Kama ac Milan sio timu ndogo mbona Haina uwanja

Kama ac Milan sio timu ndogo mbona Haina uwanja

Madrid yuko chungu kimoja na Ac Milan, liverpool, Bayern, Barca, Chelsea, Ajax n.k
Madrid anachungu chake acha uongo wewe mtu mwenye UEFA 15 ufananishe na mwenye vi UEFA 7 unaakili timamu kweli we jamaa yaani mtu kawazidi UEFA 8 unasema wapo chungu kimoja mkuu kapime akili
 
Unaanzaje kulinganisha Ac Milan na takataka kama Arsenal? PUMBAV kabisa
 
Madrid anachungu chake acha uongo wewe mtu mwenye UEFA 15 ufananishe na mwenye vi UEFA 7 unaakili timamu kweli we jamaa yaani mtu kawazidi UEFA 8 unasema wapo chungu kimoja mkuu kapime akili
Mwenye saba (7) ni sawa na mwenye sifuri (0)?
 
Mwenye saba (7) ni sawa na mwenye sifuri (0)?
Wewe itakua hujielewi hapo juu umesema Madrid yupo chungu kimoja na ac Milan Liverpool Chelsea sasa hivi unageuka nafikiri huna akili timamu na nimeona sehemu umeandika unalishwa na shemeji Yako hivyo sikujibu tena nimegundua naongea na punga
 
Wewe itakua hujielewi hapo juu umesema Madrid yupo chungu kimoja na ac Milan Liverpool Chelsea sasa hivi unageuka nafikiri huna akili timamu na nimeona sehemu umeandika unalishwa na shemeji Yako hivyo sikujibu tena nimegundua naongea na punga
Sasa naona akili ndio zinakukaa sawa Arsenyeto kuanza kujiweka kundi moja na wakubwa wa ulaya. Sasa hivi tumeelewana sasa subiri Brentford akushenyente
 
Ac Milan huwezi kuilinganishq na arsenal timu ambayo toka ianzishwe hakijawahi kubeba kombe la klabu bingwa Ulaya wakati Ac ana makombr Saba.
 
Hujielewi wewe yaani upange halafu ujiite tajiri unashindwa nini kujenga kama wewe ni taja tajiri asie na nyumba
Wahindi kibao matajiri wamepanga nyumba za msajili wa majumba upanga Acha ushamba wewe
 
Imagine a club without a single golden star inaisema ac Milan with 7 stars

Tafuta kwanza star kisha tukae meza moja hivi Ushawahi hata vaa badge ya fifa. World club kwenye jezi yako ?
 
Umeendeleza mada yako ya mwaka jana 😂😂😂
 
Back
Top Bottom