Kama bado unakaa kwenu usitoke, Maisha yapo juu sana kila kitu kimepanda

Mimi mwenyewe sitoki kwa shemeji

Nakula maziwa mkate na siagi asubuhi
Mchana three course meal yenye appetizer Kama salad siku nyengine matunda


Niende nikahangaike ghetto ambapo siku nyingine mchana sili
 
hatari sana ila huku nilipo mm mafuta ya kula yameshuka sana Lita 5- 25000/=
Sehemu gani hiyo? Nipe location nije
Babati manyara
tena tunajamu ya mafuta lita20 - 95000/=
Na hatuna wateja, alizeti pure Kama upo karibu na ukanda huu unaweza kututembelea
 
Maisha magumu sana hapa nampango wa kujilipua Urusi au Ukraine nikasaidie vita
[emoji851]
kule ndo hawarembeshi ukienda kuendekeza mambo yako ya kuuza matako unaliwa na risasi unapigwa, hawatakagi machoko kule.
 
hatari sana ila huku nilipo mm mafuta ya kula yameshuka sana Lita 5- 25000/=

Babati manyara
tena tunajamu ya mafuta lita20 - 95000/=
Na hatuna wateja, alizeti pure Kama upo karibu na ukanda huu unaweza kututembelea
Dah, nipo mbali sana, huku kwa kina Ashura.
 
Utakiwa mchawi sio bure.
Kwahiyo unataka mgao mkubwa kuliko ndg zako?
 
Kuna chalii nimemkaribisha gheto akae siku mbili aangalie ramani zake lakin nashangaa ananiletea stori nyeusi anaanza kujisemesha
Eti hapa tutafute jiko letu la gesi na sufuria zetu 3 tunakua tunajipikia wenyewe.

Shuubastard anataka akimbie rungu la maisha kwa mgongo wangu
 
Kilio changu kipo kwenye hizi sabuni kwann zinapanda kiholela.??? Hata kama mafuta yamepanda sio ndio kila kitu kipande.tanzania kila mtu akiamka anapanga bei yake hakuna consumer protection.

Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kilio changu kipo kwenye hizi sabuni kwann zinapanda kiholela.??? Hata kama mafuta yamepanda sio ndio kila kitu kipande.tanzania kila mtu akiamka anapanga bei yake hakuna consumer protection.

Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
Kama wenye madaraka wana maslahi yao hapo unafikiri wataanza kukuprotect ww consumer kikalagosi?
 
Just be cool man
 
Mimi nawashauri watoke mjini watafute mikoa yenye unafuu wa maisha wakainzishe maisha yao huko, hali ni mbaya kweli lakin kama ni mwanaume kuna siku atahitaji kuoa na kuwa na familia yake.
 
Mimi nawashauri watoke mjini watafute mikoa yenye unafuu wa maisha wakainzishe maisha yao huko, hali ni mbaya kweli lakin kama ni mwanaume kuna siku atahitaji kuoa na kuwa na familia yake.
Tutatia tu mimba mtoto atakaa kwa bibi ake kuoa tulishakataa na kuondoka nyumbani hatuwezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…