love life live life
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 2,584
- 3,051
- Thread starter
- #121
Kwa hiyo Mungu chochote atakacho fanya kwako hata kama ni kibaya
kina kuwa sahihi kisa amekuumba!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo Mungu chochote atakacho fanya kwako hata kama ni kibaya
Mwenyezi Mungu kamwe hawezi kufanya kitu kibaya.Kwa hiyo Mungu chochote atakacho fanya kwako hata kama ni kibaya
kina kuwa sahihi kisa amekuumba!?
Na aliyetajwa na vitabu vya dini ameua mamilioni ya watu.
KUMBE ndo hivyo. Sioni kitu serious hapo cha kufanya auwawe, labda kama kuna mengine zaidi.Iliwabidi tu deep state wamuondoe kwa maana kichaa ndo kilikuwa kimepanda kichwani.
Hii nchi haiwezi kuongozwa na mwendawazimu... Isikilize tena interview ya Antony Diallo.
Hii nchi ilikuwa imefikia pabaya
Imagine Jpm alikuwa anagawa pesa barabarani kama za kwake yaani.
Alikuwa anatumbua watu on the spot kama hana akili timamu.
Mahali ambapo ilibidi deep state wamchukulie serious wamuandalie special mission ni baada ya kutaka kutawala milele.
ukiwa na akili mbovu huwezi kumwelewa Bagonza, nisikitike kukuambia kuwa umetoka kapa hujaelewa kituuuKwa mara ya kwanza Bagonza kwa kinywa chake anataja upande wa pili wa Magufuli wazi wazi. Kama huyu mwamba(Magu) alikosea naamini ni katika mapungufu yakibanadamu kama mtu mwingine yeyote.
View attachment 2099740
hahaha!!! Kwa maneno yako tu ndio yaniaminishe unachokiamini?ukiwa na akili mbovu huwezi kumwelewa Bagonza, nisikitike kukuambia kuwa umetoka kapa hujaelewa kituuu
Kwa hiyo kwako nae ni level ya Mungu?Ni sehemu ya utimilifu..
Kama Mungu anagadhabika anaua Magufuli ni nani?
Ameumbwa kwa mfano wake.Kwa hiyo kwako nae ni level ya Mungu?
NdiyoUlimwona Mungu akimtafuna Magufuli?
SijamtajaUliwahi kumuona Magufuli R.I.P
akiuwa watu?
JingaAliua ndugu yako yupi mtaje na utaje uhusiano wako?
Hatari snKuntu.
Mungu hapangiwiMnaposema kifo ni kazi au mapenzi ya Mungu huwa mnamaanisha nini?
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Au
Umebanwa makalioni?Jinga
Maza akoUmebanwa makalioni?