Bemendazole
JF-Expert Member
- Nov 14, 2020
- 2,649
- 6,680
Hili ndilo limeleta matatizo ya urithi nyumbani kwetu. Mwaka 2007 kaka yangu alikuwa ameshamaliza chuo lakini alikuwa anazagaa zagaa tu nyumbani.
Hataki kuhama japokuwa alikuwa amekwisha wezeshwa kiuchumi. Baba akatufukuza nyumbani 'kidiplomasia'. By that time baba alikuwa anajenga dispensary.
Alikuwa amekwishajenga nyumba ya dk, nurse na jengo la dispensary na majengo mengine.
Mimi baba aliniambia kuwa nisomee udaktari ili anirithishe hospital. Means alinichagua kuwa mrithi wa hospitali.
But baada ya kufukuzwa hom, kaka yangu alipewa nyumba ya daktari akakae, then mdogo wangu naye akasema naye hataki kukaa home, basi naye akapewa nyumba ya nurse akakae.
Baba alipofariki, mama akasema kuwa ile estate tumemilikishwa wote. Ila kwa kuwa baba alisha ascertain nini cha kurithi kwenye ile estate kt ya kaka na mdogo wangu; mimi nikasema, wacha for a mean time mama aendelee kuhemea hapo.
But in her absence hawa siblings vichwani mwao wameweka equal ownership. Hapa nawaza nawezaje kuwachomoa bila kuvunja undugu ili kila mtu abaki na kile alichogawiwa kwenye hii estate?
Wataalam hapa mnisaidie...
Hataki kuhama japokuwa alikuwa amekwisha wezeshwa kiuchumi. Baba akatufukuza nyumbani 'kidiplomasia'. By that time baba alikuwa anajenga dispensary.
Alikuwa amekwishajenga nyumba ya dk, nurse na jengo la dispensary na majengo mengine.
Mimi baba aliniambia kuwa nisomee udaktari ili anirithishe hospital. Means alinichagua kuwa mrithi wa hospitali.
But baada ya kufukuzwa hom, kaka yangu alipewa nyumba ya daktari akakae, then mdogo wangu naye akasema naye hataki kukaa home, basi naye akapewa nyumba ya nurse akakae.
Baba alipofariki, mama akasema kuwa ile estate tumemilikishwa wote. Ila kwa kuwa baba alisha ascertain nini cha kurithi kwenye ile estate kt ya kaka na mdogo wangu; mimi nikasema, wacha for a mean time mama aendelee kuhemea hapo.
But in her absence hawa siblings vichwani mwao wameweka equal ownership. Hapa nawaza nawezaje kuwachomoa bila kuvunja undugu ili kila mtu abaki na kile alichogawiwa kwenye hii estate?
Wataalam hapa mnisaidie...