Kama bado unajitafuta toyota passo ndo usafiri sahihi

Kama bado unajitafuta toyota passo ndo usafiri sahihi

Mimi kawaida huwaio mtu wa show off, gari ninayonunua ni kwa ajili ya kunitoa home kwenda job, na ninapohitaji kwenda mahali nisiwaze kupanda bus, sasa wewe una harier tako la nyani ukiwa na safari 200km unapanda gariukiulizwa unasema lina bwia wese
 
Wakuu hii ni passo ya 2 kumiliki, ya kwanza nlimvua mtu nikaa nayo km miaka 4 nikauza nikanunua mpya sasa ninayo mwaka wa 5 unaelekea, mimi ni heavy user nasafiri nayo sana hadi km 1300 non stop, coz napenda kuwa na independent time kwamba nikipanga nasafiri mda flan na mda flan nitakuwa mahali flan so huwa naona bora nitumie tu gari binafsi.

Ulaji wake wa mafuta ni amazing, usipokamua sana inakula hadi km 23 kwa lita. Leo nlikuwa na kisafari ambacho sio kirefu ni km 220 nikaeka full tank lita35 hivi ndivo kimekula
Kwenye passo sirudi hata iweje
Ila hiyo gage yako ina shida.

Ukipiga mafuta mpaka mdomoni, hiyo bar yakwanza inadondoka around km 135. Baada ya hapo, kila bar moja ya gage ya mafuta inadondoka around km 70-75.

Kwahiyo hapo ni gage imechelewa kusoma au km zako hazijafika hiyo 220

Naijua vizuri sana passo. Vizuri saanaa
 
Wakuu hii ni passo ya 2 kumiliki, ya kwanza nlimvua mtu nikaa nayo km miaka 4 nikauza nikanunua mpya sasa ninayo mwaka wa 5 unaelekea, mimi ni heavy user nasafiri nayo sana hadi km 1300 non stop, coz napenda kuwa na independent time kwamba nikipanga nasafiri mda flan na mda flan nitakuwa mahali flan so huwa naona bora nitumie tu gari binafsi.

Ulaji wake wa mafuta ni amazing, usipokamua sana inakula hadi km 23 kwa lita. Leo nlikuwa na kisafari ambacho sio kirefu ni km 220 nikaeka full tank lita35 hivi ndivo kimekula
Hii unayoizungumzia ni ya 990 ama 1,290?
 
Wakuu hii ni passo ya 2 kumiliki, ya kwanza nlimvua mtu nikaa nayo km miaka 4 nikauza nikanunua mpya sasa ninayo mwaka wa 5 unaelekea, mimi ni heavy user nasafiri nayo sana hadi km 1300 non stop, coz napenda kuwa na independent time kwamba nikipanga nasafiri mda flan na mda flan nitakuwa mahali flan so huwa naona bora nitumie tu gari binafsi.

Ulaji wake wa mafuta ni amazing, usipokamua sana inakula hadi km 23 kwa lita. Leo nlikuwa na kisafari ambacho sio kirefu ni km 220 nikaeka full tank lita35 hivi ndivo kimekula
Shida ya watu mnaomiliki Passo huwa mnapenda sana kuvimba na kutaka kuaminisha umma ya kwamba hizo gari zenu ni amazing!! Kumbe ni Tabutupu!
 
Back
Top Bottom