Mkuu Zito ni kijana?Zito ni kijana mjanja tunayekula naye lunch pale masaki tunamfahamu na story zake tunazifahamu tukizungumza
Mkuu Zito ni kijana?
Kwa umri wangu na wake ni kijana
Kwanini sukuma gang msiwe nyinyi ndiyo matapeli wa kisiasa na sasa mfadhili wenu hayupoNani anaweza kumsikiliza huyu tapeli mnafiki?
Wote mnaolazimisha legacy hewa ya jiweHabari gani? Nani Sukumagang?
Fukara ni wazazi wako ulio watelekeza kijijini kwenu burigiSiwezi kubishana na mtu daraja la tatu ( fukara).
Nikutakie tu Asubuhi njema.
Pipa na funikoUmempa jibu la maana.
Kawagusa sana ndiyo maana unaona wanamshambulia kama nyukiLazima kunapahala sukuma gang kawagusa zitto kabwe sio bure
Kawapa za shingo misukule wote wafuasi wa jiweUkipenyeza rupia anaifanya kazi yako vizuri sana.
Anamuona kupitia luningaMkuu Zito ni kijana?
Unajuaje kama ni muha?Usije ukamuamini muha kwenye maisha yako
Si vyema nikabishana na mtu daraja la tatu, nitakuwa nakupa heshima ambayo uraini huwezi kuipata.Fukara ni wazazi wako ulio watelekeza kijijini kwenu burigi
Alilalamika kuwa maelfu ya wapemba walipigwa risasi na wengi kuuwawa baada ya uchaguzi wa Oktoba 2020.
Lakini kwa jinsi navyopenda pesa na kulisha tumbo lake alisahau kuwa kurasa zake za twita zilijaa picha za wapemba waliopigwa risasi na kuuwawa na akaunga umoja na aliodai ni wauaji.
Sasa huyu kiongozi anafaa kweli kuwa binadamu?
Usije ukamuamini muha kwenye maisha yako
Zito fala tu, kijana mdogo anayetanguliza pesa kuliko utu.Duuu, una 80+ nini mzee?
Hii ni debatable! Kwa sababu kama uelewa wao ulikuwa wa kubadilishana shanga kwa dhahabu yawezekana waliwadanganya wafalme kuwa wanawapeleka wananchi wao kuwapatia maarifa ya kuja kuwasaidia wafalme hao.Hizi tabia za kinafiki tulirithi kwa babu zetu. Waliuzana utumwani wenyewe kwa wenyewe.
Hii nilikuwa siijuiUnafiki uliletwa na waarabu!