Kama 99.9% ya Viongozi wa Dodoma Jiji FC akina Mbunge Mavunde na Kunambi ni Yanga SC lia lia, leo mnategemea kabisa Yanga SC isishinde Goli nyingi?

Kama 99.9% ya Viongozi wa Dodoma Jiji FC akina Mbunge Mavunde na Kunambi ni Yanga SC lia lia, leo mnategemea kabisa Yanga SC isishinde Goli nyingi?

Mkuu we ni nabii Dodoma jiji wameuza mechi jana.
Ila mi huwa nafurahi kwa incidents kama hzi timu inauza mechi ikija kushtuka iko mkiani. Wawaulize biashara na kagera wako waapi sahizi.
 
Screenshot_20220101-130928_1.jpg
 
Kala ban tena na account hii. Huyu mtu JF imeshamshinda maana hawezi kufuata utaratibu
Ana matatizo ya akili huyu jamaa.

1: Ana tabia ya kushindana, ukionekana kumpinga kihoja anakutukana
2: Anataka JF na dunia nzima aonekane yeye ndiye mwenye akili kuliko wote
3: Hana rafiki, ukimkosoa kwa nia njema tu, anasahau kama ulikua unamsifia siku zote, anakutukana
4: Anashindwa kabisa kubadili aina yake ya uandishi ili watu wasimgundue
5: Hana jipya, mada zake ni zilezile za aina moja. Namfananisha na dada mmoja wa facebook, Hawa Simba Kibiti, anataka kuonekana ana akili kuliko wote, kila siku mada za aina moja halafu kichwani hakuna kitu.
 
Dodoma Jiji FC kabla ya Kucheza na Simba SC kuanzia Msemaji wao, Mlezi wao Mkuu na Mbinge Antony Mavunde hadi Kiongozi wao Mwandamizi Kunambi walikuwa mara kwa mara wakizungumza, wakiitishia Simba SC huku wakiikamia ile mbaya Mechi husika.

Je, mmeshajiuliza ni kwanini Viongozi hawa hawa niliowataja hapa kuelekea Mechi yao ya Leo dhidi ya Yanga SC wamekaa Kimya na hata Mbunge Mavunde hajatoa Ahadi yake ya Pesa Tsh Milioni 10 au 20 kwa Wachezaji wa Dodoma Jiji FC kama ambavyo aliwaahidi kipindi kile wanacheza na Simba SC pale Jamhuri Stadium Dodoma?

Nawapa Pole wale Wote ambao mnadhani na Kujidanganya kuwa leo Yanga SC itafungwa au itatoka Sare na Tawi lake la Dodoma Jiji FC Mkapa Stadium ila kwa Watu wa Mpira tunajua leo Dodoma Jiji FC anaenda kugawa Takrima ya Kalamu ya Magoli kwa Yanga SC ili waiache mbali Simba SC kwa idadi Kubwa ya Magoli kwani mwendo wa Simba SC wa zile Goli 4 zilizoanza kwa KMC FC zimeitisha.

GSM natumai kuwa mmeshamaliza Kazi.

Foolish, uliona mpira uliochezwa na Yanga?
 
Dodoma Jiji FC kabla ya Kucheza na Simba SC kuanzia Msemaji wao, Mlezi wao Mkuu na Mbinge Antony Mavunde hadi Kiongozi wao Mwandamizi Kunambi walikuwa mara kwa mara wakizungumza, wakiitishia Simba SC huku wakiikamia ile mbaya Mechi husika.

Je, mmeshajiuliza ni kwanini Viongozi hawa hawa niliowataja hapa kuelekea Mechi yao ya Leo dhidi ya Yanga SC wamekaa Kimya na hata Mbunge Mavunde hajatoa Ahadi yake ya Pesa Tsh Milioni 10 au 20 kwa Wachezaji wa Dodoma Jiji FC kama ambavyo aliwaahidi kipindi kile wanacheza na Simba SC pale Jamhuri Stadium Dodoma?

Nawapa Pole wale Wote ambao mnadhani na Kujidanganya kuwa leo Yanga SC itafungwa au itatoka Sare na Tawi lake la Dodoma Jiji FC Mkapa Stadium ila kwa Watu wa Mpira tunajua leo Dodoma Jiji FC anaenda kugawa Takrima ya Kalamu ya Magoli kwa Yanga SC ili waiache mbali Simba SC kwa idadi Kubwa ya Magoli kwani mwendo wa Simba SC wa zile Goli 4 zilizoanza kwa KMC FC zimeitisha.

GSM natumai kuwa mmeshamaliza Kazi.
Kwa taarifa yako M/kiti na makamu wake wa Dodoma Jiji FC ni makolo kulia lia
 
Ana matatizo ya akili huyu jamaa.

1: Ana tabia ya kushindana, ukionekana kumpinga kihoja anakutukana
2: Anataka JF na dunia nzima aonekane yeye ndiye mwenye akili kuliko wote
3: Hana rafiki, ukimkosoa kwa nia njema tu, anasahau kama ulikua unamsifia siku zote, anakutukana
4: Anashindwa kabisa kubadili aina yake ya uandishi ili watu wasimgundue
5: Hana jipya, mada zake ni zilezile za aina moja. Namfananisha na dada mmoja wa facebook, Hawa Simba Kibiti, anataka kuonekana ana akili kuliko wote, kila siku mada za aina moja halafu kichwani hakuna kitu.
Aisee hiyo namba 3 nimetoka kushuhudia jana tu kwenye uzi huu huu dhidi ya mwanamsimbazi mwenzio Scars yaani jamaa akajishusha kisha akamsifia na kuweka mwendelezo wa mazungumzo kwa hoja akitegemea atajibiwa kwa hoja aisee Kilichomkuta mbeleni ni kujibiwa matusi tu.
 
Aisee hiyo namba 3 nimetoka kushuhudia jana tu kwenye uzi huu huu dhidi ya mwanamsimbazi mwenzio Scars yaani jamaa akajishusha kisha akamsifia na kuweka mwendelezo wa mazungumzo kwa hoja akitegemea atajibiwa kwa hoja aisee Kilichomkuta mbeleni ni kujibiwa matusi tu.
Huyo jamaa haelewi zama zimebadilika siku hizi matusi sio silaha tena ya kuitegemea kuitumia kwa lengo la kumkasirisha mtu wakati saizi matusi yamekuwa yakitumika kutolea hadi pongezi
 
Back
Top Bottom