Kama alipost picha za maiti na waliopigwa risasi huko Twitter lakini akajiunga na Serikali ya Umoja kwa ajili ya tumbo lake anafaa kweli huyu mtu?

Kama alipost picha za maiti na waliopigwa risasi huko Twitter lakini akajiunga na Serikali ya Umoja kwa ajili ya tumbo lake anafaa kweli huyu mtu?

Umempa jibu la maana.
Hawa masikini wa Jf wana midomo sana, mtu unaandika hoja badala ijibiwe mtu anakuja na kukuita SUKUMA GANG, kana kwamba hawa hoja nyingine.

Sasa ikiwa huna muda mzuri wa kubishana nao sharti uwakumbushe tu nafasi yao hapa duniani, kisha unakaa kimya.
 
Alilalamika kuwa maelfu ya wapemba walipigwa risasi na wengi kuuwawa baada ya uchaguzi wa Oktoba 2020.

Lakini kwa jinsi navyopenda pesa na kulisha tumbo lake alisahau kuwa kurasa zake za twita zilijaa picha za wapemba waliopigwa risasi na kuuwawa na akaunga umoja na aliodai ni wauaji.

Sasa huyu kiongozi anafaa kweli kuwa binadamu?
Nani?
 
Back
Top Bottom