Kama bado haujafanya maamuzi ya kutulia na mwanaume ulienae/anaekutongoza basi usile hela zake

Kama bado haujafanya maamuzi ya kutulia na mwanaume ulienae/anaekutongoza basi usile hela zake

Natafuta Ajira

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2020
Posts
9,016
Reaction score
24,650
Kuanzia unapotongoza mwanamke anakubebesha gharama zote ambazo alitakiwa kuwajibika mwenyewe au kugharamiwa na baba yake sasa hapa mwanaume akisalitiwa ndio yale yale ya msukuma na penny uko goba

Imefika hatua hauwezi kutofautisha kati mke, mpenzi na kahaba maana along the way wote watataka hela kama nguzo ya hayo mahusiano, hakuna pesa hakuna mapenzi.

Dada angu unataka pesa au matunzo kutoka kwa mwanaume tambua ya kwamba unauza uhuru, uko mbeleni ukichepuka au kutaka muachane iyo lazima italeta shida.

Hakuna mwanaume atataka kukutawala ikiwa hajawahi kuingia gharama ya hata shilingi 1 kwa ajiri yako, kama bado haujafanya maamuzi ya kutulia na mwanaume uliyenae siku zote za maisha yako basi usile hela zake.

NB: Kama unajiuza weka wazi pale pale unapotongozwa mkubaliane bei then baada ya tendo hakuna kugandana wala kubebeshana gharama zozote.
 
Ahhhh wewe Acha hizo mkuu sisi wenye sura personal tumekubali pesa zetu ziliwe na watoto wazuri mkuu.
😀😀😀 sema sura personal mna umoja sana nakumbuka mlivyomsambulia yule jamaa kwenye andiko lake la kusifia uhandsome,.. anyway, Sio wote wamekubali mkuu, si ulisikia juzi juzi hapa msukuma aliupiga mwingi uko Goba?
 
Duh hakuna mwanamke wa hivyo saivi. Ni ngumu sana kumpata. Shida ni umasikini tu tulionao kwenye jamii zetu.

Usipomhudumia atajitokeza wakuhudumia na wewe utatoswa tu.
Ni kweli mkuu muhimu wachukue tahadhari hata hao wa kuhudumia sio wote wanaweza kusamehe gharama walizoingia.
 
😀😀😀 sema sura personal mna umoja sana nakumbuka mlivyomsambulia yule jamaa kwenye andiko lake la kusifia uhandsome,.. anyway, Sio wote wamekubali mkuu, si ulisikia juzi juzi hapa msukuma aliupiga mwingi uko Goba?
Sasa sura personal tusipo toa pesa unafikiri tutakubaliwa mkuu ? Mnapinga sna hwa viumbe kutafuna pesa ila hamjui sisi kina idi amini tunavyochomolewa bila pesa😁😁😁
 
Sasa sura personal tusipo toa pesa unafikiri tutakubaliwa mkuu ? Mnapinga sna hwa viumbe kutafuna pesa ila hamjui sisi kina idi amini tunavyochomolewa bila pesa😁😁😁
Sure mkuu penye nyufa penyesha rupia, cha kuzingatia ni kwamba honga kiasi ambacho unaweza kustahimili maumivu ya kukipoteza
 
Tatizo mtoa mada unazungumzia wanawake walioangamia Kwenye Vita ya Kwanza na ya pili ya Dunia.

Hawa wa siku hizi wote Ni kausha damu tu ndo maana tunagonga tu na kusepa ili kukwepa gharama
 
Back
Top Bottom