Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Ukweli mtupu!Tunashindwa kuelewa siri ya mafanikio ni kufanya kazi tu. Tunatumia muda mwingi kwenye dini baada ya kufanya kazi. Wakoloni wametuweza kweli kuleta hizi dini hatutaweza kuendelea kamwe kama tutaendelea kuamini kila kitu Mungu atatufanyia.
Tapeli huyu kamateni.
Zitarudi kwa muda watasahau upesi kama kuku then watapigwa tena.Ili akili ziwarudie?
Amejaa tele twita huko.Tapeli huyu kamateni.
Na kichwa chake kama dume la siafu aliambiwa kule na watu punguza kupromote utapeli...Huyu wa kukamata ameshare clip kibao kuwarubuni watuAmejaa tele twita huko.
Ameweka pinned post anaomba mama ampe uratibu wa vyanzo vya mapato kwa serikali...
Seems baada ya kuona Kaylnda wamefanikiwa kukwapua basi anataka serikali ianzishe hela za kudownload
Kuna binti alikomaa na mimi Whatsapp ananiforce nijiunge na huo utapeli nikampiga maswali kadhaa akanuna.Elimu hawana kazi kukariri formula na kucopy assignment ndo balaa lake huku mtaani utapigwa tu ...80% ni wanafunzi wa vyuoni je ushamba kiasi gani? Sijaona wasomi wenye ukombozi wa kifikra hata kuchanganua mambo tangu miaka kibao naeleza watu haya mapyramid schemes hawaelewi
Atakuwa ameshapata kamisheni yake sasa msala unajambia uani kwake....Na kichwa chake kama dume la siafu aliambiwa kule na watu punguza kupromote utapeli...Huyu wa kukamata ameshare clip kibao kuwarubuni watu
Akili hawana kabisa ulishaona ile doc walioshare Kuna kampuni nimesahau jina wanatapeliwa 😅😅😅wamaweka majina yao ...wangalie wengi 90% kanda ya kaskazini..na wala waliofungiwa na Q NET huko manyara na Arusha wengi ni kanda ya kaskazini yaani elimu haija wasaiidia kabisaKuna binti alikomaa na mimi Whatsapp ananiforce nijiunge na huo utapeli nikampiga maswali kadhaa akanuna.
Sasa ngoja nimtumie text now nijifanye nataka kujiunga nimuone atasemaje.
Kuna post alisema alikuwa anawaburuni anaota asilimia fulani sema kule kaniblock nilimpiga spanaAtakuwa ameshapata kamisheni yake sasa msala unajambia uani kwake....
Sijaona hayo majina weka hapa tuoneAkili hawana kabisa ulishaona ile doc walioshare Kuna kampuni nimesahau jina wanatapeliwa 😅😅😅wamaweka majina yao ...wangalie wengi 90% kanda ya kaskazini..na wala waliofungiwa na Q NET huko manyara na Arusha wengi ni kanda ya kaskazini yaani elimu haija wasaiidia kabisa
Ni tapeli na akikamatwa atazitapika zoteKuna post alisema alikuwa anawaburuni anaota asilimia fulani sema kule kaniblock nilimpiga spana
Kuna pdf ilitumwa Tena kweny uziSijaona hayo majina weka hapa tuone
Ilete-ilete hapa tuone.Kuna pdf ilitumwa Tena kweny uzi
Scatec hayo majina walitapeliwa😅😅😅Sijaona hayo majina weka hapa tuone
😅😅😅Ilete-ilete hapa tuone.
Kabisa mkuu uje na mrejesho hahahaaa dadekii mi niliwaonya mapema sana saivi nawachekaKuna binti alikomaa na mimi Whatsapp ananiforce nijiunge na huo utapeli nikampiga maswali kadhaa akanuna.
Sasa ngoja nimtumie text now nijifanye nataka kujiunga nimuone atasemaje.
MnoNCHI HII INA WAJINGAAA WENGI SANA......
OVA
Ukute hana hata kumiHuyo
Ni tapeli na akikamatwa atazitapika zote