Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
- Thread starter
- #21
Ule sio uzi wangu bhana 😀😀😀Sawa mwenyekiti wa mahendisam Tanzania😃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ule sio uzi wangu bhana 😀😀😀Sawa mwenyekiti wa mahendisam Tanzania😃
Tatizo upwiru mkuu.Pesa zenyewe za kugawa gawa umeziona wapi mkuu?
mkuu nayajua yote hayo naona kila kitu kinachoendelea mtaani. Siku hizi visa vya kufanyiana ukatili na malalamiko vimekua vingi ukiangalia sababu ni nini unaona ni wahusika wenyewe tangu mwanzo walikosea kufanya maamuzi au kukubaliana uhusiano wao utaenda vipi, kwamba ni meaningful relationahip au wanauziana tu mahaba. Unakuta kijana kapalamia slay queen baada ya kuelemewa na gharama za ku-maintain penzi anaanza kulalamika wanawake wanapenda hela, unakuta binti kajiweka kwa bad boy baada ya kuachwa singo maza anasema wanaume wote ni mbwa. Mwanamke unajua kabisa jasho la mtu haliliwi bure kivipi unakua na matarajio ya kula hela ya mtu na kupotea kirahisi rahisi tu. Ukiangalia visa vingi unaona ni matokeo ambayo yaliandaliwa na wahusika wenyewe tangu mwanzo.Tatizo mtoa mada unazungumzia wanawake walioangamia Kwenye Vita ya Kwanza na ya pili ya Dunia.
Hawa wa siku hizi wote Ni kausha damu tu ndo maana tunagonga tu na kusepa ili kukwepa gharama
😀😀😀 kwamba lazima turudi mavumbini au sio, but keep in mind that, love is always a game until it comes your turn.Sisi sote ni wa mola
Bwana tafuta hela enjoy zako.....mwanamke akupende kakuzaa???😹😀😀😀 kwamba lazima turudi mavumbini au sio, but keep in mind that, love is always a game until it comes your turn.
sijapinga kutafuta hela. Soma vizuri post.Bwana tafuta hela enjoy zako.....mwanamke akupende kakuzaa???😹
Basi sawaInategemea na wanawake waliopo kwenye cycle yako. Sikatai kusaidiana kifedha kupo ila kuna kuomba na kuombaomba.
Kwani ushatoswa na wangapi pamoja na kuhudumia? Usijipe moyo classmateDuh hakuna mwanamke wa hivyo saivi. Ni ngumu sana kumpata. Shida ni umasikini tu tulionao kwenye jamii zetu.
Usipomhudumia atajitokeza wakuhudumia na wewe utatoswa tu.
Hata wa kishua kama hajielewi nae anaangukia kwenye kundi la hawa hawa kausha damu, kuna wanawake wana ajira za kutosheleza mahitaji yao na bado wanataka na hela za mwanaume, Inaonekana hii trend ya kula hela za wanaume imekua kama fashion vileTafuteni mabinti wa kishua, mboga 7, hawa wengine achaneni nao kbsaa.
mkuu nazungumzia wale mabinti wa madoni, eg watoto waliosoma ma feza schools huko, ivi ukipata wa aina ile ana kuelewa mtasumbuana ?, sidhani.Hata wa kishua kama hajielewi nae anaangukia kwenye kundi la hawa hawa kausha damu, kuna wanawake wana ajira za kutosheleza mahitaji yao na bado wanataka na hela za mwanaume, Inaonekana hii trend ya kula hela za wanaume imekua kama fashion vile
Personal face 👋Ahhhh wewe Acha hizo mkuu sisi wenye sura personal tumekubali pesa zetu ziliwe na watoto wazuri mkuu.
Dah 😹😹Kuanzia unapotongoza mwanamke anakubebesha gharama zote ambazo alitakiwa kuwajibika mwenyewe au kugharamiwa na baba yake sasa hapa mwanaume akisalitiwa ndio yale yale ya msukuma na penny uko goba
Imefika hatua hauwezi kutofautisha kati mke, mpenzi na kahaba maana along the way wote watataka hela kama nguzo ya hayo mahusiano, hakuna pesa hakuna mapenzi.
Dada angu unataka pesa au matunzo kutoka kwa mwanaume tambua ya kwamba unauza uhuru, uko mbeleni ukichepuka au kutaka muachane iyo lazima italeta shida.
Hakuna mwanaume atataka kukutawala ikiwa hajawahi kuingia gharama ya hata shilingi 1 kwa ajiri yako, kama bado haujafanya maamuzi ya kutulia na mwanaume uliyenae siku zote za maisha yako basi usile hela zake.
NB: Kama unajiuza weka wazi pale pale unapotongozwa mkubaliane bei then baada ya tendo hakuna kugandana wala kubebeshana gharama zozote.
Kwenye kipengele cha hela uwezekano wa kusumbuana ni mdogo sana maana izo iphone, shopping za nguo, kula KFC n.k ni mambo yapo ndani ya uwezo wake na ashayazoea tangu akiwa mdogo.mkuu nazungumzia wale mabinti wa madoni, eg watoto waliosoma ma feza schools huko, ivi ukipata wa aina ile ana kuelewa mtasumbuana ?, sidhani.
bora wa hivi, ila sasa u wife material sijui.Kwenye kipengele cha hela uwezekano wa kusumbuana ni mdogo sana maana izo iphone, shopping za nguo, kula KFC n.k ni mambo yapo ndani ya uwezo wake na ashayazoea tangu akiwa mdogo.
Mtususie mbususu zenuNdio matumizi ya pesa hayo, tafuta hela wanawake tuinjoi maisha......
Hilo limeishaMtususie mbususu zenu
U-wife material unategemea na malezi aliyokulia lakini kama unataka mwanamke ambaye yupo huru kifedha basi unatakiwa kupotezea kidogo suala la uyo mwanamke kuwa submissive sana kwako.bora wa hivi, ila sasa u wife material sijui.