Kama bado haujafanya maamuzi ya kutulia na mwanaume ulienae/anaekutongoza basi usile hela zake

Kama bado haujafanya maamuzi ya kutulia na mwanaume ulienae/anaekutongoza basi usile hela zake

We jamaa ulipotelea wapi? Sijakuona kitambo nikajua umekufa.
Unajua kuna mbususu moja ilikuwa imenikamata. Nipo mzeya....kama nimeweza survive miaka 17na hiv bila arv i bliv i can survive another 17 more years....😜
 
bora wa hivi, ila sasa u wife material sijui.
Na ndio tatizo lenu lilipo yani mnataka wanawake full package ilihali ninyi wenyewe hamna vigezo vyote wanawake wanavyovitaka, hapo ndio mchague moja sasa either wife material but dependent au corporate woman but independent huwezi kupata vyote, dunia ya leo hakuna mwanamke wa hivyo labda umuumbe wa kwako wanawake wengi wamejifunza kuprioritize furaha yao kuliko chochote
 
Na ndio tatizo lenu lilipo yani mnataka wanawake full package ilihali ninyi wenyewe hamna vigezo vyote wanawake wanavyovitaka, hapo ndio mchague moja sasa either wife material but dependent au corporate woman but independent huwezi kupata vyote, dunia ya leo hakuna mwanamke wa hivyo labda umuumbe wa kwako wanawake wengi wamejifunza kuprioritize furaha yao kuliko chochote
mimi niko fully package, nahitaji mwenzangu hivo hivo.
 
Na ndio tatizo lenu lilipo yani mnataka wanawake full package ilihali ninyi wenyewe hamna vigezo vyote wanawake wanavyovitaka, hapo ndio mchague moja sasa either wife material but dependent au corporate woman but independent huwezi kupata vyote, dunia ya leo hakuna mwanamke wa hivyo labda umuumbe wa kwako wanawake wengi wamejifunza kuprioritize furaha yao kuliko chochote
Umejuaje siko full package?, ok niko full package kwahiyo nataka wa aina yangu.

Wanawake wanaotaka vigezo vyao pia hatujawakataza kutafuta madam.
 
mimi niko fully package, nahitaji mwenzangu hivo hivo.

Umejuaje siko full package?, ok niko full package kwahiyo nataka wa aina yangu.

Wanawake wanaotaka vigezo vyao pia hatujawakataza kutafuta madam.
Hakuna binadamu ambaye ni full package labda kama hujui sifa za mtu kuwa hivyo, suala siyo wewe kutaka bali suala ni kwamba hao unaowataka hawapo na huo ndio uhalisia, wanawake wameshajua kwamba hakuna mwanaume full package wameamua kukubaliana na uhalisia shida iko upande wenu ndio hamtaki kukubali
 
Huwezi kupata wife material Mkuu, wife material ni zao lako wewe MWANAUME


Wife Material anatengenezwa/anajengwa


ni product ya MWANAUME kutokana na Maono yake Kwaiyo ni wajibu wa muoaji kumtengeneza/ kumjenga wife material wake according to his vision 🧠
Kwa Kizazi hiki cha sasa 96% ya wanawake ndio wapo hivyo na ndio hao unaowasemanga.

4% waliobaki ndio hao unaowafagilia mtoa mada. Hawa walikuwepo miaka ya kitambo sana, sasahivi wanaelekea kutoweka. Japo kidogo unaweza kuwabahatisha huko kwenye nyumba za ibada na vijijini.

Ndio maana sikuhizi Ndoa zinasambaratika sana. Kuna uhaba sana wa kupata wife material. Staili ya maisha imebadilika sana
 
Huwezi kupata wife material Mkuu, wife material ni zao lako wewe MWANAUME


Wife Material anatengenezwa/anajengwa


ni product ya MWANAUME kutokana na Maono yake Kwaiyo ni wajibu wa muoaji kumtengeneza/ kumjenga wife material wake according to his vision 🧠
Hapa napingana na wewe mkuu.
 
Umejuaje siko full package?, ok niko full package kwahiyo nataka wa aina yangu.

Wanawake wanaotaka vigezo vyao pia hatujawakataza kutafuta madam.
Umechokoza nyuki. Uyo jamaa anapenda sana ligi. Hapa hamtamaliza leo.
 
Hakuna binadamu ambaye ni full package labda kama hujui sifa za mtu kuwa hivyo, suala siyo wewe kutaka bali suala ni kwamba hao unaowataka hawapo na huo ndio uhalisia, wanawake wameshajua kwamba hakuna mwanaume full package wameamua kukubaliana na uhalisia shida iko upande wenu ndio hamtaki kukubali
😂😂😂 ila jadda, sema nini kama vike tunaendana ivi, tufanye mpango , maana tuanelewana kwenye kila angle.

Mfano ni kuulize wewe mkuu, nataka nijue ukoje ukiwa ktk relatioshp ilio na maana , hio misimamo yako ina be applied?
 
😂😂😂 ila jadda, sema nini kama vike tunaendana ivi, tufanye mpango , maana tuanelewana kwenye kila angle.

Mfano ni kuulize wewe mkuu, nataka nijue ukoje ukiwa ktk relatioshp ilio na maana , hio misimamo yako ina be applied?
Id yako nyingine ni gani
 
Tafuteni mabinti wa kishua, mboga 7, hawa wengine achaneni nao kbsaa.
Inabidi hao wanaume nao wawe mboga 7 vinginevyo waendelee kutafuta wa kufanana nao.
 
Mfano ni kuulize wewe mkuu, nataka nijue ukoje ukiwa ktk relatioshp ilio na maana , hio misimamo yako ina be applied?
Kama jadda ni mwanamke nina uhakika misimamo yake inaishia hapa hapa jf tu, hakuna mwanaume anaweza kukubaliana nayo.
 
Inabidi hao wanaume nao wawe mboga 7 vinginevyo waendelee kutafuta wa kufanana nao.
Mwanaume hata asipotoka kwenye familia ya mboga 7 muhimu awe tu na shughuli ya kumuingizia kipato haitamgharimu mpenzi wake kwa sababu kwa hulka ya mwanaume hayaangalii mahusiano kama njia ya kuhudumiwa au kupata financial benefits kutoka kwa mwanamke tofauti na mwanamke kama hajatoka kwenye familia ya mboga saba bado ana ulimbukeni wa kufukuzana na fashion za nguo, i phone, kula KFC n.k hapa hata mwanamke akiwa na kazi bado atakitolea macho kipato cha mwanaume na uyo mwanamke asipokua na kazi hapo sasa ndipo mwanaume ajiandae kubebeshwa majukumu ya mzazi wa uyo mwanamke punde tu atakapomtongoza.
 
Mwanaume hata asipotoka kwenye familia ya mboga 7 muhimu awe tu na shughuli ya kumuingizia kipato haitamgharimu mpenzi wake kwa sababu kwa hulka ya mwanaume hayaangalii mahusiano kama njia ya kuhudumiwa au kupata financial benefits kutoka kwa mwanamke tofauti na mwanamke kama hajatoka kwenye familia ya mboga saba bado ana ulimbukeni wa kufukuzana na fashion za nguo, i phone, kula KFC n.k hapa hata mwanamke akiwa na kazi bado atakitolea macho kipato cha mwanaume na uyo mwanamke asipokua na kazi hapo sasa ndipo mwanaume ajiandae kubebeshwa majukumu ya mzazi wa uyo mwanamke punde tu atakapomtongoza.
Huyo mwanaume anaweza kua ana shughuli sawa lakini je kipato chake kinaridhisha?? Kipato chake kinafanana na kwa huyo bidada anaetaka kwenda kujiweka ama mnasema tu muwe na wanawake wanaojiweza ilhali na nyie mwajikongoja hali tete?

Kingine, umesema mwanaume haangalii mahusiano kama njia ya kuhudumiwa nakubali ila ni kwa wale wanaume wanaojitambua tu. Wanaume wanaongia kwenye mahusiano kufata pesa hawa mbona wapo tena wengi tunajionea. Sasa hawa wana utofauti gani na wanawake wanaodate wanaume kwa ajili ya pesa tu? Ni wale wale tofauti majina.

Nachokiona kama unataka kudate mwanamke anaejiweza hakikisha na wewe unajiweza, huwa nachekaa sana utaskia wanawake maskini hawafai ukija kumfatilia anaesema hivyo nae ni wa kuonewa huruma. Na si wanaume tu, hata kwa wanawake ukitaka mtu ako na pesa na wewe tafuta zako mkutane huko ama la uwe na bahati sana.

Muhimu: hakikisha unajiweza.
 
Huyo mwanaume anaweza kua ana shughuli sawa lakini je kipato chake kinaridhisha?? Kipato chake kinafanana na kwa huyo bidada anaetaka kwenda kujiweka ama mnasema tu muwe na wanawake wanaojiweza ilhali na nyie mwajikongoja hali tete?
Mahusiano ya kimapenzi sio mashindano ya vipato dada angu. Kama wote mna vipato vya kuwatosheleza mahitaji yenu ni sawa muhimu tu kusiwe na mmoja ambae anamuongezea mzigo mwenzake, binafsi nishapitia mahusiano kadhaa ambayo mimi nilikua namzidi kipato mwenzangu ivyo ivyo kuna mahusiano ambayo nilikua nazidiwa kipato na kwenye suala la kifedha mambo yakaenda vizuri tu hakuna aliekua anambebesha mwenzake majukumu ya kuhudumiwa
 
Back
Top Bottom