imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Tena kipindi hichi pale Ugala yamebaki madimbwi tu.Dunia ya teknolojia itaendelea kumuumbua mwanadamu mpaka pale siku atakapokuwa na nidhamu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena kipindi hichi pale Ugala yamebaki madimbwi tu.Dunia ya teknolojia itaendelea kumuumbua mwanadamu mpaka pale siku atakapokuwa na nidhamu.
#Maendeleo hayana chama lakin since uhuru wembe ni uleule 😂😂😂😂😂😁Duuh..pole kwa familia..askari alikua anatafuta kupanda cheo.
#MaendeleoHayanaChama
Tutafika tu..mana hata chadema waliokuwa wanapinga upanuzibwa barabara ya morogoro sasahivi wanaenjoy kukimbiza magari yao bila foleni.#Maendeleo hayana chama lakin since uhuru wembe ni uleule [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]
Wakati mwingine na wewe unanipa raha bila kutarajia. Hii fasihi ni kwa wachache mno kuielewaHivi ile sanamu ya Hamza ilijengwa?
HakikaMajaliwa angekuwepo uyo asingekufa
Kama anatapatapa ukimsogelea tu anakuvuta ili uwe mtumbwiUsijaribu kumuokoa mtu anayetapatapa kujiokoa kutoka kwenye maji kama hujui kuogelea na kuokoa mwingine majini.
Bongo nyosoTutafika tu..mana hata chadema waliokuwa wanapinga upanuzibwa barabara ya morogoro sasahivi wanaenjoy kukimbiza magari yao bila foleni.
#MaendeleoHayanaChama
Kuna maneno yaliyokaziwa yanayoleta ukakasi.Askari wa wanyama pori afariki dunia wakati akijaribu kumkimbiza jangili.
Jangili huyo alikimbilia mtoni na akaaanza kuogelea ndipo askari huyo aliekuwa na wenzake nawe akaamua ajitose kimfuata mtuhumiwa.
Alioogelea lakini alipofika katikati ya mto maji yalimzidi kwani kina cha maji kilikuwa kirefu hivyo alianza kuomba msaaada kwa wenzake na walimuangalia mpaka akafariki.
Wananchi waliokuwa jirani waligoma kumuokoa na hivyo amefariki, maiti itasafirishwa na ndege kuelekea kwao, poleni familia kwa kumpoteza classmate wangu
Ingekua GGKwa mfano, jangili angemuokoa, ingekuwaje hapo?
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Ingekua GG
Angeanza kujifunza kuogelea bwawa la Igombe au madimbwi ya Izimbili.Angekuwa "nguli" wa kupiga mbizi.Tena kipindi hichi pale Ugala yamebaki madimbwi tu.
Lilete nilisome mkuu kama hutajali Rufiji damJangili ni shujaa huyo. Kuna bandiko humu niliandika vita ya Jangili na Askari wa Wanyama pori. Wakome hao polisi wa misitu.
Hii nimewahi kuona kwenye TV police alimkamata jamaa akamfunga pingu huko [emoji631]Kwa mfano, jangili angemuokoa, ingekuwaje hapo?
Hahahaaa Mzuqa nipo hapa kopenihageni likizo.Dah isije ikawa Mwamba King Kong III huko minjingu.