Kama alipost picha za maiti na waliopigwa risasi huko Twitter lakini akajiunga na Serikali ya Umoja kwa ajili ya tumbo lake anafaa kweli huyu mtu?

Kama alipost picha za maiti na waliopigwa risasi huko Twitter lakini akajiunga na Serikali ya Umoja kwa ajili ya tumbo lake anafaa kweli huyu mtu?

Utamjua wewe,nincho furahia ni kuwa zzk kwaamua ktapika nyongo yake kwa jiwe na chawa wake kama wewe.
"The New Culture" yawezekana ndiye unayempigania. Wasiliana na Great Thinker wa story ambaye si mwingine bali ni yoga
 
Hawa masikini wa Jf wana midomo sana, mtu unaandika hoja badala ijibiwe mtu anakuja na kukuita SUKUMA GANG, kana kwamba hawa hoja nyingine.

Sasa ikiwa huna muda mzuri wa kubishana nao sharti uwakumbushe tu nafasi yao hapa duniani, kisha unakaa kimya.
Nyie si ndiyo mnaniita wanyonge aka Sukuma gang
 
Back
Top Bottom