mchina kayaleta mkivaaa kama mpo gorofani.]

kingo maza MMOJA wewe kazi kujitia kidada cha Pre form 1,na mtaachwa sana mkiendelea waweka watoto zenu namba mbili baada ya mapenzi.

Singo maza fahamu kuwa mahusiano baaada ya wewe kuwa na mtoto ni Nafasi ya 2,Nafasi ya 1 n Mwanao no.2 ndio mapenzi...Hata mimi kma nakupenda ukniambia tangu ile mwanzo nakutongoza naweza jikaza nikakuvaaa hvyo hvyo maisha yakaenda,ila Ukinfcha uje unletee story zako baada yakuniona niko serious natafuta Washenga kuja kwenu NAKUACHAAAAAAA....
Sasa mwanamke aweke mtoto wake mbele kama ngao ya fuso ili iwaje?!

Umeambiwa mwanaume anakuja kwaajiri ya kutafuta watoto wa mwanaume mwingine ili alee?!

Hivi ina sound vipi nakutana na mwanamke hata sijamjua vizuri anaanza kuni introduce kuwa yeye ana mtoto na ni lazima nibond na mtoto ndipo niweze kuwa na yeye. Sasa hiyo si nikuwa desperate kukubalika kwa mwanaume kama mwanamke ambaye hajiamini?!

Nani aliyekwambia kuwa mwanaume anapikutana na mwanamke ambaye ameshapata mtoto na mwanaume mwingine then atakuwa interested na huyo mtoto ile ya kutaka awe baba wa kambo?!

Nadhani umepotoka hilo eneo.

Kwa mwanamke mwenye mtoto anapokutana na mwanaume ambaye hana mtoto then anatakiwa kumuonyesha kuwa mtoto wake hatoingia katikati yao hata iweje. Wao wajenge mahusiano yao wawili na kuendelea na mambo yao. Mtoto asiingizwe katika mahusiano haya mapya kama mwanaume hajaridhia maana yeye hakuja hapo kutafuta mtoto wa kulea angetaka hivyo si angeenda kwa watoto yatima akachukue watoto wa kulea huko?

Mtoto ana baba yake kama ni maswala ya baba atawasilina na mwenzake sio ulazimishe mtu kuwa baba bandia kwa nguvu utatengeneza majanga siku za baadae.
 
Tulikubaliana kikao cha mwisho single mother tunaoa endapo utaonyeshwa kaburi la mzazi mwenza.

Lakini kuna mjumbe mmoja akaongezea ni lazima uonyeshwe CD au flash yenye video ya mazishi ikiwa imeambatana na maelezo ya historia fupi ya marehem yenye kuthibitisha kua ni kweli ameacha single mother (ikiwa linatajwa kabisa jina la huyo mama) pamoja na mtoto. Tena wawe wameonekana wakiwa wanahudhuria hayo mazishi kupitia hiyo video.

Kinyume na hapo USIOE.
Hahahah wajumbe wako makini
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu acha zako, anapokelewa kama mkuu wa wilaya kaja kufanya nini?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti save namba ya bibi na ya aunt[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa mwanamke aweke mtoto wake mbele kama ngao ya fuso ili iwaje?!

Umeambiwa mwanaume anakuja kwaajiri ya kutafuta watoto wa mwanaume mwingine ili alee?!

Hivi ina sound vipi nakutana na mwanamke hata sijamjua vizuri anaanza kuni introduce kuwa yeye ana mtoto na ni lazima nibond na mtoto ndipo niweze kuwa na yeye. Sasa hiyo si nikuwa desperate kukubalika kwa mwanaume kama mwanamke ambaye hajiamini?!

Nani aliyekwambia kuwa mwanaume anapikutana na mwanamke ambaye ameshapata mtoto na mwanaume mwingine then atakuwa interested na huyo mtoto ile ya kutaka awe baba wa kambo?!

Nadhani umepotoka hilo eneo.

Kwa mwanamke mwenye mtoto anapokutana na mwanaume ambaye hana mtoto then anatakiwa kumuonyesha kuwa mtoto wake hatoingia katikati yao hata iweje. Wao wajenge mahusiano yao wawili na kuendelea na mambo yao. Mtoto asiingizwe katika mahusiano haya mapya kama mwanaume hajaridhia maana yeye hakuja hapo kutafuta mtoto wa kulea angetaka hivyo si angeenda kwa watoto yatima akachukue watoto wa kulea huko?

Mtoto ana baba yake kama ni maswala ya baba atawasilina na mwenzake sio ulazimishe mtu kuwa baba bandia kwa nguvu utatengeneza majanga siku za baadae.
Hahahah yalimshinda konde boy hayo mie ni nani 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom