Kaliua: Askari wa wanyama pori afariki

Kaliua: Askari wa wanyama pori afariki

Askari wa wanyama pori afariki dunia wakati akijaribu kumkimbiza jangili.

Jangili huyo alikimbilia mtoni na akaaanza kuogelea ndipo askari huyo aliekuwa na wenzake nawe akaamua ajitose kimfuata mtuhumiwa.

Alioogelea lakini alipofika katikati ya mto maji yalimzidi kwani kina cha maji kilikuwa kirefu hivyo alianza kuomba msaaada kwa wenzake na walimuangalia mpaka akafariki.

Wananchi waliokuwa jirani waligoma kumuokoa na hivyo amefariki msiba, mati itasafirishwa na ndege kuelekea kwao, poleni familia kwa kumpteza classmate wangu
Precision ingne hio
 
Nina wasiwasi sana na elimu yako ya uhifadhi.
Unaposema masikini alienda kujitafutia chochote hifadhini maana yake unahalalisha watu masikini kuingia hifadhini kujutafutia, well watanzania karibu 90% ni masikini, tungeruhusu kila mwananchi masikini "kujitafutia chochote" hifadhini leo hii tusingekuwa na hifadhi hata moja. Wake up.
Pili, hifadhi zinalindwa kwa faida ya watanzania wote. Mapato yanayotokana na uhifadhi yanaingia serikalini na kumsaidia kila mtanzania hata asiye jirani na hifadhi.
Ni kweli jamii jirani ni vizuri ikashirikishwa kwenye uhifadhi, lkn hii haimaanishi lazima kuwe na direct flow ya mapato kutoka hifadhini kwenda vijijini. Faida za uhifadhi sio pesa tu, hata faida za kiikolojia ni muhimu. Leo hii tunalalamika mvua hakuna ni sababu ya matendo yetu wenyewe ya uharibifu wa mazingira.
So, jaribu kuwaza holistically utaona sio busara kutumia neno masikini anajitafutia chochote. Mbona mtu haendi kuvunja duka la mtu kuiba kwa kigezo cha yeye masikini anajitafutia chochote? Sheria za kuhifadhi zimetungwa wakijua kuna watu masikini!

Unadhani watu hatufahamu ukatili wa askari wanyamapori kwa wanavijiji masikini?

Mpaka pale mtakapo tatua tatizo la msingi hakuna kitakachobadilika.
 
Hii Nchi ya ajabu sana Askari hajui kuogelea, Jangili anajua kuogelea, sasa tufanye hivi ingetokea Ndege ndogo yenye watu sita ingetumbukia humo Ugala Askari wangemuomba Jangili asaidie kuokoa?🤔
Askari wengi wameenda kwasababu ya ajira tu, ila hawazipendi zile kazi
 
Huyu askali ndio wale darasa la saba. mwenye akili timamu, why all this trouble? ameingia majini , maji mengi achana naye kwani kaiba nini chako mpaka utumbukie majini?

Peaceful arrest sawa, lakini kutumbikia kwenye maji hapana. Au alitaka kuwa kama majaliwa? Wanyama wanaouzwa Arabuni si hayo hayo! Jinga tu wacha lipate faida ya ujuha! (samahani sana kwa lugha kali)
Askari wanyamapori hivi kwani wana roho ngumu hivi? Wanalishwaga nini?
 
Juzi tumeaibika sana pale Bukoba wakati Polisi na JW wamejishika viuno kwa kutojua kuogelea na kuwaachia Wasela wanaojua kuogelea.
 
Juzi tumeaibika sana pale Bukoba wakati Polisi na JW wamejishika viuno kwa kutojua kuogelea na kuwaachia Wasela wanaojua kuogelea.
Jamaa alitaka kufuta aibu nako kazama kabisa mtoni
 
Back
Top Bottom