Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Kama ni mchongo mbona umeniambia umewahi kucheza fainali ya UCL? Usingeweka kama CV ya timu yako ndogoNachojua kipi UEFA hata Aston villa na Nottingham forest wanayo kombe la mchongo tu Hilo
Poa ngoja niweke CV ya timu yangu ya MadridKama ni mchongo mbona umeniambia umewahi kucheza fainali ya UCL? Usingeweka kama CV ya timu yako ndogo
Madrid yuko chungu kimoja na Ac Milan, liverpool, Bayern, Barca, Chelsea, Ajax n.kPoa ngoja niweke CV ya timu yangu ya Madrid
Madrid anachungu chake acha uongo wewe mtu mwenye UEFA 15 ufananishe na mwenye vi UEFA 7 unaakili timamu kweli we jamaa yaani mtu kawazidi UEFA 8 unasema wapo chungu kimoja mkuu kapime akiliMadrid yuko chungu kimoja na Ac Milan, liverpool, Bayern, Barca, Chelsea, Ajax n.k
Tabora haiwezi kuwa kubwa kwasababu imetokea mara mojaKwa hiyo tabora nayo ni kubwa baada ya kukukanda 3
Mada inazungumzia timu za mpira, vichekesho vipo msimbazihapa tunaongelea timu za mpira sio hivyo vichekesho
Mwenye saba (7) ni sawa na mwenye sifuri (0)?Madrid anachungu chake acha uongo wewe mtu mwenye UEFA 15 ufananishe na mwenye vi UEFA 7 unaakili timamu kweli we jamaa yaani mtu kawazidi UEFA 8 unasema wapo chungu kimoja mkuu kapime akili
Wewe itakua hujielewi hapo juu umesema Madrid yupo chungu kimoja na ac Milan Liverpool Chelsea sasa hivi unageuka nafikiri huna akili timamu na nimeona sehemu umeandika unalishwa na shemeji Yako hivyo sikujibu tena nimegundua naongea na pungaMwenye saba (7) ni sawa na mwenye sifuri (0)?
Sasa naona akili ndio zinakukaa sawa Arsenyeto kuanza kujiweka kundi moja na wakubwa wa ulaya. Sasa hivi tumeelewana sasa subiri Brentford akushenyenteWewe itakua hujielewi hapo juu umesema Madrid yupo chungu kimoja na ac Milan Liverpool Chelsea sasa hivi unageuka nafikiri huna akili timamu na nimeona sehemu umeandika unalishwa na shemeji Yako hivyo sikujibu tena nimegundua naongea na punga
Wahindi kibao matajiri wamepanga nyumba za msajili wa majumba upanga Acha ushamba weweHujielewi wewe yaani upange halafu ujiite tajiri unashindwa nini kujenga kama wewe ni taja tajiri asie na nyumba
Kama kigezo cha ukubwa wa club ni kubeba kombe kubwa basi hoja yako ya kui-term AC milan kama team ndogo imefeli. MILAN Wamebeba UEFA zaidi ya mara moja, hoja ya kiwanja ipangilie upya.Yanga imebeba kombe Gani la Africa
Masaki kwenyewe madon kibao wamepanga๐๐๐. Yaani huyu jamaa hata kama anaishi kwake ila bado ni masikini kuliko hao jamaa waliopangaWahindi kibao matajiri wamepanga nyumba za msajili wa majumba upanga Acha ushamba wewe