Kalala usiku kaamka kanyolewa nywele. Madaktari njooni hapa mtueleze huu ni ugonjwa gani?

Kalala usiku kaamka kanyolewa nywele. Madaktari njooni hapa mtueleze huu ni ugonjwa gani?

Habari wakuu,

View attachment 3211715
Picha hapo juu inajieleza,

Ni kijana mwenye umri wa miaka 26, jinsia mwanaume, kazi yake ni mkulima.

Alilala usiku akaamka hana nywere baadhi ktk eneo la juu ya kisogo na pembeni, nywere zilizotoka hazikuonekana kitandani wala popote, hii hali ilitokea ghafla tu

Hana rekodi yeyote ya kulazwa hivi karibuni au kutumia dawq yeyote ya hospitali, hajawahi kuugua kansa wala kisukari

Hana historia ya aleji yeyote

Hii ni case kutokabariadi jirani na gamboshi


Wataalam tunaomba maelezo ya kisayansi huu ni ugonjwa gani chanzo chake ni nini na mechanism yake (pathophysiology) ikoje?

NB: Lengo la huu uzi ni kujifunza hizi case zipo nyingi hapa nchini


Nawasilisha
Kanyolewa na wachawi.

Hamna namna ya kuielezea hiyo.
 
kwa kuwa sio kipara Cha kuzaliwa na Wala hakubebeshwa sufuria kama Wa lusajo shuleni ....zitaota tu

Pia mwambie aache ukuda
 
Mkuu

Hii case nataka tupate maelezo ya kitaalamu

Ahsante
Alopecia Aretha hio ni medical condition , atulize tu wenge zitaota zenyewe au zinaweza zisiote ni viraka vikaongezeka kichwani ukileta tu mapepe unatajirisha mganga na unagombana na bibi zako
 

Attachments

  • Screenshot_20250123-214744_Chrome.jpg
    Screenshot_20250123-214744_Chrome.jpg
    256.5 KB · Views: 2
Mkuu hii ni advanced science labda hii case iwafikie ma Dr wa Appolo India inatisha kama ni kweli.
 
Alopecia Aretha hio ni medical condition , atulize tu wenge zitaota zenyewe au zinaweza zisiote ni viraka vikaongezeka kichwani ukileta tu mapepe unatajirisha mganga na unagombana na bibi zako
Alopecia areata

Ahsante sana mkuu,

Ila hakuna maelezo yanayojitosheleza, hilo neno ni la kiingereza kiswahili chake ni kunyolewa nywele

Pathophysiology yake ipoje?
 
Alopecia Aretha hio ni medical condition , atulize tu wenge zitaota zenyewe au zinaweza zisiote ni viraka vikaongezeka kichwani ukileta tu mapepe unatajirisha mganga na unagombana na bibi zako
Vipi hii halopecia areata inaweza tokea kichwani na sehemu za siri ?

Namaanisha nywele kupotea kichwani na zile za sehemu ya siri zinapotea tena?
 
Habari wakuu,

View attachment 3211715
Picha hapo juu inajieleza,

Ni kijana mwenye umri wa miaka 26, jinsia mwanaume, kazi yake ni mkulima.

Alilala usiku akaamka hana nywere baadhi ktk eneo la juu ya kisogo na pembeni, nywere zilizotoka hazikuonekana kitandani wala popote, hii hali ilitokea ghafla tu

Hana rekodi yeyote ya kulazwa hivi karibuni au kutumia dawq yeyote ya hospitali, hajawahi kuugua kansa wala kisukari

Hana historia ya aleji yeyote

Hii ni case kutokabariadi jirani na gamboshi


Wataalam tunaomba maelezo ya kisayansi huu ni ugonjwa gani chanzo chake ni nini na mechanism yake (pathophysiology) ikoje?

NB: Lengo la huu uzi ni kujifunza hizi case zipo nyingi hapa nchini


Nawasilisha
Mke wake atakuwa amemnyoa alipokuwa usingizini kwa imani potofu za ushirikina
 
Hakuna watu wajinga duniani kama hao MADAKTARI.

Wanafuatia hawa wasomi uchwara wenye DIPLOMA ZA D MBILI na digrii za supplementary......

Wanaishi kwenye ulimwengu wa NOTES ZA DIPLOMA in total ignorance of the otherwise REAL WORLD.

Wachawi wapo, na viumbe roho wapo.

Ukiwa na hizi elimu za DIPLOMA ZA D MBILI huwezi kung'amua uwepo wa wachawi na viumbe roho maana akili yako yote inazunguka kwenye NOTES za what is chemistry.
Sasa mbona utukane hivo mkuu wewe umeishia level gani master
 
Halafu tapeli moja litasema umeibiwa nyota yako
Yaani umasikini aisee
Sijui nyota gani anayo kichwa cha hivyo
 
Back
Top Bottom