Songwe Yetu
Member
- Nov 22, 2021
- 84
- 99
- Thread starter
- #101
leo amepumzishwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii Nchi ya ajabu sana Askari hajui kuogelea, Jangili anajua kuogelea, sasa tufanye hivi ingetokea Ndege ndogo yenye watu sita ingetumbukia humo Ugala Askari wangemuomba Jangili asaidie kuokoa?🤔
Hao wananchi nao ni majangiliWananchi walikuwa pembeni wakimuangalia... OK nimeelewa
[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16]Kama anatapatapa ukimsogelea tu anakuvuta ili uwe mtumbwi
Nina wasiwasi sana na elimu yako ya uhifadhi.
Unaposema masikini alienda kujitafutia chochote hifadhini maana yake unahalalisha watu masikini kuingia hifadhini kujutafutia, well watanzania karibu 90% ni masikiniatu masikini!
MagorosaNi mto gani huo sasa hivi kiangazi kina kina kirefu?
niko likizo mkuuuWewe kwanini hukumuokoa ulipomuona akizama?
Au umehadithiwa tu?
Pande za huko Kaliua huwezi kua jangili bila Kinga ya kalumanzila.Huyu askali ndio wale darasa la saba. mwenye akili timamu, why all this trouble? ameingia majini , maji mengi achana naye kwani kaiba nini chako mpaka utumbukie majini?
Peaceful arrest sawa, lakini kutumbikia kwenye maji hapana. Au alitaka kuwa kama majaliwa? Wanyama wanaouzwa Arabuni si hayo hayo! Jinga tu wacha lipate faida ya ujuha! (samahani sana kwa lugha kali)
Hapo itakuwa ISAWIMA au km 90Pande za huko Kaliua huwezi kua jangili bila Kinga ya kalumanzila.
Yaani[emoji3064][emoji3064]na wafanyakazi wenzie pia walimuangalia mpk akafa