Usikute jangili kawinda kanga tu.Mi ndio maana nimeweka emoji ya kucheka. Hao askari ni wapuuzi wakubwa. Wananchi kumuangalia na kutomsaidia inaleta picha kubwa sana. Wajitathmini hao wapuuzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usikute jangili kawinda kanga tu.Mi ndio maana nimeweka emoji ya kucheka. Hao askari ni wapuuzi wakubwa. Wananchi kumuangalia na kutomsaidia inaleta picha kubwa sana. Wajitathmini hao wapuuzi.
Dah isije ikawa Mwamba King Kong III huko minjingu.Unaeza kuta jangili alikua tu kaenda zake kukata mkaa familia ipikie chakula wale. Sema ndo hvyo kafanikiwa kuyadiba mpka akachoropoka
MchochezHivi ile sanamu ya Hamza ilijengwa?
Dah!Marehemu hatukanwi.Lakini...nieleze tu,hakutumia akili ya kiaskari.Usalama wake haukuwa kipaumbele.Sad!Huyu askali ndio wale darasa la saba. mwenye akili timamu, why all this trouble? ameingia majini , maji mengi achana naye kwani kaiba nini chako mpaka utumbukie majini?
Peaceful arrest sawa, lakini kutumbikia kwenye maji hapana. Au alitaka kuwa kama majaliwa? Wanyama wanaouzwa Arabuni si hayo hayo! Jinga tu wacha lipate faida ya ujuha! (samahani sana kwa lugha kali)
Wananchi wasingemuokoa maana Hawa Askari huwa wanawanyanyasa Sana Wana vijiji waishio karibu na hifadhi.Wananchi walikuwa pembeni wakimuangalia... OK nimeelewa
Kwahiyo kwa ufupi ni kwamba alikuwa anaangaliwa na uma uliokakusanyika hapona wafanyakazi wenzie pia walimuangalia mpk akafa
Wapi huko na mto ganiAskari wa wanyama pori afariki dunia wakati akijaribu kumkimbiza jangili.
Jangili huyo alikimbilia mtoni na akaaanza kuogelea ndipo askari huyo aliekuwa na wenzake nawe akaamua ajitose kimfuata mtuhumiwa.
Alioogelea lakini alipofika katikati ya mto maji yalimzidi kwani kina cha maji kilikuwa kirefu hivyo alianza kuomba msaaada kwa wenzake na walimuangalia mpaka akafariki.
Wananchi waliokuwa jirani waligoma kumuokoa na hivyo amefariki msiba, mati itasafirishwa na ndege kuelekea kwao, poleni familia kwa kumpteza classmate wangu
Ugala kumzamisha mtu na jua kali hv,kwelii!??Ugalla
Roho mbaya hujengwa...Roho mbaya sana.🤔
We ntu weHivi ile sanamu ya Hamza ilijengwa?
dah askari wa uokoaji kitengo cha dharula hakuna?Askari wa wanyama pori afariki dunia wakati akijaribu kumkimbiza jangili.
Jangili huyo alikimbilia mtoni na akaaanza kuogelea ndipo askari huyo aliekuwa na wenzake nawe akaamua ajitose kimfuata mtuhumiwa.
Alioogelea lakini alipofika katikati ya mto maji yalimzidi kwani kina cha maji kilikuwa kirefu hivyo alianza kuomba msaaada kwa wenzake na walimuangalia mpaka akafariki.
Wananchi waliokuwa jirani waligoma kumuokoa na hivyo amefariki msiba, mati itasafirishwa na ndege kuelekea kwao, poleni familia kwa kumpteza classmate wangu
Angevaa pinguKwa mfano, jangili angemuokoa, ingekuwaje hapo?
Nina wasiwasi sana na elimu yako ya uhifadhi.Unahakika ni jangili? Usikute mwananchi masikini alienda kujitafutia chochote akakutana na hao jamaa. Kingine kwanini wananchi walikataa kumsaidia?
Inaonyesha hao askari wanyamapori wanatesa sana wanakijiji, sivyo? Uhifadhi lazima ushirikishe communities zinazoishi kuzunguka hifadhi lakini pia kinachopatikana kwenye hiyo hifadhi wananchi nao wapate chao.
Bila hivyo askari watakufa sana mtoni.