Kama bado unakaa kwenu usitoke, Maisha yapo juu sana kila kitu kimepanda

Kama bado unakaa kwenu usitoke, Maisha yapo juu sana kila kitu kimepanda

Motivation speaker mbona siku hizi siwaoni mitaani au ndo pumzi ishakata na wao
 
Huyu kaka alishapewa nyumba ya dk. But in the end, atataka na majengo mengine ambayo hakupewa.
Na huyu dogo alishapewa nyumba ya nesi. But in the end mama akidondoka naye atadai majengo mengine ambayo hakupewa.
Sasa hapa nataka kaka aridhike na nyumba ya dk ambayo alipewa akaishi na kuijengea fensi asidai majengo/ eneo jingine. Vile vile huyu dogo aridhike na nyumba ya nurse asidai eneo/ majengo mengine ambayo ni mengi na yanadondokea kwangu.

====
By the way, sikusoma udaktari. Nilienda kusoma vitu vingine kabisa.
Kheee kwa hiyo wewe ndio unataka kuwadhulumu wenzio,
Yaani kwanini ujihisi wewe ndio wa kupata majengo mengine mengi na ndugu zako wapate jengo moja moja???
 
Kwa hali ya maisha ya sasa kama bado unakula na kulala bure iwe kwenu au kwa shemeji yako ongeza nidhamu kwa hao wanaokulisha wanabeba mzigo mkubwa sana.

Maisha yapo juu sana kila kitu kimepanda.

Mahindi kutoka 1200 kg hadi 1500

Mafuta ya kula kutoka 32000 Lita 5 hadi 40000.

Sabuni ya kufuli 7000 kg now 9500.

Viazi mviringo 1 kg 1000 now 1300.

Sabuni mche 2500 now 3500.

Mboga za majani fungu moja 300 now 400.

Nyama 6000 now 8000.

Unga wa ngano 1200 now 1800.

Gesi 54000 now 56000.

Gunia la mkaa 56000 now 62000

Mengine mtaongeza.
Ndio hovyo ni balaa juu ya balaa..👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220524-214838.png
    Screenshot_20220524-214838.png
    110.6 KB · Views: 13
  • Screenshot_20220524-215057.png
    Screenshot_20220524-215057.png
    37.8 KB · Views: 13
  • Screenshot_20220524-215123.png
    Screenshot_20220524-215123.png
    38.3 KB · Views: 13
  • Screenshot_20220524-214936.png
    Screenshot_20220524-214936.png
    36.6 KB · Views: 15
  • Screenshot_20220524-080600.png
    Screenshot_20220524-080600.png
    136.8 KB · Views: 13
Hawa ndugu kila mmoja alishapewa mali zingine ambazo kwa thamani zinalingana na hii estate. Yani ni kama wao wamenivamia kwenye mali yangu. Sina tamaa na mali ya urithi ila kuikana sehemu inayoniangukia ni kama kuwskana wazazi walionileta Duniani.
Pia kuwaruhusu ndugu wachukue mali yangu ni sawa na kuchezea urithi wa wanangu.
Mwanzo nilipanga kujitoa mazima. But on a second thought nikaona kuwa nafanya kitu kibaya.


Pia kuanza mwanzo sio mchezo. Kupata hilo eneo kwa sasa inabidi uwe na milioni mia plus!
Sisi tulipewa bure na serikali mwaka 2,000.
Enzi hizo yalikuwa ni mapori ambapo majambazi walikuwa wanajificha.
Nilikuwa nikienda mimi na baba kwa kutumia usafiri wa baiskeli ya Phoenix huku tukiwa tumejihami kwa kubeba mapanga makali!
Miaka 22 imepita tangu tupate hilo eneo. Kwa sasa kupata eneo kama hilo mjini ni ndoto
Huwezi kukaa kuongea na ndugu zako?
 
Sasa tutaondoka lini kama tunaogopa maisha kila siku
Kama ulipo kwa sasa hawajakuchoka,anza kujipanga mdogomdogo. Andaa vitu vya muhimu kuwa navyo getho. Baada ya hapo andaa kodi ya chumba. Shukuru Mungu unapo pa kuanzia,wenzio walifika mjini na shati na suruali basi na hawakuwa na ndugu wala jamaa pa kuanzia.
 
Wacha kuchochea wenzio eti wasitoke home. Mtegemea cha ndugu hufa na ulofa.
 
Hawa ndugu kila mmoja alishapewa mali zingine ambazo kwa thamani zinalingana na hii estate. Yani ni kama wao wamenivamia kwenye mali yangu. Sina tamaa na mali ya urithi ila kuikana sehemu inayoniangukia ni kama kuwskana wazazi walionileta Duniani.
Pia kuwaruhusu ndugu wachukue mali yangu ni sawa na kuchezea urithi wa wanangu.
Mwanzo nilipanga kujitoa mazima. But on a second thought nikaona kuwa nafanya kitu kibaya.


Pia kuanza mwanzo sio mchezo. Kupata hilo eneo kwa sasa inabidi uwe na milioni mia plus!
Sisi tulipewa bure na serikali mwaka 2,000.
Enzi hizo yalikuwa ni mapori ambapo majambazi walikuwa wanajificha.
Nilikuwa nikienda mimi na baba kwa kutumia usafiri wa baiskeli ya Phoenix huku tukiwa tumejihami kwa kubeba mapanga makali!
Miaka 22 imepita tangu tupate hilo eneo. Kwa sasa kupata eneo kama hilo mjini ni ndoto

Fanya jambo muhimu. Wewe wasaidie kujenga nyumba pembeni afu wahamishe ili upafanye pale kua biashara ya familia. Kama unaona ni hasara we fanya kuongea nao muuze hapo kila mtu akajenge kwao.

Au kama unaona hiyo haifai wewe chukua nyumba ya nesi yeye mpe jengo la dispensary
 
Kwa hali ya maisha ya sasa kama bado unakula na kulala bure iwe kwenu au kwa shemeji yako ongeza nidhamu kwa hao wanaokulisha wanabeba mzigo mkubwa sana.

Maisha yapo juu sana kila kitu kimepanda.

Mahindi kutoka 1200 kg hadi 1500

Mafuta ya kula kutoka 32000 Lita 5 hadi 40000.

Sabuni ya kufulia 7000 kg now 9500.

Viazi mviringo 1 kg 1000 now 1300.

Sabuni mche 2500 now 3500.

Mboga za majani fungu moja 300 now 400.

Nyama 6000 now 8000.

Unga wa ngano 1200 now 1800.

Gesi 54000 now 56000.

Gunia la mkaa 56000 now 62000

Mengine mtaongeza.
hatari sana ila huku nilipo mm mafuta ya kula yameshuka sana Lita 5- 25000/=
 
Back
Top Bottom