Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Kuanzia unapotongoza mwanamke anakubebesha gharama zote ambazo alitakiwa kuwajibika mwenyewe au kugharamiwa na baba yake sasa hapa mwanaume akisalitiwa ndio yale yale ya msukuma na penny uko goba
Imefika hatua hauwezi kutofautisha kati mke, mpenzi na kahaba maana along the way wote watataka hela kama nguzo ya hayo mahusiano, hakuna pesa hakuna mapenzi.
Dada angu unataka pesa au matunzo kutoka kwa mwanaume tambua ya kwamba unauza uhuru, uko mbeleni ukichepuka au kutaka muachane iyo lazima italeta shida.
Hakuna mwanaume atataka kukutawala ikiwa hajawahi kuingia gharama ya hata shilingi 1 kwa ajiri yako, kama bado haujafanya maamuzi ya kutulia na mwanaume uliyenae siku zote za maisha yako basi usile hela zake.
NB: Kama unajiuza weka wazi pale pale unapotongozwa mkubaliane bei then baada ya tendo hakuna kugandana wala kubebeshana gharama zozote.
Imefika hatua hauwezi kutofautisha kati mke, mpenzi na kahaba maana along the way wote watataka hela kama nguzo ya hayo mahusiano, hakuna pesa hakuna mapenzi.
Dada angu unataka pesa au matunzo kutoka kwa mwanaume tambua ya kwamba unauza uhuru, uko mbeleni ukichepuka au kutaka muachane iyo lazima italeta shida.
Hakuna mwanaume atataka kukutawala ikiwa hajawahi kuingia gharama ya hata shilingi 1 kwa ajiri yako, kama bado haujafanya maamuzi ya kutulia na mwanaume uliyenae siku zote za maisha yako basi usile hela zake.
NB: Kama unajiuza weka wazi pale pale unapotongozwa mkubaliane bei then baada ya tendo hakuna kugandana wala kubebeshana gharama zozote.