Kaliua: Askari wa wanyama pori afariki

Kaliua: Askari wa wanyama pori afariki

Huyu askali ndio wale darasa la saba. mwenye akili timamu, why all this trouble? ameingia majini , maji mengi achana naye kwani kaiba nini chako mpaka utumbukie majini? Peaceful arrest sawa, lakini kutumbikia kwenye maji hapana. Au alitaka kuwa kama majaliwa? Wanyama wanaouzwa Arabuni si hayo hayo! Jinga tu wacha lipate faida ya ujuha! (samahani sana kwa lugha kali)
Duh! Labda hata wale askari Bukoba waliokuwa wanachungulia ndege kw mbali kama haiwahusu walikuwa na mawazo kama yako.
 
Wananchi wa Kaliua waliogoma kumuokoa askari wapewe ajira kwa ushujaa.

Kwasabb askari ana mafunzo na ndiye anayepaswa kuokoa wengine wakati wa majanga. Iweje basi ashindwe kujiokoa?
 
Huyu askali ndio wale darasa la saba. mwenye akili timamu, why all this trouble? ameingia majini , maji mengi achana naye kwani kaiba nini chako mpaka utumbukie majini? Peaceful arrest sawa, lakini kutumbikia kwenye maji hapana. Au alitaka kuwa kama majaliwa? Wanyama wanaouzwa Arabuni si hayo hayo! Jinga tu wacha lipate faida ya ujuha! (samahani sana kwa lugha kali)
Ila mkuu umeandika kwa hisia kali mno!
 
Kwa iyo askari wenzake walisimama wakamwangakia anavyo kimbizana na jangili kwenye maji wakakaa kimya tuu, na majirani nao wametulia tuuu jamaa anahangaika dimbwini kubwia ma maji hadi kaenda kwa mola!!!!
Jangili nae vipi kapotelea majini huko au?
Jangili ni expert.. Anajua kuogelea...

Kuna mtu juzi alikuwa anasema askari wengi hawajui kuogelea hapa Bongo.. tofauti na wenzao wa jirani kama Rwanda.. Ug au Kenya... nikanyamaza.

Ila sijui kama ni kweli.. Tuombe isitokee vita.. Maana ni hatari.. Japo najua JWTZ wapo fine
 
Askari wa wanyama pori afariki dunia wakati akijaribu kumkimbiza jangili.Jangili huyo alikimbilia mtoni na akaaanza kuogelea ndipo askari huyo aliekuwa na wenzake nawe akaamua ajitose kimfuata mtuhumiwa.Alioogelea lakini alipofika katikati ya mto maji yalimzidi kwani kina cha maji kilikuwa kirefu hivyo alianza kuomba msaaada kwa wenzake na walimuangalia mpaka akafariki,Wananchi waliokuwa jirani waligoma kumuokoa na hivyo amefariki msiba, mati itasafirishwa na ndege kuelekea kwao, poleni familia kwa kumpteza classmate wangu
Majaliwa style
 
Huyu askali ndio wale darasa la saba. mwenye akili timamu, why all this trouble? ameingia majini , maji mengi achana naye kwani kaiba nini chako mpaka utumbukie majini? Peaceful arrest sawa, lakini kutumbikia kwenye maji hapana. Au alitaka kuwa kama majaliwa? Wanyama wanaouzwa Arabuni si hayo hayo! Jinga tu wacha lipate faida ya ujuha! (samahani sana kwa lugha kali)
Kama kuna mashuhuda nitaamini, kama mashuhuda ni askari wenzake basi naamua kuchanganya na zangu...
 
Unaeza kuta jangili alikua tu kaenda zake kukata mkaa familia ipikie chakula wale. Sema ndo hvyo kafanikiwa kuyadiba mpka akachoropoka
 
Back
Top Bottom