Kalynda imefunga ofisi zake hapa nchini, viongozi wake hawajulikani walipo

Kalynda imefunga ofisi zake hapa nchini, viongozi wake hawajulikani walipo

Hello,

Sina maneno mengi nimepigwa laki 2 huko kalyanda, na sina sababu za kujitetea nimefanya uzuzu kama mazuzu wengine, nimepigwa kizembe sina hata nguvu za kuelezea, nilipinga sana kalyanda ila kuna manzi aliipaisha sana kalyanda, nikamwambi nitoe ganji basi na laki 4 akanitoa akanambia haya weka laki2.

Nikaweka la haula la kwata nimeukalia, ila sio mbaya huyu manzi kama mganga vile aliichomoa pesa yake, sasa hivi niko nae gheto ananifariji nampiga nao mfano wa kalyanda na watanzania. namkamua kwa hari mpya, nguvu mpya na kasi mpya. Kila mmoja apambane na hali yake.

Tumerithi uzuzu toka kwa Sultani Mangungo wa Msovero, haina haja ya kujilaumu hii ishu ni genetic kwa Tanzania tutapigwa mpaka kiama there shall come on different versions and the identical or similar episodes shall continue. Simply this kacountry is endowed with uzuzu

I salute you in the name of growth, progress and success my entire Mazuzu fellas.

Niko na Mbususo ina nifariji. Kalyanda Mwakulyanda, Mwakulwanda, Mwakinyogoli, Mwakadundulusi, Mwakajwaga, Mwanjokolilo, Mwakipulumusi.

Ukipigwa msifu na alokupiga sio kulalamika tu.
😄😄😄😄😄😄 kalynda shikamooo
 
Kuna mpumbavu aliniletea hii issue nilimshangaa sana na ni mtu msomi kabisa ,namuuliza maswali anajikanyaga tuu nikamwona ni chizi Leo atakua sijui anaongea lugha gani
 
Haya, eti usalama wa raia na mali zao hawa ndo walinzi. Nyumba inavunjwa wanasubiri mwenyenyumba alalamike.
 
Kuna mpumbavu aliniletea hii issue nilimshangaa sana na ni mtu msomi kabisa ,namuuliza maswali anajikanyaga tuu nikamwona ni chizi Leo atakua sijui anaongea lugha gani
nimetamani kuimba wimbo wa zuchu wa kwikwi, alakaakaaaa, eleketeeee, ilikitikiiiii, alukutukuuu!!!! haya maisha raha sana ukipigwa saw, ukipiga sawa acha niendelee kula mbususo ya kimanyema mixer na mkaguru, kitu inavuta kitu inajoto wallahi tule raha tu, after all we live once. salale utamu utamuni dadadeki jioni ntapiga kama build ya goli la pili la Simba SC kule Angola.
 
Michakato mingine hii unachelewa kufanyiwa uchunguzi ndo maana mambo yanaharibika
 
Angalau ww umeongea ukweli,japo ukweli wako unaumiza mno
 
Hello,

Sina maneno mengi nimepigwa laki 2 huko kalyanda, na sina sababu za kujitetea nimefanya uzuzu kama mazuzu wengine, nimepigwa kizembe sina hata nguvu za kuelezea, nilipinga sana kalyanda ila kuna manzi aliipaisha sana kalyanda, nikamwambi nitoe ganji basi na laki 4 akanitoa akanambia haya weka laki2.

Nikaweka la haula la kwata nimeukalia, ila sio mbaya huyu manzi kama mganga vile aliichomoa pesa yake, sasa hivi niko nae gheto ananifariji nampiga nao mfano wa kalyanda na watanzania. namkamua kwa hari mpya, nguvu mpya na kasi mpya. Kila mmoja apambane na hali yake.

Tumerithi uzuzu toka kwa Sultani Mangungo wa Msovero, haina haja ya kujilaumu hii ishu ni genetic kwa Tanzania tutapigwa mpaka kiama there shall come on different versions and the identical or similar episodes shall continue. Simply this kacountry is endowed with uzuzu

I salute you in the name of growth, progress and success my entire Mazuzu fellas.

Niko na Mbususo ina nifariji. Kalyanda Mwakulyanda, Mwakulwanda, Mwakinyogoli, Mwakadundulusi, Mwakajwaga, Mwanjokolilo, Mwakipulumusi.

Ukipigwa msifu na alokupiga sio kulalamika tu.
Mkuu umerithi peke yako huo uzuzu kwa huyo Mangungo. Sisi wenzio watoto wa Zwangendaba tunameremeta tu no kututapeli, ukituletea fursa tunakurudishia mwenyewe ubaki nayo [emoji1787]
 
Mkuu umerithi peke yako huo uzuzu kwa huyo Mangungo. Sisi wenzio watoto wa Zwangendaba tunameremeta tu no kututapeli, ukituletea fursa tunakurudishia mwenyewe ubaki nayo [emoji1787]
Sultani hoyee, kalyanda hoyee, Uzuzu hoyee, Mangngo hoyee, kanyaboya hoyee. Kazi ya kuenzi urithi iendelee
 
Siri msiyoifahamu niwaambie nyie mliopigwa ni uchungu kwamba mmepigwa na jamaa ambaye ni mtanzania wenzenu...Hakuna Thoma wala ushuzi !! Kwa intelijensia ilifanyika huyo jamaa jina kama moja wapo anaitwa sixbert anaonekana mtu mzima kidogo ila mshamba pale Kuna wahusika watatu ...hii pyramid imesuka mtaa mmoja wa kishua hapa dar na Wana wanafaulisha pesa kupitia Bitcoin wanapeleka na kwenda kuweka bank za nje ...


Scenario kama hii mwisho wake ni mbaya sana nakumbuka Ontario alipowapiga pesa jamaa pale TMT alienda na yeye kupigwa na wenzio huko south Africa baada ya kudanganywa wafungue kampuni...the same Nikiangalia waliowapiga kwa picha ni washamba kwamba izo pesa hawatofaidi wanaenda kupigwa na serikali ikipata tracking zao zitachukuliwa kama Mr kuku... Kuna upumbavu mahali ..

Katika game kama hili enyo mliopigwa Kuna kitu cha kujifunza especially upotevu wa haki katika mikono ya viongozi walikuwa sio wafuatilia ila kwa vile watu wamepaza sana sauti sina hakika kama litashughulikiwa kwa sababu ni rahisi sana CEO anajulikana na hapa picha zake zishaanza kusambaa ...kingine mpesa sip decentralized so ni rahisi kutrack miamala mwanzo mwisho labda kama ingekuwa mliwekeza kwa Bitcoin..

Wajinga wali wao sixbert huyo anapeta anaenda Dubai kuacha upepo upite kwanza.
 
Kuna mpumbavu aliniletea hii issue nilimshangaa sana na ni mtu msomi kabisa ,namuuliza maswali anajikanyaga tuu nikamwona ni chizi Leo atakua sijui anaongea lugha gani
Atakuwa anaongea kichina huko aliko
 
NCHI HII INA WAJINGA NA WPMBV WENGI SANA
NA BADO NAJUWA HAMJATATIA AKILI,SUBIRINI MLETEWE NYINGINE
MKUNGUTWE TENA

ova
 
Kamanda wa polisi kutoka Kanda ya Dar es Salaam.

Nimetoka kusikiliza clauds hapa jumba la habari, ni kweli watu wametapeliwa na kumekua na malalamiko kila kona ya nchi lakini hayupo mtu hata mmoja aliepeleka Hati ya malalamiko kua wametapeliwa namnukuu kamanda murilo "kazi ya jeshi la polisi ni kuchunguza iwe taarifa ya kweli ama ya uongo anayeona ametapeliwa ni vyema akaleta Hati ya mashtaka ili polisi ifanye kazi yake"

Kwa upande wa brela wanadai kua kalynda ilisajiliwa kua wanafanya biashara ya mtandaoni ya uuzaji wa vifaa vya kielectronic.

Maoni ya brela Watanzania waache kujihusisha na mambo ya pyramid hakuna pesa ya urahisi.
Brella wanajua siri ya mtungi.
Kuna watu wanatajirika kwa njia kama hizi kwa kushirikiana na watanzania wenzetu
 
Wale wa deci mpaka leo hawajarudishiwa hela
Na hawa kilinda sjui kylanda hakuna kurudisha pesa...
Maana nchi hii kyna wajng na wpmbv wengi sana

Ova
 
Brella wanajua siri ya mtungi.
Kuna watu wanatajirika kwa njia kama hizi kwa kushirikiana na watanzania wenzetu
Wanajuwa wapmbv na wajing ni wengi,kwann wasiwafanye mtaji
Wapige hela

Ova
 
Mimi ni zuzu, lakini sioni kabisa ni jinsi gani mtu ataniingia na stori za ajabu ajabu eti na mimi kabisa nitoe hela yangu niliyoipata kwa jasho nimkabidhi! Yaani siuoni kabisa huo uwezekano asilani. Sijui lakini..
 
Back
Top Bottom