Kalenda hii inaonesha kesho ni tarehe 32/10/2024

Kalenda hii inaonesha kesho ni tarehe 32/10/2024

Madhara ya upigaji hayo.
Mtu yuko chap anawaza pesa tu.
Tanzania ina askari na maafisa wa magereza zaidi ya 2000. Kila askari kalenda moja na kila kalenda moja ukute ni sh. Elfu 50.
Hapo 100,000,000
Milioni 70 inaingia mifukoni mwa watu watatu tu. Na jamaa walivyo wababe wanaweza kuwauzia maaskari kalenda kwa buku 5 kila mmoja pesa ya mkuu wa jela ili naye azibwe mdomo
Sasa mbona kama unalia
 
Back
Top Bottom