MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 5,392
- 14,646
Haujawahi kumiliki Corolla Kaka ,utarudi hapa kufuta uzi ikiwa utaonja Radha ya corolla
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OfcourseThe point here is fuel ⛽️ consumption in which Toyota passo wins.
Kama zipi?Sawa lakini zipo gari nyingi tu ambazo mtu anayejitafuta anaweza kuchukua sio passo
Passo ina space? Basi sawa!Ist ni gari nzuri ila tofauti yake ist hainesi kama passo, passo ipo luxury ukilinganisha na ist ka ist ndani kamebana sana passo ndabi kubwa ina space
Kwenye passo sirudi hata iwejeWakuu hii ni passo ya 2 kumiliki, ya kwanza nlimvua mtu nikaa nayo km miaka 4 nikauza nikanunua mpya sasa ninayo mwaka wa 5 unaelekea, mimi ni heavy user nasafiri nayo sana hadi km 1300 non stop, coz napenda kuwa na independent time kwamba nikipanga nasafiri mda flan na mda flan nitakuwa mahali flan so huwa naona bora nitumie tu gari binafsi.
Ulaji wake wa mafuta ni amazing, usipokamua sana inakula hadi km 23 kwa lita. Leo nlikuwa na kisafari ambacho sio kirefu ni km 220 nikaeka full tank lita35 hivi ndivo kimekula
Inauzwaje hii
Ogopa sana hiyoH
izi zipo kuanzia 3mil unapata
Hii unayoizungumzia ni ya 990 ama 1,290?Wakuu hii ni passo ya 2 kumiliki, ya kwanza nlimvua mtu nikaa nayo km miaka 4 nikauza nikanunua mpya sasa ninayo mwaka wa 5 unaelekea, mimi ni heavy user nasafiri nayo sana hadi km 1300 non stop, coz napenda kuwa na independent time kwamba nikipanga nasafiri mda flan na mda flan nitakuwa mahali flan so huwa naona bora nitumie tu gari binafsi.
Ulaji wake wa mafuta ni amazing, usipokamua sana inakula hadi km 23 kwa lita. Leo nlikuwa na kisafari ambacho sio kirefu ni km 220 nikaeka full tank lita35 hivi ndivo kimekula
TZS ngapi hii?
Corolla gani mfano.Haujawahi kumiliki Corolla Kaka ,utarudi hapa kufuta uzi ikiwa utaonja Radha ya corolla
Shida ya watu mnaomiliki Passo huwa mnapenda sana kuvimba na kutaka kuaminisha umma ya kwamba hizo gari zenu ni amazing!! Kumbe ni Tabutupu!Wakuu hii ni passo ya 2 kumiliki, ya kwanza nlimvua mtu nikaa nayo km miaka 4 nikauza nikanunua mpya sasa ninayo mwaka wa 5 unaelekea, mimi ni heavy user nasafiri nayo sana hadi km 1300 non stop, coz napenda kuwa na independent time kwamba nikipanga nasafiri mda flan na mda flan nitakuwa mahali flan so huwa naona bora nitumie tu gari binafsi.
Ulaji wake wa mafuta ni amazing, usipokamua sana inakula hadi km 23 kwa lita. Leo nlikuwa na kisafari ambacho sio kirefu ni km 220 nikaeka full tank lita35 hivi ndivo kimekula
Hyo 6ml kuna sehemu niliulizia ila zpo Ml 4 cc250....pia 3.5ml cc200TZS ngapi hii?
Sina experience sana na hii kwenye bei...ila cc 250 huwa zinarange kwenye 4ml adi 6ml inategemea sasa brand na design yake.Inauzwaje hii
Cc 200 Passo?Sina experience sana na hii kwenye bei...ila cc 250 huwa zinarange kwenye 4ml adi 6ml inategemea sasa brand na design yake.
Mimi nina cc 200 nilichukua 3.5ml