Kama alipost picha za maiti na waliopigwa risasi huko Twitter lakini akajiunga na Serikali ya Umoja kwa ajili ya tumbo lake anafaa kweli huyu mtu?

Zzk leo kawaumbua sukuma gang na jiwe wenu
Weka namba mbili hapo ni nani. Unakumbuka aliyeambiwa ukoo wao Hata panya hatabaki? Je. Unakumbuka aliyeambiwa anashutumiwa kitembea na sumu mkononi! Angalia mpo kwenye nyumba ya vioo acheni kurusha mawe!
 
Zito ni kijana mjanja tunayekula naye lunch pale masaki tunamfahamu na story zake tunazifahamu tukizungumza
Mkuu kwani Zitto bado kijana mpaka leo?
Tuseme tu mtu mzima huyu wa ovyo sana
 
Zzk leo kawaumbua sukuma gang na jiwe wenu
Yawezekana umejikausha na hii auikumbuki.
 
I see mbona umekuwa mkali sana?
Huyo mtu niliyekuwa mkali juu yake ni mfano halisi kabisa wa matatizo makubwa tuliyonayo waTanzania.

Aina hii ya watu katika jamii ndio mwanzo wa yote haya yanayoonekana sasa hivi. Kazi yao ni kuchochea tu maovu.

Hawa ndio maadui wakubwa wa nchi yetu, kwa sababu viongozi hawa wabovu wanapata faraja kutoka kwa watu kama huyu.
 
Dah😂
 
Yawezekana umejikausha na hii auikumbuki.
Ungekuwa na akili ungejiuliza ni kwanini Zitto alifukuzwa cdm.

Lkn kwa mihemuko ya itikadi mlitubeza na kututukana siku tumemfukuza Zzk kutoka cdm.

Leo hii kaanza kuwanyea kichwani ndiyo mnakumbuka kuwa Zzk ni chumia tumbo!
 
Watu malaya aina yako ni hasara sana.
Unakariri mambo hata maana yake huijui, halafu unaileta uonekane wewe ni mjuaji!
Huyo ni mtu ambaye kwake ni bora liende maana anafuata nguvu ya upepo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…