Kale ka nchi kanaweza kuvamiwa na kushambuliwa, lakini mwisho wa siku, mvamizi ataambulia kujuta na kusaga meno

Israeli ni jeuri, tena kwa kuwa wanajua nyuma yao yupo Jehovah aliyeagana nao kwa agano la milele

Adui zake watapigika vibaya mno
 
ila twende mbele turudi nyuma, wazungu wamewaharibu sana wayahudi. wakati hamas wanavamia, kuna lishoga limoja lilionekana limevaa gauni linakimbia. sijui walikuwa kwenye sherehe gani. Mungu awahurumia ila it was really disgusting.

Israeli ni center ya mapunga pale Middle East. Wameruhusiwa kabisa na wana haki zao
 
ila twende mbele turudi nyuma, wazungu wamewaharibu sana wayahudi. wakati hamas wanavamia, kuna lishoga limoja lilionekana limevaa gauni linakimbia. sijui walikuwa kwenye sherehe gani. Mungu awahurumia ila it was really disgusting.
Halikulipuliwa kweli??
 
Hee, kumbe wameshinda, hahaaaaa
Qur’an haijaacha kitu

وَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُمْ بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِنْ وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ
Al-Baqarah 120
Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.
 
israel ni taifa lililolaaniwa na mungu hawawezi kuipata amani mpaka mwisho wa dunia
 
Ukikaidi utapigwa tu! Wapigwe mpaka wawe km chujio.

Ndiyo tafsiri ya kupanda mtumbwi wa vibwengo.
 

Tupe majibu
 
Inawaonea wasio na meno

View: https://twitter.com/visegrad24/status/1712433956002415024?t=317W5UKFDGQb9mnKtkZHHw&s=19
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…