Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu Haurumii Wajinga...mna angamia kwa kukosa maarifa...tena mzidi kupigwa hadi hizo Akili na bongo zifunguke!!!!Nyie viongozi wa KALYNDA popote mlipo,,
Nawaambieni ,,
MUNGU ATAAMUA UGOMVI
Jasho letu haliwezi kwenda bure.
Kwa hyo ni Aina ya Tozo inaitwa kalynda...View attachment 2383637
Niliambiwa mimi na huyu mwamba one b kwamba usiingie huko, serikali ina mkono wake huko itawapiga isepe
Nikanyuti sikuingia mara paaaa chali watu washaliwa, sasa ndio nmeamini kabla ya kufanya Jambo tafuta washauri wazuri usikurupuke
Ndio ukome sasa na ufanye kazi kwa mikono yako, nani alikuambia Duniani kuna cha rahisi namna hiyo.Nyie viongozi wa KALYNDA popote mlipo,,
Nawaambieni ,,
MUNGU ATAAMUA UGOMVI
Jasho letu haliwezi kwenda bure.
We si umeona hata Brela walivyoielezea wanasema wananchi ndio wajinga, kuhusu hilo mimi sijui ila nilikatazwa nikaambiwa serikali ina mkono wake uko usijiunge hao matapeli, ukiangalia screenshot inajieleza mkuuKwa hyo ni Aina ya Tozo inaitwa kalynda...
Mnapenda dezodezoNyie viongozi wa KALYNDA popote mlipo,,
Nawaambieni ,,
MUNGU ATAAMUA UGOMVI
Jasho letu haliwezi kwenda bure.
Ha ha haNa kunawatu bado wanaamini App itafunguka wapeleke hela.
Nacheka mpaka machozi yananitoka, hii picha balaa.Mmoja kati ya wahanga akifatilia updates:
View attachment 2383611
Bado hujamaliza kutaja mkuuNdio kitu gani hio[emoji1787][emoji1787]
Another DECI
mtapigwa kwa ponzi schemes hadi lini
1. DECI
2. RIFARO
3. FOREVER LIVING
4. QNET
5. KALYNDA
6.....
Nyingine nyingi zitakuja sababu wapumbavu ni wengi sana .
MmhKama heading inavyojieleze Kama unajua uliweka pesa zako Kaylnda sahau na utafute kazi nyingine ya kukuingizia kipato watanzania ni wagumu sana kuelewa sijui kiwakute nini ndio wakubali QNET nao walikuja ivi ivi wakaondoka na kuacha vilio kila kona now Kalynda wameaondoka na kijiji[emoji16][emoji16]
View attachment 2383601
Wajinga ndio waliwao.Hello,
Sina maneno mengi nimepigwa laki 2 huko kalyanda, na sina sababu za kujitetea nimefanya uzuzu kama mazuzu wengine, nimepigwa kizembe sina hata nguvu za kuelezea, nilipinga sana kalyanda ila kuna manzi aliipaisha sana kalyanda, nikamwambi nitoe ganji basi na laki 4 akanitoa akanambia haya weka laki2.
Nikaweka la haula la kwata nimeukalia, ila sio mbaya huyu manzi kama mganga vile aliichomoa pesa yake, sasa hivi niko nae gheto ananifariji nampiga nao mfano wa kalyanda na watanzania. namkamua kwa hari mpya, nguvu mpya na kasi mpya. Kila mmoja apambane na hali yake.
Tumerithi uzuzu toka kwa Sultani Mangungo wa Msovero, haina haja ya kujilaumu hii ishu ni genetic kwa Tanzania tutapigwa mpaka kiama there shall come on different versions and the identical or similar episodes shall continue. Simply this kacountry is endowed with uzuzu
I salute you in the name of growth, progress and success my entire Mazuzu fellas.
Niko na Mbususo ina nifariji. Kalyanda Mwakulyanda, Mwakulwanda, Mwakinyogoli, Mwakadundulusi, Mwakajwaga, Mwanjokolilo, Mwakipulumusi.
Ukipigwa msifu na alokupiga sio kulalamika tu.
Hii nayo ni Ipi?another. Kalyanda in different name?Walichonifanya LILAC Sitaki kuamini mpk leo
Madude hayohayo ya design ya A netHii nayo ni Ipi?another. Kalyanda in different name?
ila wanao jiunga mwanzoni wanapiga mzigo?Madude hayohayo ya design ya A net
Pyramid schemes ndivyo zilivyo.ila wanao jiunga mwanzoni wanapiga mzigo?