Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
- Thread starter
- #21
Moja ya sifa ya timu kubwa ni miundombinu yake unataka usiwe na uwanja mechi zako za kufanya uwe mkubwa utachezea mbinguniKwa hiyo ukubwa ni kuwa na uwanja?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moja ya sifa ya timu kubwa ni miundombinu yake unataka usiwe na uwanja mechi zako za kufanya uwe mkubwa utachezea mbinguniKwa hiyo ukubwa ni kuwa na uwanja?
Usikariri mambo.Moja ya sifa ya timu kubwa ni miundombinu yake unataka usiwe na uwanja mechi zako za kufanya uwe mkubwa utachezea mbinguni
Kwahiyo kama huna uwanja hizo mechi za kufanya uwe mkubwa utazichezea wapiUsikariri mambo.
Tunasema kumiliki viwanja wewe unasema kucheza timu ya TaifaWe jinga kweli ushawahi kusikia au kuona timu ya taifa ya uingereza au timu yeyote tofauti na hizo zikacheza kwenye uwanja wa Etihad au Stamford bridge kama ilivyo San siro
Hivyo viwanja vinamilikiwa na hizo timu ambazo ni Chelsea na mancity ukibisha taja timu zinazomiliki hivyo viwanjaTunasema kumiliki viwanja wewe unasema kucheza timu ya Taifa
Ukubwa siyo uwanja.Elewa.Kwahiyo kama huna uwanja hizo mechi za kufanya uwe mkubwa utazichezea wapi
Kwa hiyo tabora nayo ni kubwa baada ya kukukanda 3Wa kuifunga timu inayojiita kubwa mara 4 mfululizo...hata magoli 5
Huna akili sikujibu tenaUkubwa siyo uwanja.Elewa.
Akili hazibebwi mkononi kwamba umeziona.Huna akili sikujibu tena
Wewe sikujibu una ubongo wa bataHivyo viwanja vinamilikiwa na hizo timu ambazo ni Chelsea na mancity ukibisha taja timu zinazomiliki hivyo viwanja
Kubwa jinga wewe sikujibu tenaWewe sikujibu una ubongo wa bata
Hujui kitu, unaelekezwa unabisha tu,
Kaa na ujinga wako
Huyo dogo atakuwa alibemendwa utotoni.Wewe sikujibu una ubongo wa bata
Hujui kitu, unaelekezwa unabisha tu,
Kaa na ujinga wako
Arsenal imebeba kombe gani ulaya?Yanga imebeba kombe Gani la Africa
Arsenal Haina uwanja?Arsenal imebeba kombe gani ulaya?
Kama ni uwanja hata Ipswich Town na Fulham wanavyo. Timu kubwa inahesabiwa vikombe ilivyobeba. Naomba nijibu Arsenal ana kombe gani ulaya? Huyo Milan ana makombe 7 UCL wewe hapo una kombe gani kuweza kumvimbia?Arsenal Haina uwanja?
Ni mshamba tuHuyo dogo atakuwa alibemendwa utotoni.
EPL 13 na finalist UEFA champions league hao ac Milan unaongelea hivo vikombe 7 vya mchongoKama ni uwanja hata Ipswich Town na Fulham wanavyo. Timu kubwa inahesabiwa vikombe ilivyobeba. Naomba nijibu Arsenal ana kombe gani ulaya? Huyo Milan ana makombe 7 UCL wewe hapo una kombe gani kuweza kumvimbia?
Basi sasa kaa kimya huna unachokijua.EPL 13 na finalist UEFA champions league hao ac Milan unaongelea hivo vikombe 7 vya mchongo
Nachojua kipi UEFA hata Aston villa na Nottingham forest wanayo kombe la mchongo tu HiloBasi sasa kaa kimya huna unachokijua.