Kama Bagonza ameona mema ya Magufuli mimi ni nani!?

Kama Bagonza ameona mema ya Magufuli mimi ni nani!?

love life live life

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2021
Posts
2,584
Reaction score
3,051
Kwa mara ya kwanza Bagonza kwa kinywa chake anataja upande wa pili wa Magufuli wazi wazi. Kama huyu mwamba(Magu) alikosea naamini ni katika mapungufu yakibanadamu kama mtu mwingine yeyote.


magu.png
 
Back
Top Bottom