Kama ac Milan sio timu ndogo mbona Haina uwanja

Kama ac Milan sio timu ndogo mbona Haina uwanja

Shooter Again

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
5,603
Reaction score
9,263
Hii timu imetetewa na wazee humu kwamba nayo ni miongoni mwa timu kubwa ulaya kama ilivyo arsenal swali langu kama ac Milan ni timu kubwa mbona haina hata uwanja wake hiki ni kichekesho timu inayoitwa kubwa imeanzishwa 1899 lakini bado inakodi uwanja hapa hamna timu ni wahuni tu wa italia waliojikusanya igeni mfano Kwa timu kubwa kama arsenal wanauwanja wao tena mzuri kuliko viwanja vyote uingereza
 
Hii timu imetetewa na wazee humu kwamba nayo ni miongoni mwa timu kubwa ulaya kama ilivyo arsenal swali langu kama ac Milan ni timu kubwa mbona haina hata uwanja wake hiki ni kichekesho timu inayoitwa kubwa imeanzishwa 1899 lakini bado inakodi uwanja hapa hamna timu ni wahuni tu wa italia waliojikusanya igeni mfano Kwa timu kubwa kama arsenal wanauwanja wao tena mzuri kuliko viwanja vyote uingereza
Mtoto wa Juzi ww huna ujualo.
 
Man City hamiliki uwanja
Inter Milan hamili uwanja
Chelsea hamiliki uwanja
New Castle hamiliki uwanja
Ahly hamiliki uwanja
Ac Milan hamiliki uwanja
As Roma hamiliki uwanja
Lazio hamiliki uwanja
Club Bruge hamiliki uwanja
Mamelod hamiliki uwanja
Kaizer Chiefs hamiliki uwanja

Uwanja kama unaweza kupata kwanini utumie gharama kujenga
Unadhani kapuku anayemiliki nyumba Yombo na Buza anamzidi Mhindi anayepanga Upanga na Posta
 
Man City hamiliki uwanja
Inter Milan hamili uwanja
Chelsea hamiliki uwanja
New Castle hamiliki uwanja
Ahly hamiliki uwanja
Ac Milan hamiliki uwanja
As Roma hamiliki uwanja
Lazio hamiliki uwanja
Club Bruge hamiliki uwanja
Mamelod hamiliki uwanja
Kaizer Chiefs hamiliki uwanja

Uwanja kama unaweza kupata kwanini utumie gharama kujenga
Unadhani kapuku anayemiliki nyumba Yombo na Buza anamzidi Mhindi anayepanga Upanga na Posta
Hujielewi wewe yaani upange halafu ujiite tajiri unashindwa nini kujenga kama wewe ni taja tajiri asie na nyumba
 
Kila
Hujielewi wewe yaani upange halafu ujiite tajiri unashindwa nini kujenga kama wewe ni taja tajiri asie na nyumba
Nishakwambia ww umejua mpira Jana
Nimekutajia timu kubwa ambazo Zina mafanikio na hazina uwanja
Man city hana uwanja lakini JKT Tanzania ana uwanja, Kwaiyo JKT ni kubwa kuliko Man City, Chelsea, Ahly, Lazio n. K
 
Hii timu imetetewa na wazee humu kwamba nayo ni miongoni mwa timu kubwa ulaya kama ilivyo arsenal swali langu kama ac Milan ni timu kubwa mbona haina hata uwanja wake hiki ni kichekesho timu inayoitwa kubwa imeanzishwa 1899 lakini bado inakodi uwanja hapa hamna timu ni wahuni tu wa italia waliojikusanya igeni mfano Kwa timu kubwa kama arsenal wanauwanja wao tena mzuri kuliko viwanja vyote uingereza
Kwa hiyo ukubwa ni kuwa na uwanja?
 
Kila
Nishakwambia ww umejua mpira Jana
Nimekutajia timu kubwa ambazo Zina mafanikio na hazina uwanja
Man city hana uwanja lakini JKT Tanzania ana uwanja, Kwaiyo JKT ni kubwa kuliko Man City, Chelsea, Ahly, Lazio n. K
We jinga kweli ushawahi kusikia au kuona timu ya taifa ya uingereza au timu yeyote tofauti na hizo zikacheza kwenye uwanja wa Etihad au Stamford bridge kama ilivyo San siro
 
Back
Top Bottom